amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Mhariri mtendaji wa magazeti UHURU na MZALENDO yanayomilikiwa na CCM amefariki dunia. Viongozi wa CCM mkoa akiwemo MADABIDA wamehudhuria mazishi hayo ya mhariri huyu bwana MZOBORA aliyefariki kwa ugonjwa wa shinikizo la damu. Poleni CCM na wafiwa wote.