Mhadhiri Chuo Kikuu Dodoma ataka Yericko Nyerere apewe PhD mbili kupitia kitabu chake cha Ujasusi

Ukita kuona chuki za watanzania walio wapumbavu anagali huu uzi watavyomshambulia yeriko na huyo Dar wakati hata mtu kitabu ajawai kukisoma
 
Msomi na maoni hayo! Basi ODM ndio maana wanasema ni chuo cha KATA! Lakini nadhani wanamsingizia! hawezi sema hivyo AU alikuwa anatania tu!
Hahahaa mkuu vipi, wewe una maoni gani ukiacha kubeza kazi nzuri zinazofanywa na wenzako?
Ukumbuke kuheshimu kazi za wenzio hata kama haziko ktk mlengo unaopenda wewe.

Kwa wenzetu wanaojali umuhimu wa kazi muhimu kwa ajili ya maendeleo na faida za nchi zao( yaani wazalendo wa kweli ukiacha hawa uchwara wetu).
Yericko angeweza kutumika japo hata kushiriki ktk ujenzi wa maswala ya kijasusi au kuimarishwa zaidi kwani anafanya kazi hizi kwa juhudi zake binafsi. Huyu ndiye mzalendo anapaswa kuumgwa mkono. Lakini kwa hizi Water head za watawala hawawezi kuona hili.
 
Hahahaa mkuu vipi, wewe una maoni gani ukiacha kubeza kazi nzuri zinazofanywa na wenzako?
Ukumbuke kuheshimu kazi za wenzio hata kama haziko ktk mlengo unaopenda wewe.

Kwa wenzetu wanaojali umuhimu wa kazi muhimu kwa ajili ya maendeleo na faida za nchi zao( yaani wazalendo wa kweli ukiacha hawa uchwara wetu).
Yericko angeweza kutumika japo hata kushiriki ktk ujenzi wa maswala ya kijasusi au kuimarishwa zaidi kwani anafanya kazi hizi kwa juhudi zake binafsi. Huyu ndiye mzalendo anapaswa kuumgwa mkono. Lakini kwa hizi Water head za watawala hawawezi kuona hili.
Hatutaelewana.... enjoy your night!
 
Huyo ndio Yericko Nyerere aliyeweza kuwaponyoka vikosi kadhaa vya wahalifu waliokuwa wakimfatilia kuanzia Kigamboni. Kinondoni, Mbezi kibaha hadi Chalinze, akawachomoka kwa mbinu za kikomandoo hadi akakimbilia Arusha mpakani mwa kenya na akarudi Tanga usiku mmoja wa manane.

Wahalifu wale walilenga kumnyang'anya pengine hata kumpoteza kabisa kutokana na kubeba kwake drafti ya Ushindi wa Uchaguzi 2015.

Viva Yericko.
Mkuu Hii Story Ilinipita Kama Hutojali Naomba Unijulishe Mahala Pakuipata.
 
Lakini mbona yule msomi wa gerezani@Mohammed Said alisema Yericho sio chochote
 
Maoni ya Dkt. Athumani S. Ponera (Mhadhiri wa Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dodoma) baada ya Kusoma kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi.

Daktari Ponera anasema "Yericko Nyerere kupitia kitabu hiki unastahili kupata PhD mbili, anafafanua zaidi kwakusema, PhD ni uzamivu wa mtu ktk Eneo/uga fulani. Mtu akisoma andiko lako anapata maeneo mawili au matatu yaliyofanyiwa kazi kwa kina. Kwa maoni yangu, Nyuga hizo ni pamoja na:

1. Usalama

2. Histo-tamaduni (maelezo ya kihistoria, matukio na utamaduni kuhusu jamii/maeneo mbalimbali)

3. (utamaduni wa)Siasa za maeneo mbalimbali.

Any of the above fields zimeelezwa Kwa kina, na zinaweza kumegwa na kujalizwa kidogo kisha mtu anapata PhD....hongera sana Yericko Nyerere".


Audio:

Pole yake mhadhiri, sitashangaa nikisikia vijana wa Injinia John wamemmiminia risasi 38
 
Huyo Dr ataandamwa....na wale wa mtindio wa Lumumba hadi atajuta kusifia....awamu hii kusifiwa ni mtu mmoja tu......
Kasahau kwamba Tanzania tuna mtukufu mmoja tu. Wote tuliobaki kazi yetu ni kumsifia tu.
 
Academicians wengi wapo humu lakini hawatoi maoni yao kuhusu hili sijui kwanini ?

Naomba nileweshwe huyo Dr ponera ametoa maoni hayo ktk ground ya kumpa PhD ya heshima au academically ? Na je kuna uwezekano wa mtu kupata PhD kwa mazingira kama hayo ?

Academiacians waje kama wanamsapoti au wanampinga dr ponera watoe hoja zao.
Shida nyingine hapa ni kuwa Yeriko anaambatana na siasa wengine wanashindwa kuchangia objectively instead wanaangalia usiasa ulivyoamabatana na Yeriko.
 
Back
Top Bottom