bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,247
24,108
February 5, 2020
Kilosa, Tanzania

Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha

Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati sehemu za Gulwe na Kilosa, wataalamu wa ujenzi wa reli wamebainisha kuwa Tanzania itaendelea kuitumia reli ya mkoloni kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.



Pia Reli mpya ya SGR itachukua takriban miaka 15 kumalizwa kujengwa hilo limebainishwa ktk eneo la reli ya kati lililokumbwa na mafuriko yasiyo ya kawaida wakati jopo la wahandisi na mkurugenzi mkuu walipokuwa wanajadili athari za mafuriko na changamoto za reli ya mkoloni na reli mpya ya SGR.

TRC inapoteza zaidi ya milioni 100 kwa siku kutokana na kusitisha safari reli ya kati. Na ili kukabiliana na mafuriko inabidi reli ya kati ihamishiwe mlimani na mlima huo unahitaji kuchongwa pia .

Uharibifu ktk eneo la mto Mkondoa ni mkubwa sana na ingawa eneo hilo la Gulwe Kilosa hakuna mvua lakini mvua kubwa zinazonyesha mikoa ya Iringa na Dodoma inaingiza kiasi kikubwa cha maji mto Mkondoa.

Source: TRC Reli TV
The 1,224 km long SGR RAILWAY line construction in Tanzania
Yapı Merkezi is constructing the fastest railway in East Africa. The first phase of the 1,224 km total line, the 202 km long Dar Es Salaam - Morogoro Railway Project, is the most critical part of the project. When the 5-part line is completed, it will connect Uganda, Rwanda, Democratic Republic of Congo and Tanzania, and provide access to the Indian Ocean for all related countries.

The groundbreaking ceremony took place on on April 12, 2017 at Pugu with the participation of HE Dr. John Pombe Joseph Magufuli as President and Commander in Chief of the Armed Forces of the United Republic of Tanzania, Hon. Prof. Makame Mbarawa as Minister of Works, Transport and Communication, Mr. Yunus Belet as acting Ambassador of Republic of Turkey in Dar Es Salaam, Mr. Erdem Arıoğlu as Vice Chairman of Yapı Merkezi, Mr. Özge Arıoğlu as CEO of Yapı Merkezi, Mr. Emre Aykar as Yapı Merkezi Board Member and , Mr. Abdullah Kılıç as Yapı Merkezi East Africa Regional Manager.

All works pertaining to design, manufacture, assembly and operation startup of track superstructure, electrification, signaling, telecommunication, central control systems are being carried out by Yapı Merkezi.

202 km-long single line will be constructed at a design speed of 160 km / h between Dar Es Salaam and Morogoro. During the 30-month project, a total of 33 million cubic meters of excavation work will be undertaken; 96 pieces of 6,500 meter-long bridge and overpasses, 460 culverts, 6 stations and repair and maintenance workshops will be constructed.
Yapı Merkezi İnşaat ve Sanayi A.Ş.
 
Injinia wetu mtanzania ametupa taarifa iliyoshiba kuhusu miradi yetu ya mitandao ya meter gauge MGR ya mkoloni na huu mradi wa reli mpya SGR.

Ni vizuri walipa kodi kupata taarifa muhimu kama hizi za miradi inayotumia fedha zetu za ndani za mlipa-kodi na matarajio yake lini itakamilika kabisa.

Shukrani kwa TRC Reli TV kwa kutuhusisha kwa kutupa taarifa muhimu juu ya mradi huu mkubwa kabisa wa reli.
 
Mkuu hata kakideo au kapicha kangesaidia sana kutuaminisha sisi matomaso

Isikilize hiyo clip ya video mhandisi mtanzania mwenzetu mzalendo kabisa mwenye utaalamu na mzoefu akifanya kazi pamoja na wahandisi toka Turkey na China , amerudia zaidi ya mara moja kuwa mradi wa SGR Reli Mpya mpaka ukamilike utachukua miaka hata 15 (kumi na tano).
 
Isikilize hiyo clip ya video mhandisi mtanzania mwenzetu mzalendo kabisa mwenye utaalamu na mzoefu akifanya kazi pamoja na wahandisi toka Turkey na China , amerudia zaidi ya mara moja kuwa mradi wa SGR Reli Mpya mpaka ukamilike utachukua miaka hata 15 (kumi na tano).
Asante mkuu. Pamoja sana.
 
Isikilize hiyo clip ya video mhandisi mtanzania mwenzetu mzalendo kabisa mwenye utaalamu na mzoefu akifanya kazi pamoja na wahandisi toka Turkey na China , amerudia zaidi ya mara moja kuwa mradi wa SGR Reli Mpya mpaka ukamilike utachukua miaka hata 15 (kumi na tano).
Nimeisikiliza zaidi ya mara moja.
Ni kweli SGR itakamilika kati ya miaka 10-15. Mhandisi amejiongeza namna ya kulisema hili.

Ameongelea namna MGR itakavyowasaidia wananchi temporarly hadi hapo mtandao wa SGR utakapokamilika. Ukisikiliza haraka huku unamfikiria bashite :D huwezi kuielewa implication ya anachokisema.
 
Inabidi jpm apambane sana kumuweka mtu wake ili aendeleze reli!lakini nikiingia mimi naipiga chini sitakagi ujinga kabisa!!!Stiglers wakati watu hawana maji wala umeme wa uhakika??
Stiglers wakati watu hawana maji wala umeme wa uhakika??

Umerudia kusoma ulichoandika kabla hujapost? Kwani Stiglers ni mradi wa kuzalisha nini? Sio umeme kumbe!
 
Back
Top Bottom