Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Inasikitisha na inatisha, ni taarifa ya uhakika toka TULAWAKA gold Mines.
Juzi usiku majira ya saa 3 kambini (estate) katika maeneo ya Club pembeni mwa swimming pool mfanyakazi mmoja wa Kizungu alibambwa LIVE akimwingilia kinyume na maumbile mhandisi wa Kibongo (Jina ninalo) mfanyakazi mwenzake. Sio kuwa alibaka la hasha walikuwa kwenye starehe!!!!
Walikamatwa na kupelekwa hospitali kupimwa kwa udhibitisho ikabainika ni kweli na bwana mzungu alishatupa mbegu.
Bado walikuwa wanashikiliwa na POLISI nini kitafuata.
WanaJF inatisha
Juzi usiku majira ya saa 3 kambini (estate) katika maeneo ya Club pembeni mwa swimming pool mfanyakazi mmoja wa Kizungu alibambwa LIVE akimwingilia kinyume na maumbile mhandisi wa Kibongo (Jina ninalo) mfanyakazi mwenzake. Sio kuwa alibaka la hasha walikuwa kwenye starehe!!!!
Walikamatwa na kupelekwa hospitali kupimwa kwa udhibitisho ikabainika ni kweli na bwana mzungu alishatupa mbegu.
Bado walikuwa wanashikiliwa na POLISI nini kitafuata.
WanaJF inatisha