kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
ni kweli ni kiongozi bora lakini hayuko karibu na riz au mama riz nani? Atampigia debe
Ndipo akaanza kukemea 'ushindwe kwa jina ra yesu wa maria'usirudie tena kusema,mwenzio jumapili tulikuwa nae kanisani mbele ya Askofu shao mh. Mwanri alikimbizwa na joka kubwa kutoka kanisani mbele ya waumini,
Jamaa ni jembe kweli ila magambani uchawi umekithiri hasa nyota yako ikiwa inawa mbele ya umma,jamaa anafunika baraza zima la mheshimiwa anastahili zaidi kumpiga jeki mkuu kama atapewa uwaziri mkuu.