Mhakama ziwe na vitabu vya kusaini mshitaki na mshitakiwa

Kalam mpya

Member
Mar 30, 2017
84
76
Katika hali isiyo ya kawaida kuna kumekuwepo na ujanja ujanja unaotumiwa na baadhi ya mahakama na mahakimu kumpatia kosa mtuhumiwa la kutofika mahakamani ili iwe kisingizio cha kumtia ndani Mshitaki au mshitakiwa.

Hii ili hoja hii iondoke hapo ktk umbwe hilo ni vema sasa Mahakama zetu nchini zikawa na vitabu vya kusaini mshitaki na mshitakiwa hii itaondoa yale mambo yanayoitwa

Mahakama imezungumzwa juzi ww unakuja leo. Na ipo tabia ya kuwapangia tarehe tofauti ili kunganya upande unaoonekana unaelekea kupata haki.


Mh Rais wa Awam ya 5 ni kiboko cha wapindisha haki. Hapo ni pabaya.
 
Inawezekana ikawa suluhisho mkuu??Halafu hapo kwenye upangaji wa tarehe tofauti tofauti inakaa vipi??
 
Katika hali isiyo ya kawaida kuna kumekuwepo na ujanja ujanja unaotumiwa na baadhi ya mahakama na mahakimu kumpatia kosa mtuhumiwa la kutofika mahakamani ili iwe kisingizio cha kumtia ndani Mshitaki au mshitakiwa.

Hii ili hoja hii iondoke hapo ktk umbwe hilo ni vema sasa Mahakama zetu nchini zikawa na vitabu vya kusaini mshitaki na mshitakiwa hii itaondoa yale mambo yanayoitwa

Mahakama imezungumzwa juzi ww unakuja leo. Na ipo tabia ya kuwapangia tarehe tofauti ili kunganya upande unaoonekana unaelekea kupata haki.


Mh Rais wa Awam ya 5 ni kiboko cha wapindisha haki. Hapo ni pabaya.
Rubbish!
 
Back
Top Bottom