Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

Mheshimiwa waziri wa afrika mashariki kafungua kongamano kwa kuanza kutoa historia ya tanganyika, aelezea kuhusu elimu yake, vyama vya siasa wakati huo kabla ya uhuru vilikua vitatu . Pia alipata bahati ya kusomeshwa nje na serikali ya tanganyika. Baada ya kumaliza elimu yake aliweza kuwa waziri mdogo.
Pia aeleza jinsi alivyopewa neno la husia na hayati baba wa taifa mwl j.nyerere alimwambia msichezee misingi ya taifa 1. Uadilifu 2. Umoja 3. Kutopjilimbikizia mali 4. Usawa na uwaibikaji
kuhusu kwanini tanzania ni maskini baada ya miaka 50 ya uhuru amesema tanzania ina rasimali nyingi tukiitumia vizuri tutafika katika kilele cha maisha mazuri tunayoyahitaji, natukiwa na dhamira ya dhati, kuwa wazalendo, tukaacha rushwa tutafika katika hali nzuri ya kimaendeleo. Akasema vijana ndio chachu kubwa ya maendeleo kwahiyo tusikubali kutumiwa vibaya katika siasa za malumbano.
Kasema yeye anaifuata toka alipoingia tanu. Na wala hafikirii kwenda chama chochote kila. Habari za kwenye magazeti kwamba alikua anataka kuanzisha chama ni majungu. Kwani yeye ni mtaji wa urais. Na ujana wake wote amekulia ccm hawezi kukiacha. Na akasema wale wote wanaoipaka matope ccm waondoke ndani ya chama.nk……
na mhehshimiwa dr harisson makyembe amesema tatizo la umaskini tanzania ni ukosefu wa wataalamu hasa katika njanja ya sayansi na teknolojia, tanzania inaitaji wataalamu physical science 837000, wahandishi 2987000, nk

Kama huu ndo mchango wa Sitta, binafsi bado sijaona akijibu kwa nini Tanzania ni maskini.. Kama huo ndo mchango wake juu ya mada, kwa nini Tanzania ni maskini basi amepoteza muda wake kwenda huko
 
nina mashaka sana kwamba sita na mwakyembe kweli wamejia huo mjadala isipo kuwa, makonda wa ccj, nadhani baada ya mdahalo watakuwa na la kujadili, ili wajue wata kabilianaaje na hali ya sasa!!
anyway kwani nani kaandaa huo mdahalo:dance::A S 103:!!
 
Mada wanapresent kwa kiswahili au kingerza?...maana hizo hoja za Mwakyembe zimewasilishwa kwa kingerza na huyu 'informer' wetu, kuna baadhi ya maneno yamenipiga chenga
 
miaka 50 ya uhuru kwanini tanzania bado ni maskini? Wadau mnakaribishwa kutoa maoni yenu leo saa nne chuo cha ushirika muccobs.
Watoa maada ni:
1. Prof shivji
2.dr harrison mwakyembe
3.mh samweli sita
4.prof chambo
5.mr. Atanas mangasin
 
Wadau,
Leo "usubuh" nimeingia hapa chuo kikuu cha ushirika na biashara nimekuta bango linalosema jmos kuna mdahalo mkali.

Washiriki wakuu ni Prof. Shivj, Prof. Chambo, Six na Mwakyembe...

Topic: Why Tanzania is poor nation for 50 years from independence?

Nawasilisha!


Hili wala hata halihitaji mjadala, majibu yako wazi....ni ubinafsi na ukosefu wa maadili wa viongozi wetu kucheka na wala rushwa na kuwa na mipango isiyojali vipaombele vya nchi...na tatizo lilianza enzi ya awamu ya pili,likaendelea ya tatu na limeshika kasi awamu hii ya nne
 
Simuoni shivj yaleyale!!

Kongamano linaendelea ila kwa mtizamo wangu akina sita na mwkyembe wamefungwa gavana wanajarbu kuitetea serkali kjanja.ila mkufunz wetu hapa anaeitwa mangasin amejtahd kueleza kwa ufasaha kwa nn tu maskin japo tuna raslimal za kutosha.km six ndo anajtahd kukitetea ccm kwan wanafunz na wahudhuriaji wananongona kuonyesha kutokukubaliana na hoja zake.mjomba yupo nafkr amejionea jins watu walivyohamaska kuhudhuria hili kongamano sjajua km yeye kuwepo amehamasisha watu kuja ama laa
.mh sita ndoo anajibu maswali ya wanafunz.baada ya mwakyembe kujibu baadh.ila kwa ukwel mr mangasini ndo kajtahd kuongelea mada huska.
 
