Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Mhe. Aggrey Mwanri amejipatia umaarufu kwa kuwa na maneno na misemo mbalimbali hali ambayo imepelekea hata kutungwa nyimbo kwa kutumia maneno yake. Katika udhibiti wa ''UPIGAJI'', Mwanri anaonekana kuwa na umakini zaidi.Ona hapa:
Nadhani ni Mkuu wa Mkoa aliyeanza vizuri kwa mwaka 2019. Hongera sana Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
Nadhani ni Mkuu wa Mkoa aliyeanza vizuri kwa mwaka 2019. Hongera sana Mkuu wa Mkoa wa Tabora.