Tutaambiwa ni serikali yale yale ya Dk Ulimboka
Stella Manyanya atasema chadema wanahusika,maana walivaa magwanda.!
Kweli,mi nimeckia redio imani wakitangaza,wametekwa na watu wenye bunduki mmoja wao akivalia jezi ya police,thz is bad
Ametekwa ama amejificha?
Kama hakuna aliyeona tukio, basi kusema katekwa ni uzushi tu, he's just a missing person, and for adults, hilo si jambo la ajabu, subirini baada ya masaa 72, then mripoti polisi.
Inatakiwa wananchi na polisi kuwa vigilant hivihivi maana hawa jamaa hawatabiriki...Tukio lenyewe ni matokeo ya Inteligensia hafifu: huyu Sheikh alikuwa na wageni wake ambao inasemekana ni viongozi wa dini kutoka Yemen, wakiwa kwenye Landcruiser V8, mpya na tinted walisimamishwa na traffic na wakasimama, akawasalimia na kuwaruhusu. Lakini huku nyuma traffic akawa na wasiwasi na wale waarabu ndani ya gari zile, akatuma ujumbe kwa wakubwa zake ndio wakatuma askari wasio na sare; (huenda ni anti-terrorism squad), kufuatilia hizo gari hadi Bagamoyo na kuwakamata. Ule ukamataji wa kimzobe-mzobe, na watu wasio na sare wakiwa na gari binafsi ndio uliwafanya watu walioshuhudia wafikiri jamaa labda wanakwenda 'KUMLIMBOKA'.
sheikh Kishki na wageni wake baadae waliachiwa na akwahutubia wafyasi wake waliukuwa wamepiga kambi kituoni hapo. Mziki wake ulikuwa mzito, Inasemekana ilichukua hekima ya mkuu wa kituo kuwatuliza masheikh hao na kuepusha ugomvi mwingine baina ya watawala na wanaharakati wa kiislam.
Inatakiwa wananchi na polisi kuwa vigilant hivihivi maana hawa jamaa hawatabiriki...
Kova ni musilam, so as Mwema, Hemedi Msangi et al, Sheick hawezi kuwa na shida yoyote.Huu ni uzushi huu.
Ametekwa ama amejificha?
Kama hakuna aliyeona tukio, basi kusema katekwa ni uzushi tu, he's just a missing person, and for adults, hilo si jambo la ajabu, subirini baada ya masaa 72, then mripoti polisi.
Kova ni musilam, so as Mwema, Hemedi Msangi et al, Sheick hawezi kuwa na shida yoyote.Huu ni uzushi huu.
Inatakiwa wananchi na polisi kuwa vigilant hivihivi maana hawa jamaa hawatabiriki...
Nadhani Stella Manyanya ni Mkirsto na Dr Ulimboka ni Mkiristo, anachosema dhidi ya Ulimboka ni kweli?
Nadhani Stella Manyanya ni Mkirsto na Dr Ulimboka ni Mkiristo, anachosema dhidi ya Ulimboka ni kweli?