Mh sita anasema apongezwe kwa kujulikana kagoda alafu akaanza kujibu swali lingine dah naona kagoda haizungumziki sijui anaogopa nini
 
DR Mwakyembe
the national developmental vision 2025. that Tanzania will become a middle income country, the things that will get us there are
1. mechanized agriculture
2. developed fishing
3. value addition on agro products
4. good governance
Dr mwakyembe is stating that the youth will be responsible for the reachiing of the vision 2025.US

the middle income countries are categorized as follows
1. lower middle income are US 1669 to US 3500
2. the upper middle income are US 3500 TO US 10000
3. Higher income like the developed countries and the only country in Africa to reach that is Equitorial Guinea.

The upper middle income countries are Botswana, South Africa, seychelles, Angola and others

-the middle income countries must have good governance and the governance which is good is having a good constitution.

The contribution of the youth is much needed in the changing of the country without the youth then there will not be any development, the youth in particular the elitist the educated should be the source of change in the country.

The reaching of the midlle income country is the exploitation of the education and technology sector.

Tanzania wont be called a middle income country if doesnt have sufficient electricity supplying the industries and the households. to reach the 2025 vision we need engineers 200800, and doctors 100000, and physics scientist 800.

Dear Dr Mwakyembe,

this is to assure you that Tanzania has got so well learned people, and for years we have been creating exellent phenomenomS, IF well implimented necessary to achieve wealth to the majority...

tatizo ni utekelezaji na utendaji wa nyuma ya pazia....tatizo kubwa zaidi ni uongozi, of which CCM is an engine,,,....

naona sasa tutaanza kuhoji uhalali wa PhD yako ikiwa huelewi kwa nini wanaushirika moshi wamekuita....they are aware of all theories, policies and national strategies.......they want more that that.........DESPITE GOOD POLICIES, THEORIES AND STRATEGIES.......WHAT IS GOING WRONG????
 
Kongamano la kihistoria litafanyika katika chuo cha ushirika Moshi (MUCCOBS) 21 May 20011. Watoa mada Samwel Sitta, Harrison Makyembe, Pro Shivj wa UD na Prof Chambo nk. kongamano litahusu ''KWANINI TANZANIA NI MASKINI BAADA YA MIAKA 50 YA UHURU''.

Mi huwa najiuliza hv hawa watawala tulishawakosea nn sisi,inamaana sisi hatupendi hvyo vizuri ambvyo wao wanavipata ilhali nchi hii ni yetu sote!!!? kodi tunakwatwa kubwa sn lakni hamn lolote. inauma sn unapoona pay slip yako imekatwa kodi kubwa hlf maendeleo hakuna.
 
Kuna kiongozi katika list hii ni mnafiki mkubwa sana na hawafai kamwe kujadili masuala kama hayo kwani alishakuwa ndani ya serikali na hakusaidia chochote kile zaidi zaidi ya kudumisha fikra zile zile za ki- utapeli; anachotaka sasa ni kujisafisha mbele ya umma; swali la msingi la kujiuliza ni je hizo fikra za kusaidia taifa kaziota leo? Na kama hajaziota leo, kwanini siku zote akiwa katika system asingezitoa Tanzania ipige hatua? Kama hakufanya hivyo ni wazi huyu ni mbinafsi mkubwa.

Mheshimiwa Samweli Sita hapaswi hata siku moja kusikilizwa kwani alikuwa ndani ya system kwa muda mrefu na yalimshinda yote hayo.Mf. Alisha kuwepo CDA Dodoma lakini hakuna cha msingi alichokifanya; alitumia mamilioni ya shilingi kutujengea ofisi ndogo ya spika Urambo-Tabora kana kwamba kila miaka spika atatokea urambo.

Ni kitu kimoja tu,ambacho alijitahidi kutuwezesha kujua ukweli wa richmond alipokuwa spika wa bunge lakini hayo yote ilikuwa ni kama kisasi chake dhidi ya lowasa,swali la msingi ni je kama asingekuwa anataka kulipiza kisasi haya yote tungeyajua? Muccobs nawaomba kutomsikiliza huyu mtu. Wengineo wote waliobaki katika hii list sina shaka nao.
 
siita na mwakyembe huwa nawaangaliwa kwa jicho la ndege pamoja na ndugu yao B.membe.........siwaamini
 
hehehehehe.... Swali la kizushi hapa.. hivi ikitokea Shivji anahitaji Urais mtampa KULA ZENU!? :biggrin1::biggrin1:
 
Kuna kiongozi katika list hii ni mnafiki mkubwa sana na hawafai kamwe kujadili masuala kama hayo kwani alishakuwa ndani ya serikali na hakusaidia chochote kile zaidi zaidi ya kudumisha fikra zile zile za ki- utapeli; anachotaka sasa ni kujisafisha mbele ya umma; swali la msingi la kujiuliza ni je hizo fikra za kusaidia taifa kaziota leo? Na kama hajaziota leo, kwanini siku zote akiwa katika system asingezitoa Tanzania ipige hatua? Kama hakufanya hivyo ni wazi huyu ni mbinafsi mkubwa.

