Mhandisi msanifu wa jengo la Ikulu Dodoma ni wa kiwango cha kata

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Nimeangalia picha, mandhari na mwonekano wa jengo, sijaridhika na mhandisi msanifu wa jengo.

Halafu inavyoonekana ndiye huyo huyo aliyewachorea ramani ya stand kuu Dodoma.

Yaani ni michoro kama ya mwanafunzi wa darasa la tano anayechipukia kwenye sanaa ya uchoraji.

Rangi mbaya haifanani kabisa na hali ya hewa ya Dodoma.Rangi hiyo ingefaa eneo ambalo ni evergreen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeangalia picha,mandhari na mwonekano wa jengo,sijaridhika na mhandisi msanifu wa jengo.

Halafu inavyoonekana ndiye huyo huyo aliyewachorea ramani ya stand kuu Dodoma.

Yaani ni michoro kama ya mwanafunzi wa darasa la tano anayechipukia kwenye sanaa ya uchoraji.

Rangi mbaya haifanani kabisa na hali ya hewa ya Dodoma.Rangi hiyo ingefaa eneo ambalo ni evergreen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeangalia picha,mandhari na mwonekano wa jengo,sijaridhika na mhandisi msanifu wa jengo.

Halafu inavyoonekana ndiye huyo huyo aliyewachorea ramani ya stand kuu Dodoma.

Yaani ni michoro kama ya mwanafunzi wa darasa la tano anayechipukia kwenye sanaa ya uchoraji.

Rangi mbaya haifanani kabisa na hali ya hewa ya Dodoma.Rangi hiyo ingefaa eneo ambalo ni evergreen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeapatanisha na tupicha, uzi ungeleta tija Sana. Mhandisi na Msanifu wa majengo ni watu wawili tofauti.
 
Nimeangalia picha,mandhari na mwonekano wa jengo,sijaridhika na mhandisi msanifu wa jengo.

Halafu inavyoonekana ndiye huyo huyo aliyewachorea ramani ya stand kuu Dodoma.

Yaani ni michoro kama ya mwanafunzi wa darasa la tano anayechipukia kwenye sanaa ya uchoraji.

Rangi mbaya haifanani kabisa na hali ya hewa ya Dodoma.Rangi hiyo ingefaa eneo ambalo ni evergreen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yako ni sawa kwa kufuata uhuru wa kujieleza lakini kwa tulipo sasa ni unahujumu uchumi!
 
Nimeangalia picha,mandhari na mwonekano wa jengo,sijaridhika na mhandisi msanifu wa jengo.

Halafu inavyoonekana ndiye huyo huyo aliyewachorea ramani ya stand kuu Dodoma.

Yaani ni michoro kama ya mwanafunzi wa darasa la tano anayechipukia kwenye sanaa ya uchoraji.

Rangi mbaya haifanani kabisa na hali ya hewa ya Dodoma.Rangi hiyo ingefaa eneo ambalo ni evergreen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda mchoraji ni Bashite
 
Nimeangalia picha,mandhari na mwonekano wa jengo,sijaridhika na mhandisi msanifu wa jengo.

Halafu inavyoonekana ndiye huyo huyo aliyewachorea ramani ya stand kuu Dodoma.

Yaani ni michoro kama ya mwanafunzi wa darasa la tano anayechipukia kwenye sanaa ya uchoraji.

Rangi mbaya haifanani kabisa na hali ya hewa ya Dodoma.Rangi hiyo ingefaa eneo ambalo ni evergreen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chukii binafsi azifaii tuziachaneni jamani zitaleta......
 
Back
Top Bottom