Mhariri The Guardian amtaka Magufuli amchukulie hatua tajiri Sethi wa Tegeta Escrow account

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,985
144,312
Katika safu ya Maoni ya Mhariri wa gazeti la The Guardian la leo,Mhariri amemtaka Raisi Magufuli amchukulie hatua Harbinder Singh Sethi anaehusishwa na tuhuma za wizi wa dola milioni mbili kwa kutumia nyaraka feki katika account ya Tegeta Escrow.

Mhariri amemalizia maoni yake kwa kusema kikwazo kilichokuwepo Ikulu(the main stumbling block) katika kuchukua hatua kwa sasa hakipo tena.

Chanzo:The Guardian

Hawa ndio waandishi tunaowataka ambao hawaendi na matukio kiasi kwamba tukio likipita basi nao wanasahau.

Hongera sana Mhariri.
 
Last edited:
Ataweza kulittumbua hilo jipu?Maana limeshakuwa infected na virus:oops:
 
Ataweza kulittumbua hilo jipu?Maana limeshakuwa infected na virus:oops:
Wapinzani sasa ndio wanaotakiwa kumbana Magufuli kupitia Bunge.Wanatakiwa kuhoji kama kutakuwa na doublestandard katika kuchukua hatua.
 
Wapinzani sasa ndio wanaotakiwa kumbana Magufuli kupitia Bunge.Wanatakiwa kuhoji kama kutakuwa na doublestandard katika kuchukua hatua.

Hilo nalo neno.Ila hata Magufuli anatakiwa kujua kwamba bila kikosolewa na wapinzani haitamsaidia.
 
Ina maana huyo muhariri anataka kusema kuwa "vasco da gama wa msoga" ndiye alikuwa kikwazo kwa hatua stahiki kutochukiliwa ndani ya muda mwafaka..?
 
Hongera mhariri wa the guardian, tusubir natuone Magu atachukua hatua gani dhidi ya huyo fedhuli asiye na haya, au ataziba masikio
 
Katika safu ya Maoni ya Mhariri wa gazeti la The Guardian la leo,Mhariri amemtaka Raisi Magufuli amchukulie hatua Harbinder Singh Sethi anaehusishwa na tuhuma za wizi wa dola milioni mbili kwa kutumia nyaraka feki katika account ya Tegeta Escrow.

Mhariri amemalizia maoni yake kwa kusema kikwazo cha Ikulu(stumbling block) katika kuchukua hatua kwa sasa hakipo tena.

Chanzo:The Guardian

Hawa ndio waandishi tunaowataka ambao hawaendi na matukio kiasi kwamba tukio likipita basi nao wanasahau.

Hongera sana Mhariri.
Hivi wakiburuzwa mahakamani na huyo mhariri akatakiwa athibitishe kama ana utaalamu wa kujua nyaraka original na feki huo muziki atauweza?
Na kama hizo nyaraka anazo ana uhakika ni feki? Anazijua original?Yeye ni mtaalamu wa forensic?

Kwa maoni yangu hicho kitu ni cha kitaalamu kama haku-quote vyanzo vya kitaalamu au kimahakama ambapo mahakama ilisema hizo nyaraka ni feki aweza kujikuta matatani yeye na hilo gazeti
 
Katika safu ya Maoni ya Mhariri wa gazeti la The Guardian la leo,Mhariri amemtaka Raisi Magufuli amchukulie hatua Harbinder Singh Sethi anaehusishwa na tuhuma za wizi wa dola milioni mbili kwa kutumia nyaraka feki katika account ya Tegeta Escrow.

Mhariri amemalizia maoni yake kwa kusema kikwazo cha Ikulu(stumbling block) katika kuchukua hatua kwa sasa hakipo tena.

Chanzo:The Guardian

Hawa ndio waandishi tunaowataka ambao hawaendi na matukio kiasi kwamba tukio likipita basi nao wanasahau.

Hongera sana Mhariri.
Hivi kikwazo kilikua ni Daktari Jakaya Mrisho Kikwete?
 
Hivi wakiburuzwa mahakamani na huyo mhariri akatakiwa athibitishe kama ana utaalamu wa kujua nyaraka original na feki huo muziki atauweza?
Na kama hizo nyaraka anazo ana uhakika ni feki? Anazijua original?Yeye ni mtaalamu wa forensic?

Kwa maoni yangu hicho kitu ni cha kitaalamu kama haku-quote vyanzo vya kitaalamu au kimahakama ambapo mahakama ilisema hizo nyaraka ni feki aweza kujikuta matatani yeye na hilo gazeti

Usihamaki, fuatilia wewe mwenyewe hata katika hansard za bunge utajua kama zile nyaraka alizowakilisha huyo kiumbe zilikuwa fake au original
 
Katika safu ya Maoni ya Mhariri wa gazeti la The Guardian la leo,Mhariri amemtaka Raisi Magufuli amchukulie hatua Harbinder Singh Sethi anaehusishwa na tuhuma za wizi wa dola milioni mbili kwa kutumia nyaraka feki katika account ya Tegeta Escrow.

Mhariri amemalizia maoni yake kwa kusema kikwazo cha Ikulu(stumbling block) katika kuchukua hatua kwa sasa hakipo tena.

Chanzo:The Guardian

Hawa ndio waandishi tunaowataka ambao hawaendi na matukio kiasi kwamba tukio likipita basi nao wanasahau.

Hongera sana Mhariri.
Kwanini asiseme amchukulie hatua Mengi
 
Wapinzani sasa ndio wanaotakiwa kumbana Magufuli kupitia Bunge.Wanatakiwa kuhoji kama kutakuwa na doublestandard katika kuchukua hatua.
Wapinzani wepi unaowaongelea? Hawa waliokuwa wakibwata bungeni kuwa Lowasa fisadi wa Richmond ili awape pesa? Baada ya kuwapa wakasema si fisadi na wakazunguka nchi nzima kumnadi??
Hapo wanataka huyo singa singa wabwate awape pesa halafu waseme hana hatia sababu hajahukumiwa na mahakama yeyote!!! Kama walivyofanya kwa Lowasa.Na huyo mwandishi nina wasiwasi na motive yake aweza kuwa anataka avute hela kwa singa singa halafu aje kumsafisha baadaye aseme singa singa hana tatizo kwani hajahukumiwa na mahakama yeyote.Tumewaona Akina Msigwa wakitupa kola za uchungaji ghafla kwa ajili ya mambo kama hayo wakimbariki mara mbili mbili Lowassa wakati walimwita kwa Jina La yesu kuwa ni fisadi

Magufuli pia kuna jipu la kutumbua bungeni na kwenye waandishi wa habari.Kuna wala rushwa huko balaa.Bungeni wakifoka na kutoa macho utafikiri watetea maslahi ya nchi kumbe hakuna kitu.REFER LOWASA CASE.
 
Wahusika wengine wa Escrow mpaka leo hawajachukuliwa hatua katika usanii wa kutumbua majipu .yale maazimio ya bunge yanatakiwa kufanyiwa kazi hongera mhariri kwa kuandika ukweli.
 
Back
Top Bottom