Mheshimiwa Samweli Sita hapaswi hata siku moja kusikilizwa kwani alikuwa ndani ya system kwa muda mrefu na yalimshinda yote hayo.Mf. Alisha kuwepo CDA Dodoma lakini hakuna cha msingi alichokifanya; alitumia mamilioni ya shilingi kutujengea ofisi ndogo ya spika Urambo-Tabora kana kwamba kila miaka spika atatokea urambo.

Ni kitu kimoja tu,ambacho alijitahidi kutuwezesha kujua ukweli wa richmond alipokuwa spika wa bunge lakini hayo yote ilikuwa ni kama kisasi chake dhidi ya lowasa,swali la msingi ni je kama asingekuwa anataka kulipiza kisasi haya yote tungeyajua? Muccobs nawaomba kutomsikiliza huyu mtu. Wengineo wote waliobaki katika hii list sina shaka nao.


labda ameamuwa kubadilika na kufanya kazi kwa kasi zaidi
 
Hii ni sumu tuliyonyweshwa na watawala wetu wakwepa majukumu na waliokosa maono ya kiuongozi na wakabakia na lawama kwa Watz eti wavivu.
Na kwa bahati mbaya sana huu wimbo uliweza kuimbwa vizuri sana na lile lijambazi la awamu ya 3, Mkapa!
Na kwa bahati mbaya sana zaidi kuna kundi kubwa sana la wasomi, watz, na vijana kibao yaani kila kada ya nchi hii wakauamini huo upuuzi.
Umeorodhesha vitu vingi hapo, na hizo nchi, ila nitajie nchi yoyote duniani (au katika hizo ulizozitaja) ambapo imeendelea kwa juhudi binafsi za mtu mmoja mmoja?
Pia nijibu hichi kitu, hivi? Enzi zile ambapo Mwalimu nyerere anasongesha mambo katika hii nchi hadi leo hii Mwalimu anasifiwa kwa kila kitu ukilinganisha na hawa marais vilaza waliomfuata, hayo mambo yote Nyerere alikuwa anafanya peke yake tu??
Tunaambiwa kulikuwa na viwanda zaidi ya 300, na mashirika kedekede, taasisi za umma na mazagazaga yote, je hayo yote alikuwa anafanya walimu peke yake?
au aliagiza raia kutoka nchi za nje (kama hizo nchi ulizozitaja)
Labda kweli maana tunasikia kwa kipindi cha Mwalimu Tanzania ilikuwa inalingana na China baadhi ya vigezo vya kiuchumi, India na hizo Tiger countries nasikia tulizifunika kabisa (eti enzi hizo za miaka ya 70).
Narudia tena kukuuliza je hayo yote alikuwa nayafanya Nyerere peke yake? Au alikuwa anawatumia raia wa nchi gani?
Kama ni watanzania! ok, baada ya nyerere hao watz aliojenga nao misingi aliwapeleka wapi?
Wapo eh?
Sasa kama mtu unaakili timamu utagundua kwamba, kama watz ni walewale tu kilichobadilika ni kwamba hayupo Mwalimu tu, maana yake ni kwamba Uongozi mbovu ukiwa na watz walewale jibu lake ni umasikini tu.
Hebu tujikumbushe, ili uendelee unahitaji nini? Watu (watz wapo), ardhi (tunayo kubwa sana, ambayo haitumiki ni kubwa kuliko inayotumika), uongozi bora (we unauona?) na siasa safi (we unaiona?
Rudi darasani zaidi nenda kajifunze historia ya hayo mataifa uliyoyataja hapo.
Hizo Taiwan na Singapore unajua zimetokaje?
Eti unaisema china.?
Mfumo wa siasa uliyobora (kwa nchi husika) ndio unaozaa taifa bora na imara lenye maendeleo,
Na mfumo bora wa siasa unawezaa kusimamiwa na uongozi bora. Mkiwa na haya hayo matatizo mengine yoote uliyotaja ni ya kawaida na mnayapita tu.
Mfano leo hii Japan pamoja na tetemeko kali la kihistoria lakini wametoa msaada kwa waathirika wa mabomu mbagalaa.
Watz ni watu wa kawaida kama walivyoraia wengine tu wadunia ambapo tabia ya ujumla ya binadamu yeyeto ni kwamba "u treat one like a dog, s/he z gon act like a dog"
Na kwa taarifa yako huyo muasisi wa huo msemo wakipuuzi kuwa watz ni wavivu aliumbuka mbele ya Rais wa Botswana pale aliposema ni Watz maengineer ndio wanaoijenga Botswana, je hao maengineer na wataalamu wengine tunawatumiaje, usisahau madaktari na walimu wanaishi kama wakimbizi kwa ujira wa chini huku wansiasa wanaishi kama wapo peponi.
Fumbua macho, ona, sikia na utazame.​

Mkuu,this a very good analysis,hapo hujabakiza kitu,sababu ya umaskini wetu ni ukosefu wa uongozi bora na siasa chafu namaanisha,nyonyaji,dhalimu,yenye ghiliba nyingi,uwizi mtupu,upendeleo,undugu................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom