N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Nakuheshimu Mhadhiri Bakari, ila naomba muongozo wako tafadhari, idadi ya 350,000 ni idadi ya wafanyakazi woooote serikali au wafanyakazi wa kiwango cha kima cha chini peke yake? sababu lazima tuangalie from both angle. Muungwana nafikiri katoa hiyo hesabu subject to all civil servants or part of them, so hawa wa kima cha chini ndio hii jumla yako na ile inayozidia hapo ni ya wale wateule wake. Na ratio iko fine maana wanakula mshahara wa kutosha na posho za kumwaga, maana piga hesabu ya wabunges tu you will agree with me. Akitupandishia mshahara wale wa kima cha chini to Tsh 350,000/= inamaana na (vima) I mean other scales also wil go up for X%. Hela walahi haitatosha maana pale juu posho ni almost 2 to 3 more than the basic salary, HELA HAITATUTOSHA. Lakini sikubaliani na tactics za Muungwana maana katumia Mourinho style.