Mh. Zitto kuna ukweli gani katika ripoti hii?

Nakumbuka wakati Mh Zitto akiongelea suala la Nyamongo alitoa ushauri kifanyike nini ili yasitokee yaliyotokea. Alishauri kuwa kuna umuhimu wa kuangalia ni namna gani rasilimali za nchi zinavunwa ili ziweze kufaidisha raia. Alisema katika kamati ya Bomani walipendekeza kuwa asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini ubakie kwenye halmashauri ya wilaya ambayo mgodi upo ili kuweza kuondoa tofauti kati ya wawekezaji na wanachi. Akasema lakini serikali hakukubaliana na hoja hiyo. Akasema madhara yake ndio kama tuliyoyaona Nyamongo (KABWE ZITTO NA SAKATA LA NYAMONGO(KAJUNASON BLOG) - YouTube)

Wakati akijua madhara hayo, research inasema Mh Zitto huyo huyo alisubmit proposal ABG kuomba msaada. The research says this move, according to the ABG's Public Relations Manager Teweli Teweli, was a result of a proposal submitted to the company by Kigoma North MP. "Kigoma North government submitted a proposal and Barrick funded it because Kigoma North's education system is lagging behind national standards. Kabwe had complained about the same issue in Parliament for years, with no effect." (though inachanganya hapa).

Kila mtu anajua matatizo yanayoikumba Kigoma. There is no doubt about this. Lakini pia wote tunajua matatizo yanayowakumba wale wanaozunguka mgodi ba Barrick. Hawapati hata asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini yanayochimbwa kwenye maeneo yao. Hata hizo kampuni za madini zimekuwa zikilalamikiwa kwa kutosadia kuendeleza maeneo yanayozunguka machimbo husika. I am sure mtakuwa mmeona vitu kama hivi: Toronto Tanzania Solidarity - YouTube

Labda Mh Zitto anaweza ku reconcile aliyosema kwenye paragraph ya kwanza hapo juu na yaliyosemwa kwenye parapgrah ya pili? So far naona defence yake ni kuwa hakunufaika personally kwenye hiyo deal. But the research does not claim that he benefited personally anyway. Personal benefit is not an issue here na sioni kwa nini Zitto anang'ang'ania hapo.

There are far wide issues which need answers. Najaribu kulinganisha hii issue na mbunge mmoja wa Uingereza aliyekuwa anapinga vikali uovu uliofanywa na Rupert Murdoch na kampuni yake ya New International halafu akaombe msaada kwenye kampuni hiyo hiyo kusaidia mandeleo jimboni kwake. Does that make sense? It could be perfectly legal to do so but morally vipi?

The issue is whether it was morally right for Zitto to submit a proposal to ABG to finance development projects in his constituency wakati ni mojawapo wa waliopendekeza asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini ubakie kwenye halmashauri ya wilaya ambao mgodi upo ili kuweza kuondoa tofauti kati ya wawekezaji na wanachi.

Kwa maana nyingine, Zitto sasa anakubaliana na hoja ya serikali? Kwa sababu wananchi wa Nyamongo wakijua kuwa ABG imetoa misaada mpaka Kigoma wakati wao hawapatawi hata ile asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa pamoja kuwa wameadhirika vibaya na mgodi huyo watamwelewaje Zitto ambaye amekuwa akipendekeza wapewe angalao hiyo asilimia 20? Where are Zitto morals here? Ningefikiri Zitto angeshauri basi kwa vile serikali imekataa ku- allocate asimilimia 20 ya mrahaba, basi angalao Barrick itoe misaada zaidi kwenye maeneo ya machimbo. Badala sio tuu hawapati hiyo asililimia 20 bali pia misaada ya Barrick imeelekezwa kwingine.

That is why the research says whether it was immoral or not for ABG to finance development a project in Kabwe's constituency remains debatable by Tanzanians. Let us debate it then.
 
Sitaki na sipendi kuamini kuwa kichwani mwako kuna ugoro badala ya ubongo kwa jinsi unavokuwa mgumu kuelewa aidha kwa makusudi au ndo kipaji chako cha kutoelewa! inaelekea we ni mtu mzima lakini bado unavaa nepi! hujui tofauti kati ya mtu kufaidika binafsi na manufaa ya jamii? hivi rais jk alipoomba msaada wa kujengewa udom ilikuwa kwa manufaa binafsi au kwa taifa? na ungesemaje kama angemmlikisha mkewe- mama salma au mwanawe ridhiwani?


Usibadilishe wala usihamishe mada. Jibu maswali yaliyokuwamo kwenye post yangu, kama huna jibu kaa kimya mwachie aliyeulizwa ajibu.

Ya UDOM na Kikwete yamefikaje hapa? Unaonesha hujakomaa kiufaham na hauna elimu ya kutosha kushindwa kuelewa Mbunge na Kusaidiwa jimboni kwake na Kampuni anayoichunguza kuna maanisha nini. Hii ni rushwa tena ni ya kijinga kabisa, lakini, ijulikane ni nani aliyewaomba huo msaada? na ni nani aliyewapa hiyo anuani ya kupeleka huo msaada, kama ni Zitto, basi haikwepeki hiyo. Nauliza maswali hayo kwa kuwa kuna uwezekano kuwa haya makampuni ya katumia hila kwa kwenda kujenga kule bila kuombwa wala kuulizwa ili wampakazie au wajikombe kuwa aaaaah bwana Zitto mbona tunasaidia jimbo lako.

Jee, inakuingia kidogo akilini au?
 
Kazi kweli kweli,ina maana Zitto amelegeza kamba dhidi ya udhalimu huu wa Barricks?
jmushi1, beggars cannot be chooses!, Zitto mwenyewe kajibu hajalegeza kamba dhidi ya udhalimu kwenye madini, bali ame extend tuu kidogo kamkono ka bakuli, kwa kuwapatia ABG ile proporsal ili watoto wasome. Hapa tuangalie the end product manufaa kwa jamii, not personal gain. Lets don't concetrate at the means ya kuwapigia magoti ABG, but 'the end justify the means'. Nakumkumbuka Sheikh Mkuu, Hemed Bin Jumaa Bin Hemed (RIP), kwenye moja ya mawaidha yake kupitia RTD, alisema hata kwa Mwislamu safi, ikitokea amekwama mahali na njaa, na hana jinsi yoyote ya kujiokoa na umauti wa kufa kwa njaa, basi anaweza hata kula haram ili kuokoa maisha yake kwa kipindi hicho tuu cha tatizo na hatahesabiwa dhambi. Hivyo ndicho alichokifanya Zitto, adui mpende, kama baniani mbaya kiatu chake dawa, proporsal ikabidi itue ABG, sasa watoto wanasoma!.
 
Nakumbuka wakati Mh Zitto akiongelea suala la Nyamongo alitoa ushauri kifanyike nini ili yasitokee yaliyotokea. Alishauri kuwa kuna umuhimu wa kuangalia ni namna gani rasilimali za nchi zinavunwa ili ziweze kufaidisha raia. Alisema katika kamati ya Bomani walipendekeza kuwa asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini ubakie kwenye halmashauri ya wilaya ambayo mgodi upo ili kuweza kuondoa tofauti kati ya wawekezaji na wanachi. Akasema lakini serikali hakukubaliana na hoja hiyo. Akasema madhara yake ndio kama tuliyoyaona Nyamongo (KABWE ZITTO NA SAKATA LA NYAMONGO(KAJUNASON BLOG) - YouTube)

Wakati akijua madhara hayo, research inasema Mh Zitto huyo huyo alisubmit proposal ABG kuomba msaada. The research says this move, according to the ABG’s Public Relations Manager Teweli Teweli, was a result of a proposal submitted to the company by Kigoma North MP. “Kigoma North government submitted a proposal and Barrick funded it because Kigoma North’s education system is lagging behind national standards. Kabwe had complained about the same issue in Parliament for years, with no effect.” (though inachanganya hapa).

Kila mtu anajua matatizo yanayoikumba Kigoma. There is no doubt about this. Lakini pia wote tunajua matatizo yanayowakumba wale wanaozunguka mgodi ba Barrick. Hawapati hata asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini yanayochimbwa kwenye maeneo yao. Hata hizo kampuni za madini zimekuwa zikilalamikiwa kwa kutosadia kuendeleza maeneo yanayozunguka machimbo husika. I am sure mtakuwa mmeona vitu kama hivi: Toronto Tanzania Solidarity - YouTube

Labda Mh Zitto anaweza ku reconcile aliyosema kwenye paragraph ya kwanza hapo juu na yaliyosemwa kwenye parapgrah ya pili? So far naona defence yake ni kuwa hakunufaika personally kwenye hiyo deal. But the research does not claim that he benefited personally anyway. Personal benefit is not an issue here na sioni kwa nini Zitto anang’ang’ania hapo.

