TBC1 8pm news wameonesha kambi rasmi ya upinzani wakisoma mapendekezo ya budget, lakini kama kawaida tbc huwa wanaeleza kwa sekunde chache sana habari za chadema.
Nadhani CDM na hasa Zitto mungeweka hapa jamvini copy ya hayo mapendekezo ili wananchi tuanze kujadili. Pia mambo kama haya wekene kwenye website yenu. inajulikana kabisa kuwa TBC hawawezi kuwapa good coverage sasa kwa nini msitumue techonology kuwafikia wananchi?
Nadhani CDM na hasa Zitto mungeweka hapa jamvini copy ya hayo mapendekezo ili wananchi tuanze kujadili. Pia mambo kama haya wekene kwenye website yenu. inajulikana kabisa kuwa TBC hawawezi kuwapa good coverage sasa kwa nini msitumue techonology kuwafikia wananchi?