Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Hapo UDSM kuna rushwa ya ngono au ni maridhiano? Mhadhiri hana haki ya kuomba na kupewa?
Mgongano wa maslahi hauonekani kwako?
Hapo UDSM kuna rushwa ya ngono au ni maridhiano? Mhadhiri hana haki ya kuomba na kupewa?
Na hata kufaulu na kuwa mhadhiri kwa kutoa rushwa ya ngonoHuyo Vicensia ahojiwe labda na yeye alipitia masahibu ya kuombwa rushwa ya ngono.
Mjomba naona ukiwa lecture kwenye shule ya wakina mama hautahitaji mshahara.Huyu Mhadhiri ni mjinga. Ngono kwa jamii kubwa kama UDSM ni kitu muafaka kabisa kosa kama zinahusianishwa na marks . Angefanya tafiti ndogo ikiwa ni kweli ngono hizo zinahusianishwa na marks halafu aanzishe action followup. Halafu ufaulu hautazami kozi moja au 2 je wanahonga wote kozi saba nane. Naona sana huyu Mama ana wivu wa kupita umri wa mvuto.
Hilo tatizo lipo dunia nzima. Tofauti ni viwango tu. Hio me too movement haikuanza kwa bure.Ila cha ajabu haya mambo hayapo kwa wenzetu waasisi wa hizi taasisi huko mamtoni! Kule unafundishwa kama upo chekechea na usipoelewa mwalimu anajiskia vibaya sana. Dhamira yake huwa wote mu pass with flying colors ila kwetu huku mkifaulu darasa zima mhadhiri anaumia! Anataka awakomoe tu ili aonekane sijui ndio msomi sana wakati nae kapitia system hizo hizo za ufundishwaji, yani kufaulu kirahisi kwao huwa inawauma sana lazma wawaumize na complication ambazo hazina mantiki na hatimae wengine wanaishia kugongwa in the process!
Umemaliza kila kituMimi nafikiri suluhu ni sisi wanaume kubadili mtazamo wa namna tunavyowafikiria wanawake
Na wanawake pia wabadili namna wanavyotaka tuwatazame elimu
Ndicho nilichomaanisha aeleze yote.Na hata kufaulu na kuwa mhadhiri kwa kutoa rushwa ya ngono
Wingi wa vipanga utakuwa unaletwa na wanaume!Si tunaambiwa udsm wamejaa vipanga
Je, kwa hiyo huwa wanapewa hiyo rushwa bila kuomba?Wahadhiri vyuo vikuu huwa hawaombi rushwa ya ngono
NdyoJe, kwa hiyo huwa wanapewa hiyo rushwa bila kuomba?