Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) imewafikisha zaidi ya watu 12 Mahakamani kwa makosa 404 likiwemo la kuisababishia Serikali hasara zaidi ya Tsh Mil 500 mali ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)
Waliofikishwa Mahakamani ni aliyekuwa Mhasibu Mwandamizi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Isaya Philip (39) Mkazi wa Kimara Dar es Salaam pamoja na Watumishi 11 wa Benki ya CRDB ambao ni
- Tehan Bino
- Johannes Joseph
- Adelphina Barongo
- Daniel Kahamba
- Benedicta Boniface
- Edina Luiza
- Ally Mohammed Hamad
- Msafiri Abdallah
- Antony Moshi
- Aisha Mussa
- Khadija Selemani
Waliofikishwa Mahakamani ni aliyekuwa Mhasibu Mwandamizi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Isaya Philip (39) Mkazi wa Kimara Dar es Salaam pamoja na Watumishi 11 wa Benki ya CRDB ambao ni
- Tehan Bino
- Johannes Joseph
- Adelphina Barongo
- Daniel Kahamba
- Benedicta Boniface
- Edina Luiza
- Ally Mohammed Hamad
- Msafiri Abdallah
- Antony Moshi
- Aisha Mussa
- Khadija Selemani