There are far wide issues which need answers. Najaribu kulinganisha hii issue na mbunge mmoja wa Uingereza aliyekuwa anapinga vikali uovu uliofanywa na Rupert Murdoch na kampuni yake ya New International halafu akaombe msaada kwenye kampuni hiyo hiyo kusaidia mandeleo jimboni kwake. Does that make sense? It could be perfectly legal to do so but morally vipi?

The issue is whether it was morally right for Zitto to submit a proposal to ABG to finance development projects in his constituency wakati ni mojawapo wa waliopendekeza asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini ubakie kwenye halmashauri ya wilaya ambao mgodi upo ili kuweza kuondoa tofauti kati ya wawekezaji na wanachi.

Kwa maana nyingine, Zitto sasa anakubaliana na hoja ya serikali? Kwa sababu wananchi wa Nyamongo wakijua kuwa ABG imetoa misaada mpaka Kigoma wakati wao hawapatawi hata ile asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa pamoja kuwa wameadhirika vibaya na mgodi huyo watamwelewaje Zitto ambaye amekuwa akipendekeza wapewe angalao hiyo asilimia 20? Where are Zitto morals here? Ningefikiri Zitto angeshauri basi kwa vile serikali imekataa ku- allocate asimilimia 20 ya mrahaba, basi angalao Barrick itoe misaada zaidi kwenye maeneo ya machimbo. Badala sio tuu hawapati hiyo asililimia 20 bali pia misaada ya Barrick imeelekezwa kwingine.

That is why the research says whether it was immoral or not for ABG to finance development a project in Kabwe’s constituency remains debatable by Tanzanians. Let us debate it then.


EMT respect mkuu

kuhusu hii hoja ya zitto mimi nilijua ilikuwa siri lakini imekuja kuwa revealed kwamba sio siri na ni ZITTO ndiye aliye mwambia huyo mwanafunzi,
kabla sijaenda mbali hizi TANZANIA hakuna waliowahi kuandika desertation kumaliza degree au masters? topic hot hizi hatuzioni?

naendelea na mada
hoja ya tozo la asilimia 20 kwa mrahaba kubaki jimbo ulipo mgodi (akinukuu tume ya jaji bomani) ni ya msingi, lakini sio jukumu la zitto kuahakikisha hiyo alisimia inabaki (kuna wabunge kwenye hayo maeneo) anaweza kufanya hivyo kama courtesy kwa wananchi provided ana muda wa kutosha,
lakini pia je huo msaada aliopewa jimboni kwake ni sehemu ya 20% inayotakiwa kubaki kwenye hayo majimbo? kasi sio yeye ana kesi wa jimbo lakini halina upendeleo ila ni juhudi binafsi ya kuleta maendeleo katika jimbo lake
swali la kijiuliza inawezekana vipi zitto akaweza kupa na wabunge kuzunguka maeneno ya mgodi wakakosa kupa msaada kwenye majimbo yao?
na hapo ndipo mimi naona hakuna ukweli,
regea kuna mkuu wa wilaya anakula hela za wanafunzi wanaosomeshwa na mdogi GEITA mining
mimi nadhani hii hoja inaitaji information za kutosha ili kujadiliwa kwa kina

lakini nina hakina hakuna mahali ambapo zitto anafungwa kwa kutopotea au kuomba msaada kwenye migodi maana kutetea wananchi (tanzania) ni jukumu lake, na sio vinginevyo na BARRICK kutoa msaada kwenye jimbo la zitto ni kuonyesha ukomavu maana hawana visasi
na kama hii iliwezekana mimi naona tatizo liko serikalini na wala sio wamiliki wa BARRICK gold mining
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Zitto,

Maadam umesema mwenyewe hii habari ni ya kweli, imekuwaje msimamo wako kuhusiana na Buzwagi kwa sababu nachoelewa mimi ni wewe uliyepinga mkataba huo kwa sababu ulisainiwa hotelini London. Mkuu wangu, hawa Barricks wamelipa ruzuku kiasi kidogo sana sawa na kodi ya mishahara ya wafanyakazi wake, leo kuongeza asilimia moja toka 3 kwenda 4 inawaziba midomo? at ndio win win sitruation?...Na of that how much Sinclair anavuta?..Halafu mkuu wangu lengo la wewe kusimama bungeni ilikuwa kuonyesha kwamba mkataba ule ni haramu, batili imekuwaje hadi ukabadilisha msimamo wako against Barricks na mkataba wa Buzwagi kiasi kwamba inaonyesha unakubaliana na hatua mlizozichukua kuberesha uwekezaji wa madini nchini na sii tena swala la Buzwagi kama vile mmelifagilia uvunguni!?.. Nataka kuelewa wewe umesimama wapi kama mbunge na huu mkataba wa Buzwagi..

