Bwana Kheri
Member
- Oct 31, 2018
- 26
- 49
Binafsi sijakuelewa hoja/ujumbe wako. Am just see scripts and not contents.
Kama hujaelewa wahi tamthilia unazoelewa, si lazima uelewe hilo.
Binafsi sijakuelewa hoja/ujumbe wako. Am just see scripts and not contents.
Kama hujaelewa wahi tamthilia unazoelewa, si lazima uelewe hilo.
Nenda FB mkuu huku JF ni discussions + arguments. You can not present vowels and consonants and expecting free from challenges.Kama hujaelewa wahi tamthilia unazoelewa, si lazima uelewe hilo.
Kama kuna Jambo lililozoeleka au Kitu kilichozoeleka hapo UDSM kwa miaka takribani 15 hadi 20 iliyopita ni Kukithiri kwa Rushwa ya Ngono kwa Watoto wa Kike ili wapate alama ( Marks ) za Kutosha na hata kupata 'Degree ' zao mbalimbali na Watu wengi walishapigia Kelele sana hili ila Wahusika ' wakaunyuti / wakanyamaza ' tu sasa leo hali imekuwa mbaya zaidi ndiyo ' Wanafiki ' mnaibuka.
Binafsi nina ' Shuhuda ' zangu nyingi za kutosha juu ya hili hasa kutoka hapo hapo UDSM na bahati nzuri wapo Wanawake ambao wengine sasa ni Viongozi maeneo mbalimbali ( kwa Maadili na Kuwaheshimu sitowaanika hapa hata iweje ) nao walikuwa ni ' Wahanga ' wa hii ' Sumu ' kali ya Kitaaluma na ambayo imechangia kwa Kiasi Kikubwa mno Kuharibu Elimu na Heshima ya hicho Chuo Kikuu ( UDSM )
Nadhani hukupashwa Kwanza kuwa na Kiherere chako ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kutaka Kukimbilia Kushtaki kwa Mheshimiwa Rais ile jana na badala yake nadhani Wewe kama ' Intellectual ' na mwenye uwezo pia wa Kufanya ' Research ' ungeanza Kwanza kujiuliza ni Kwanini 90% ya Mabinti wengi wa Vyuoni hasa hapo UDSM wanapenda mno ' Academic Free Ride ' tofauti na wale wa Vyuo Vikuu vingine kama cha SAUT ( Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ) ambacho pale ukiipata Shahada ( Degree ) yako basi jua kweli umeihangaikia na unastahili ' Kuiringia ' kokote kule kama ambavyo GENTAMYCINE ' nairingia ' na mnanikoma nayo vile vile.
UDSM niliyokuwa nikiiheshimu Mimi ni ile ambayo ilikomea / iliishia tu mwaka 1995 kurudi hadi Uhuru lakini UDSM ya kuanzia mwaka 1996 hadi hivi leo siiamini kwakuwa hata ' product ' yake tu tuko nayo Uraiani / Mtaani tunaiona ilivyo na bahati nzuri hata Wanafunzi wengi wa Kike wa hapo huwa hawafichi Kujinasibu / Kusema kuwa ' wametoboa / wamefaulu ' kwa Kutembea ( Kungonoka ) na Wahadhiri Wao mbalimbali na kuna Wahadhiri kama Wanne hapo ambao ndiyo ' Vinara ' wa huu ' Upopoma ' uliotukuka wa ' Kingono ' na taarifa zao zipo sehemu mbalimbali za ' Maamuzi ' lakini naambiwa kuwa ni ' very untouchable ' na Mamlaka husika za Kitaaluma.
Ni mpaka Watoto wa Kike mtakapobadilika na kujitambua huku mkiacha ' Unafiki ' wenu ndipo mtaheshimika na pengine hata kutokupata haya ' madhira ' ila kwa hiki Kizazi cha Watoto wa Kike wa sasa ambacho wengi Wao ni Wavivu Kusoma, wamewekeza sana katika Starehe, Mashindano, Sifa, Ungumbaru ( Ujinga ), Upopoma ( Upumbavu ) na ushamba wa Kuiga mambo mengi wataendelea sana ' Kulalwa ' na Wahadhiri wao hadi dunia itakapopinduka pale Yesu Kristo akija Kutukomboa Waja wake.
Nawasilisha.
Inabid ye jamaa ndio akafanye tafiti na sio Dkt Shule.Usimkandie kabisa vicensia. Binafsi namfaham hajakurupuka kbs.
Wapi wahadhiri hapo chuoni walipata uhadhiri kwasabb ya kuwa ma.maksi kubwa na gpa nzuri lkn kumbr ni gpa za chupi. Wakabakizwa chuoni kufundisha. Wakapata nafasi za kwenda kujiendeleza. Kufika nje wakafeli kozi Hadi aibu. Sijui NN kilifanyika Hawa wahadhiri wakarudi tena tz na kuendelea na ajira chuoni. Yupo mmoja uclas, wawili wapo udsm mmoja ni kitivo Cha ualimu was watu wazima mwingine ni idara ya elimu ya utimamu wa mwili
Refer namna yule Mhadhiri wa UDOM alivowekewa mtego na TAKUKURU baada ya kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi wakeHivi ukiripoti kuombwa rushwa ya Ngono TAKUKURU si wataweka mtego mtuhumiwa akamatwe sivyo au una maana tutumie njia tofauti?
Lazima tujiulize kwanini zama hizi ndio hayo mambo yameshamiri?Refer namna yule Mhadhiri wa UDOM alivowekewa mtego na TAKUKURU baada ya kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi wake
Karithi au ni ugonjwa?Huyo jamaa babake alinifundisha Dodoma chuo x ni mhaya mpenda ngono balaaaaa
Ngwini ndio nini mkuu?
CoET ni college of engineering and technology
Kweli wewe IQ yako ndogo unashindwa kuelewa ???Hapo UDSM kuna rushwa ya ngono au ni maridhiano? Mhadhiri hana haki ya kuomba na kupewa?
Si tunaambiwa udsm wamejaa vipanga