Mhariri wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Ukifukuzwa kubali, acha kampeni kuvuruga shirika na CCM

kkarumekenge

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
1,708
1,026
Kuna habari kwamba Mhariri Mtendaji wa magazeti ya chama cha mapinduzi, Uhuru na mzalendo Bw Joseph Kulangwa ametimuliwa kazi kufuatia tuhuma kwamba ameshindwa kuongoza shirika hilo la magazeti ukiwemo ufujaji mkubwa wa fedha za shirika.

Shirika limeshindwa hata kuwalipa wafanyakazi wake miezi kadha. Lakini jambo la kushangaza jamaa huyo ameunda kikundi cha wafanyakazi wanaodai ati wanampenda na ndio wanaongoza kile kiitwacho mgomo.

Kikundi hicho ndicho sasa kimeanza kuwachafua viongozi wa ngazi za juu wa chama hasa Nape, Kinana na wajumbe wa bodi.

Kama uliteuliwa ukakubali na kwenda kuripoti haraka, kwa nini pia usikubali siku inapofika ukafukuzwa?
 
Kuna habari kwamba Mhariri Mtendaji wa magazeti ya chama cha mapinduzi, Uhuru na mzalendo Bw Joseph Kulangwa ametimuliwa kazi kufuatia tuhuma kwamba ameshindwa kuongoza shirika hilo la magazeti ukiwemo ufujaji mkubwa wa fedha za shirika. Shirika limeshindwa hata kuwalipa wafanyakazi wake miezi kadha. Lakini jambo la kushangaza jamaa huyo ameunda kikundi cha wafanyakazi wanaodai ati wanampenda na ndio wanaongoza kile kiitwacho mgomo. Kikundi hicho ndicho sasa kimeanza kuwachafua viongozi wa ngazi za juu wa chama hasa Nape, Kinana na wajumbe wa bodi. Kama uliteuliwa ukakubali na kwenda kuripoti haraka, kwa nini pia usikubali siku inapofika ukafukuzwa?

Mleta mada acha kupotosha,najua mnaendelea kupotosha jambo hili kwa makusudi kuficha ukweli.kwanza hakuna fedha alizofuja na wala hajawa chanzo cha kutolipa mishahara.kaingia kwenye kampuni akakuta wafanyakazi hawana mishahara miezi saba,sasa kosa lake nini?kampuni inahitaji mtaji ili iweze kujienfdesha hajapewa atafanya miujiza gani alipe mishahara?gazeti linakabiliwa na changamoto ya hali ya kisiasa kwa maana ya mtazamo hasi wa watu wa kupunguza imani na chama,kitu ambacho kimeshusha soko lake,bahati mbaya zaidi hata hao wanaojiita wanapenda chama si wapenzi wa kununua gazeti lao.kitu cha msingi ni kwamba wafanyakazi wanajua tatizo ni nini kuliko hizo propaganda zingine mnazotoa.mkurugenzi kila maboresho akitaka kufanya anaambiwa hilo la bodi,sasa kazi yake nini?kiufupi tatizo ni baadhi ya watu walioko kwenye bodi,hivi umewahi kusikia wapi katibu wa bodi anatoka nje ya taasisi?wamefanya mabadiliko,mhudumu wa ofsi kapewa cheo cha ofisa mauzo je,bodi imetoa wap sifa za huyo mtu bila ushirikishwa wa mkurugenzi na ofisi ya rasilimali watu?mhasibu kapewa kazi ya ofisa utawala wakati ofsi ina watu wenye sifa hizo.je,bodi imetumia kigezo gan ambacho mkurugenzi hakijui?yapo mengi ambayo yanachangia hali hii.tuache siasa kwenye mambo ya msingi.
 
Lazima tukubali pia kwamba kilichomgharimu ni kugusa maslahi ya watu,baadhi yao akiwa katibu wa bodi ambaye alishajiapiza lazims afanye fitina kulangwa aondoke.nape anajua hili na asitafute mchawi kwenye hili na wala hakuna mkakati wa kuchafua watu hapa.tupende kuutafuta ukweli na kuusema ulivyo.utatungwa uongo sana lakini ukweli unabaki kwamba pale hata akipelekwa obama mishahara haitalipwa kwa wakati.
 