Tegemeo langu mtu kama wewe ungeendelea kushupalia mkataba huu ufutwe na kutowatambua Barricks kama wawekezaji halali wa Buzwagi kutokana na historia mbaya ya shirika hili ambalo kusema kweli pengine wewe hufahamu lakini ni shirika la Kimarekani liloweka makazi yake makuu Toronto, Canada kama yalivyo mashirika mengine ya Madini. Kifupi naweza kumwambia kwamba karibu mashrika yote ya Madini unayosikia yana makao yake makuu hapa Canda ni mashirika ya Marekani na wameitumia nchi hii ili wapate ridhaa ya nchi maskini ambao kwa ufinyu wa kuelewa kwao wanadhani haya mashirika ni ya raia wa Canada...

Halafu labda niwape siri moja ya haya mashirika ya madini.. Watatishia kwa kila kitu lakini hawana ujanja kwa sababu hawawezi kuondoka, waondoke waende wapi? kwani dhahabu haipo kila nchi duniani, sisi ndio tumeshika mpini lakini laa ajabu tunaogopa sisi ili hali haya mashirika hayawezi kuondoka yakaacha utajiri mkubwa wa dhahabu ambao haupatikani sehemu nyingine..Nakuomba sana pitia mabadiliko (mageuzi) ya biashara ya mafuta zilzivyoweza kuwanufaisha nchi za kiarabu na hasa Saudia..
Nasubiri tuu majibu ya Zitto kwenye post hii ndipo nijilalie, namuona yuko on line.
Mhe. Zitto semo neno moja tuu roho zetu zitulie! Angalau sema ulizisambaza hizo proporsals sehemu kadhaa ABG wakiwemo, ila waliojibu ni ABG.
 
jmushi1, beggars cannot be chooses!, Zitto mwenyewe kajibu hajalegeza kamba dhidi ya udhalimu kwenye madini, bali ame extend tuu kidogo kamkono ka bakuli, kwa kuwapatia ABG ile proporsal ili watoto wasome. Hapa tuangalie the end product manufaa kwa jamii, not personal gain. Lets don't concetrate at the means ya kuwapigia magoti ABG, but 'the end justify the means'. Nakumkumbuka Sheikh Mkuu, Hemed Bin Jumaa Bin Hemed (RIP), kwenye moja ya mawaidha yake kupitia RTD, alisema hata kwa Mwislamu safi, ikitokea amekwama mahali na njaa, na hana jinsi yoyote ya kujiokoa na umauti wa kufa kwa njaa, basi anaweza hata kula haram ili kuokoa maisha yake kwa kipindi hicho tuu cha tatizo na hatahesabiwa dhambi. Hivyo ndicho alichokifanya Zitto, adui mpende, kama baniani mbaya kiatu chake dawa, proporsal ikabidi itue ABG, sasa watoto wanasoma!.
Mtazamaji ameuliza swali la msingi kwamba why ABG?Unless aliona kuwa ni kampuni pekee yenye kuweza kuwapatia wananchi wa jimbo lake shule.Kiukweli ni kampuni kubwa ukizingatia inaconsist asilima 40% ya total export revenue.Thats the only reason i think made him to submitt the proposal.Kwasababu najiuliza ni njia gani nyingine angeitumia kuwapatia watoto shule?
 
Well well. Here we go again Zitto Kabwe! I don't want to be critical about this crapy guy but I should. Its not that Zitto always lies and tells phony stories but thats who he is. People will say or the man seem to work for good things but I disagree completely. I am ready to pronounce Zitto as criminal as ccm mps.

If you are asking why most people in Tanzania always compare Zitto with ccm green color, the answer is well explained above. It's not complicate at all and I am not surprise if Zitto's role model is Sitta and Nape. If you listen to Zitto and watch all of the talk in parliament, you will mostly find out that Zitto is always try to benefit himself personally and not his party nor the country.

