Mh sita anasema kwamba yeye ni mwanachama wa ccm anayetumia kichwa na siyo tumbo sita anasema yeye hapendi kumung'unya maneno pia anasema yeye hapendi ukabila anasema mtu anayeongelea ukabila akili yake ni kama ya panzi
"Mkiichezea misingi ya nchi misingi hiyo itawabomoa" maneno aliyoambiwa mh sita na mwalimu nyerere wakati alipokwenda kumuaga kabla mwalimu hajapelekwa uingereza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.