- Thread starter
- #81
February 27 , 2020
TRC yaelekezwa kuanzisha treni za mjini kati ya Moshi - Arusha itakayohudumu saa 24
Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano ametaka TRC ianzishe treni ya kisasa za mijini kutoa huduma ya kusafirisha watu baina ya Moshi na Arusha na huduma hiyo iwe ya kisasa kama Marekani ya Kaskazini, China, Ulaya , South Africa n.k kwa kuwa na mabehewa ya kisasa yenye AC kipoza hewa. Waziri ashauri sekta binafsi ihusishwe kuleta mabehewa ya kisasa kutumia kipande cha reli Moshi - Arusha kwa huduma hiyo ya masafa mafupi kati ya miji hiyo ya Kaskazini mwa Tanzania.
Source : Global TV online
N.B
Ni wazo zuri maana hata abiria wakimataifa na wandani wanaotumia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro International Airport wataweza kufaidika na huduma hiyo kuwapeleka Moshi na Arusha ikizingatiwa eneo hilo kupokea watalii wengi.
Source: Maliasili na Utalii Tanzania
Ndege zinazotua Kilimanjaro International Airport ni Delta, Israir, Qatar Airways, KLM, Singapore Airlines, Kenya Airways, Precision Air na mashirika mengi ya kukodi ndege ndogo / kubwa hutumia uwanja huo wa Kilimanjaro.
Upo umuhimu wa TRC na wizara mama pamoja na wizara zingine kushirikiana kwa karibu mfano wizara ya utalii / maliasili, Mambo ya Nje , Mambo ya Ndani /Uhamiaji, Wizara ya Biashara n.k kutumia fursa ya reli ya mkoloni MGR.
Wizara ya Maliasili na Utalii yapanga mikakati
Source : Maliasili na Utalii Tanzania
TRC yaelekezwa kuanzisha treni za mjini kati ya Moshi - Arusha itakayohudumu saa 24
Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano ametaka TRC ianzishe treni ya kisasa za mijini kutoa huduma ya kusafirisha watu baina ya Moshi na Arusha na huduma hiyo iwe ya kisasa kama Marekani ya Kaskazini, China, Ulaya , South Africa n.k kwa kuwa na mabehewa ya kisasa yenye AC kipoza hewa. Waziri ashauri sekta binafsi ihusishwe kuleta mabehewa ya kisasa kutumia kipande cha reli Moshi - Arusha kwa huduma hiyo ya masafa mafupi kati ya miji hiyo ya Kaskazini mwa Tanzania.
Source : Global TV online
N.B
Ni wazo zuri maana hata abiria wakimataifa na wandani wanaotumia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro International Airport wataweza kufaidika na huduma hiyo kuwapeleka Moshi na Arusha ikizingatiwa eneo hilo kupokea watalii wengi.
Source: Maliasili na Utalii Tanzania
Ndege zinazotua Kilimanjaro International Airport ni Delta, Israir, Qatar Airways, KLM, Singapore Airlines, Kenya Airways, Precision Air na mashirika mengi ya kukodi ndege ndogo / kubwa hutumia uwanja huo wa Kilimanjaro.
Upo umuhimu wa TRC na wizara mama pamoja na wizara zingine kushirikiana kwa karibu mfano wizara ya utalii / maliasili, Mambo ya Nje , Mambo ya Ndani /Uhamiaji, Wizara ya Biashara n.k kutumia fursa ya reli ya mkoloni MGR.
Wizara ya Maliasili na Utalii yapanga mikakati
Source : Maliasili na Utalii Tanzania