Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Watanzania vipi tena? Umekuwa kama SANTURY ya VYNIL iliyokwama ..... Kwa nini unasema ..... kwa nini unasema ...... kwa nini unasema ......
Mchambuzi shule yake nimeikubali. Kama ni hesabu basi jamaa kweli zinashuka. Vile vitabu vya KIJANI vya hesabu naona alicheza navyo sana na akaelewa bila kukariri.........
Sasa tuone akina Makamba wakimjibu kuwa jamaa ANADANGANYA......
Mchambuzi shule yake nimeikubali. Kama ni hesabu basi jamaa kweli zinashuka. Vile vitabu vya KIJANI vya hesabu naona alicheza navyo sana na akaelewa bila kukariri.........
Sasa tuone akina Makamba wakimjibu kuwa jamaa ANADANGANYA......