Kwa taarifa yako anaweza akapandishwa cheo na si kuwa demoted kama wengi wetu tunavyotarajia. Unaweza kusikia ameukwaa ukuu wa wilaya!!!
Jamani hiyo tahariri ilisema je? wengine tuko gizani!Watampa nani sasa, Gabi au Tuma? Tahariri ile ilikuwa chafu sana. Tusubiri akina Mbwambo na Jenerali watasemaje. Ki- Tabloid walichokisema nadhani ilikuwa RaiaMwema ya wiki iliyopita.
Jamani hiyo tahariri ilisema je? wengine tuko gizani!
Kwa taarifa yako anaweza akapandishwa cheo na si kuwa demoted kama wengi wetu tunavyotarajia. Unaweza kusikia ameukwaa ukuu wa wilaya!!!
Labda wa nyumba kumi
Hii ya Habbie Gunze kupelekwa pale sio tetesi bali ni wasoma trend tuu, kwa vile Mruma alitoka Daily News akaenda PMO akarudi Daily News na kwenda TCRA ndipo karudi Daily News kileleni, wasoma trend wanadhania Gunze ndiye atapelekwa Daily News kwa vile Mruma alitoka TCRA. Gunze atakwenda kumpokea Tido pale TBC.Kuna tetesi kwamba huenda Habbie Gunze wa TCRA akawa Managing Editor mpya wa DN.
pengine ni 'mabadiliko ya kawaida' tu.
Prof Tibaijuka ameniangusha sana tu. Namwona kama sie yule aliyetaka kuanzisha baraza huru kabisa la wanawake miaka ile ya Mzee Ruksa. Nilitarajia angegombea kwa tiketi ya upinzani kwani angemshinda yeyote yule ambaye angepambana naye lakini haikuwa. Huko CCM hata huo uwaziri sijui kama utamweka huru katika kuchangia ujenzi wa Taifa letu. Membe atapelekwa wapi Pasco? Sidhani kama serikali ya CCM itafanya kazi na watu safi wa kiwango Prof Anna T. Huyu mama anataka kujichafua au kulazimika kutetea lile asiloliamini!Hii ya Habbie Gunze kupelekwa pale sio tetesi bali ni wasoma trend tuu, kwa vile Mruma alitoka Daily News akaenda PMO akarudi Daily News na kwenda TCRA ndipo karudi Daily News kileleni, wasoma trend wanadhania Gunze ndiye atapelekwa Daily News kwa vile Mruma alitoka TCRA. Gunze atakwenda kumpokea Tido pale TBC.
Hao trend readers pia ndio wanadhania baada ya JK anafuatia Membe, kwa vile Ben alitokea foreign akwaukwaa upresidaa, akamchukua JK akampiga foreign kwa miaka yake 10 mfululizo, naye akaukwaa, hivyo JK amempa Membe foreign, atamrudisha foreign kumalizia ili 2010 Membe ndie ampokee its wrong, kwanza foreign this time, anapewa Prof. Tiba, sio tuu ili kuiza vizuri zaidi Tanzania kwenye medani za kimataifa, bali pia kutengeneza posibility ya kumpata pm mwanamke 2015.
By the way jana bodi ya TSN ilikaa, naomba msiulize kilichojiri, maana vikao vya bodi zote huwa top secret, ila matokeo ndio mtayaona!.
WildCard, huyo mama sio tuu ni dare devil, but also ni realist, alipojaribu kupitia Bawata, alikuwa na matumaini Tanzania itajenga upinzani wa kweli. Sasasa ni miaka 18 ya vyama vingi, hakuna any serious strong opposition, Chadema na CUF wanaonyesha njia, lakin i hii fragmentation opposition ndio advantage ya CCM.Prof Tibaijuka ameniangusha sana tu. Namwona kama sie yule aliyetaka kuanzisha baraza huru kabisa la wanawake miaka ile ya Mzee Ruksa. Nilitarajia angegombea kwa tiketi ya upinzani kwani angemshinda yeyote yule ambaye angepambana naye lakini haikuwa. Huko CCM hata huo uwaziri sijui kama utamweka huru katika kuchangia ujenzi wa Taifa letu. Membe atapelekwa wapi Pasco? Sidhani kama serikali ya CCM itafanya kazi na watu safi wa kiwango Prof Anna T. Huyu mama anataka kujichafua au kulazimika kutetea lile asiloliamini!