Mhandisi wa Majengo Chunya, Aswile Msika ajinyonga kwa suruali yake, inasemekana chanzo ni kesi ya rushwa inayomkabili

Daah pole sana wafiwa. ..

Yaani kesi ya kuomba rushwa ya million 1 tu ndio inamfanya ajitoe uhai ""...!!!Au Kuna mengine?
Ngoja tu subiri majibu ya uchunguzi ya Wana usalama '
Labda kama picha haihusiani na habari yenyewe...
Kwa mazingira hayo haiwezekani mtu ajinyonge hadi afe.
Itazameni picha vizuri.
Huyu mtu ameuwawa na kutundikwa hapo.
 
Labda kama picha haihusiani na habari yenyewe...
Kwa mazingira hayo haiwezekani mtu ajinyonge hadi afe.
Itazameni picha vizuri.
Huyu mtu ameuwawa na kutundikwa hapo.
Naam nimeiangalia vyema. ..kwanza hiyo suruali inayo semekana imetumika kumnyonga inaonyesha kuwa imepwaya kwenye shingo ---yaani haiko tight so haiwezekani iweze kumnyonga mpaka afe
 
Mhandisi wa Majego wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya, Aswile Msika (37) amekutwa amekufa kwa kujinyonga katika eneo la Nyatura Kata ya Mbugani Wilayani humo kwa kutumia suruali yake.

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Ulrich Matei, amesema tukio hilo lilitokea jana ambapo mtu huyo alikutwa akiwa amejitundika.

Amesema chanzo cha tukio hilo bado kinachunguzwa na Jeshi la Polisi lakini awali marehemu alikuwa na kesi ya kuomba na kupokea rushwa shauri ambalo lilikuwa linaendelea katika Mahakama ya Wilaya ya Chunya.

“Kabla ya tukio marehemu alikuwa na kesi ya kuomba na kupokea rushwa ya shilingi milioni moja kutoka kwa mmoja wa wakandarasi wanaofanya kazi wilayani humo na kesi hiyo ilikuwa bado inaendelea mahakamani sasa kuhusu chanzo bado tunachunguza,” Kamanda Matei.

Hilo jina huyo jamaa nadhani amesoma Iyunga Sec. Miaka ya 2000 au 2001 kama sijakosea
 
Labda kama picha haihusiani na habari yenyewe...
Kwa mazingira hayo haiwezekani mtu ajinyonge hadi afe.
Itazameni picha vizuri.
Huyu mtu ameuwawa na kutundikwa hapo.
Hiyo suruali imekaa kwa namna flani kama imechanwa msamba...!! So kwa urefu kama huo na mti akapanda juu ya mti akijiachia aisee unaendaa... Sema hiyo picha upande wa huu haioneshi vizuri suruali imefungwa wapi na umbali wa tawi
 
Naam nimeiangalia vyema. ..kwanza hiyo suruali inayo semekana imetumika kumnyonga inaonyesha kuwa imepwaya kwenye shingo ---yaani haiko tight so haiwezekani iweze kumnyonga mpaka afe
Isitoshe huo mti hapo, ungemsaidia sana wakati ameanza kuyasikia maumivu ya kujinyonga.
So Police wafanye kazi ya kuwasaka wauwaji.
 
Hiyo suruali imekaa kwa namna flani kama imechanwa msamba...!! So kwa urefu kama huo na mti akapanda juu ya mti akijiachia aisee unaendaa... Sema hiyo picha upande wa huu haioneshi vizuri suruali imefungwa wapi na umbali wa tawi
Ni sawa lakini kwa umbali wa marehemu na mti.
Mh! Kifo chake kina mashaka mengi
 
Duh napajua chunya
Kuna jamaa yangu anafanyakazi hapo nshaenda mara kadhaa, huyo jamaa yangu alikua na kesi ya Takukuru kwa miaka 4 akashinda

Takukuru wanasumbua sana halmashauri
Me nimezaliwa Chunya Makongolosi.Karibu sn,japo sipo huko sasa na ni miaka mingi sn.
 
Naam Daah kweli kabisa. .mti upo karibu sana na mwili. ..so wakati ana sikia maumivu ange utumia kama support ya kuepuka maumivu hayo kwa kuuparamia
Isitoshe huo mti hapo, ungemsaidia sana wakati ameanza kuyasikia maumivu ya kujinyonga.
So Police wafanye kazi ya kuwasaka wauwaji.
 
Sijaelewa nini kimetokea hapo, alivua suruali, akatengeneza kitanzi, akapanda juu ya mti akaseti kinyongeo, akashuka chini akaweka shingo kwenye kitanzi then akanin'ginia!!
POLISI FANYENI UCHUNGUZI WA KINA KUNA JAMBO HAPA SI BURE.
 
Back
Top Bottom