Hii CCM ni kichekesho, hakuna ufujaji wowote hapo kwa ufupi ni kwamba hayo magazeti ya Uhuru na Mzalendo hayana soko, sasa ukiwa Mtendaji Mkuu utajiendesha vipi kwa kitu kisicho uzika.
Bidhaa ya kichawi shurti iliwe na wachawi wenyewe
Sasa ccm wanadai wapo wengi mbona gazeti lao hawanunui

Kutwa kuchwa wananunua bundle za jf kule makaratasi yamegeuka ya vitumbua
 
Hii CCM ni kichekesho, hakuna ufujaji wowote hapo kwa ufupi ni kwamba hayo magazeti ya Uhuru na Mzalendo hayana soko, sasa ukiwa Mtendaji Mkuu utajiendesha vipi kwa kitu kisicho uzika.
Hayo magazeti mara ya mwisho mimi kununua na kuyasoma ilikuwa wakati yakiwa ndiyo peke yake pamoja na lile lililokufa la Mfanyakazi. Sasa hvi sijui kama hayo magazeti bado yanachapishwa na kusomwa ndio naona hapa mnayazunguzia.
 
Mleta mada acha kupotosha,najua mnaendelea kupotosha jambo hili kwa makusudi kuficha ukweli.kwanza hakuna fedha alizofuja na wala hajawa chanzo cha kutolipa mishahara.kaingia kwenye kampuni akakuta wafanyakazi hawana mishahara miezi saba,sasa kosa lake nini?kampuni inahitaji mtaji ili iweze kujienfdesha hajapewa atafanya miujiza gani alipe mishahara?gazeti linakabiliwa na changamoto ya hali ya kisiasa kwa maana ya mtazamo hasi wa watu wa kupunguza imani na chama,kitu ambacho kimeshusha soko lake,bahati mbaya zaidi hata hao wanaojiita wanapenda chama si wapenzi wa kununua gazeti lao.kitu cha msingi ni kwamba wafanyakazi wanajua tatizo ni nini kuliko hizo propaganda zingine mnazotoa.mkurugenzi kila maboresho akitaka kufanya anaambiwa hilo la bodi,sasa kazi yake nini?kiufupi tatizo ni baadhi ya watu walioko kwenye bodi,hivi umewahi kusikia wapi katibu wa bodi anatoka nje ya taasisi?wamefanya mabadiliko,mhudumu wa ofsi kapewa cheo cha ofisa mauzo je,bodi imetoa wap sifa za huyo mtu bila ushirikishwa wa mkurugenzi na ofisi ya rasilimali watu?mhasibu kapewa kazi ya ofisa utawala wakati ofsi ina watu wenye sifa hizo.je,bodi imetumia kigezo gan ambacho mkurugenzi hakijui?yapo mengi ambayo yanachangia hali hii.tuache siasa kwenye mambo ya msingi.

Poleni mnafisidi hadi taasisi yenu wenyewe!? Je taasisi za umma zitabakije salama!!!!
 
Hii CCM ni kichekesho, hakuna ufujaji wowote hapo kwa ufupi ni kwamba hayo magazeti ya Uhuru na Mzalendo hayana soko, sasa ukiwa Mtendaji Mkuu utajiendesha vipi kwa kitu kisicho uzika.

Hayo magazeti yanauzwa kwa lazima kwenye Ofisi za Serikali na mashirika ya umma lkn hata hivyo hawayasomi.

Nina wasiwasi hata pale CCM Lumumba hawayasomi magazeti yao ya Uhuru na Mzalendo.

Vv
 
Kuna habari kwamba Mhariri Mtendaji wa magazeti ya chama cha mapinduzi, Uhuru na mzalendo Bw Joseph Kulangwa ametimuliwa kazi kufuatia tuhuma kwamba ameshindwa kuongoza shirika hilo la magazeti ukiwemo ufujaji mkubwa wa fedha za shirika.

Shirika limeshindwa hata kuwalipa wafanyakazi wake miezi kadha. Lakini jambo la kushangaza jamaa huyo ameunda kikundi cha wafanyakazi wanaodai ati wanampenda na ndio wanaongoza kile kiitwacho mgomo.

Kikundi hicho ndicho sasa kimeanza kuwachafua viongozi wa ngazi za juu wa chama hasa Nape, Kinana na wajumbe wa bodi.

Kama uliteuliwa ukakubali na kwenda kuripoti haraka, kwa nini pia usikubali siku inapofika ukafukuzwa?

Huyo mkurugenzi wanamuonea,hayo magazeti hayana tena mvuto wala soko kwa wanunuzi,na hapo bado hata radio uhuru itajifia kifo hicho hicho
 
Back
Top Bottom