The issue isn't Kigoma is poor compared to other parts of country but if you already place Barrick as not fit in one area of the country (Barrick is corrupt company) how in the hell Barrick if good for Kigomans? You can't have both ways Zitto, this is hypocrite and Zitto you are good for this. There are truth to everything you do and people don't trust you and will never trust you. Most of us knows thats you are 'a mole' in dcm for your personal gains and not the people and we promise to keep pressure until something happen to your behavior. This is just a tip of ice, stiil a lotKeep it up!

The truth here is, the facts thats Zitto you are corrupt like many ccm mps. There's no way these companies were able to renegotiate these contracts without your involvement and not only that, most of us knows how ccm deals work and you got paid and when everything is done you go to parliament and dress a face clean politician. This is how kikwete is doing to Tanzanians, he goes oversea and discuss deals behind the people but when something break loose his reaction is num i.e. dowans, epa, uda, fuel import deals. This is not new to us and Zitto knew all along what happened and still happening in ikulu and our gov. The people of Kigoma already found out how corrupt you are and you will never hide behind phony deals, a criminal is always a criminal

The self proclaim leader Zitto was placed as head of parliament committee by the same people in ccm, why so? Why Zitto always try to work alone in parliament without discussing with cdm leadership? The facts are open and Zitto is still working with ccm behind the door, doom time is near. Tanzania isn't kikwete family and Zitto you are only digging your grave sec by sec.

'Wananchi fouled for so long and the movement already took off, Zitto, Rostam and Kikwete keep it up...'
 
........
That is why the research says whether it was immoral or not for ABG to finance development a project in Kabwe's constituency remains debatable by Tanzanians. Let us debate it then.

In one way or another hiyo ni rushwa sio rushwa personaly lakini ni rushswa ya kujaribu kuneutralise msimmo wake juu ya migodi . Yeye anaweza kukataa na kuwa hajui kama amekuwa compromised lakini kwa njia moja au nyingine zitto, wabunge karibu wote na viongozi wa serikali wengi wanakuwa neutralised kwa vitu kama hivyo.( Refer to mambo ya suti ya JK na kubomolewa mahakama)

Mbaya zaaidi ni kwamba unakuwa neutralised kwa kitu amabcho in broad sense ni haki yako lakini kwa sababu ya serikali ya CCM hakikuwa makini kweye mikataba inaonekana ni favour.

Pili hilo ya zitto kuandika Proposal mi naona ni changa la macho tu . Ni kwamba teweli teweli alimwambia kampuni yetu ina pesa za msaada andika proposal tuone tutasadia vipi matatizo ya jimboni kwako. Haingii akilini ziito priority yake ya proposal ya kuomba msaada wa shule alifkiria mgodi. Tena inawezekana zitto wala hajashika kalamu kuandika hiyo proposal........

So ni kwa sababu ya msimamo wake ndio maana inabidi wanamnuetralise ise. Yeye akibisha akidhani hayuko vulnerable na anadhani mambo kama hayo hayamtii doa basi next time tutasikia NGO yake imechangiwa kwa style hizo hizo.bila uwazi

Chanzo cha tatizo la performance ya wabunge kuwa compromised ni sababu wanataka na wameshakuwa watendaji. wabunge wamejiweka katika position amabayo wao ni kama wakuu wa wilaya au wakurugenzi wa maendeleo wa mikoa.

Wabunge kazi yao ilitakiwa iwe kufuatilia , na kuhohiji issues. commuication na mambo ya kundika proposal na kuomba misada yanatakiwa kufanywa ya wilaya au mkoa . Mbunge yeye kazi yake ni kufuatilia tu.
 
So its doesn't matter if he use corrupt means. Najua unataka kusema there's no other way in Tanzania sio. If we keep supporting criminality as means of educating next generation we will produce people like kikwete every generation. Sorry I don't buy that.

Mtazamaji ameuliza swali la msingi kwamba why ABG?Unless aliona kuwa ni kampuni pekee yenye kuweza kuwapatia wananchi wa jimbo lake shule.Kiukweli ni kampuni kubwa ukizingatia inaconsist asilima 40% ya total export revenue.Thats the only reason i think made him to submitt the proposal.Kwasababu najiuliza ni njia gani nyingine angeitumia kuwapatia watoto shule?
 
Kama pesa zilizotolewa zimeenda moja kwa moja kwenye development fund aimed for under corporate social responsibility, sioni tatizo lolote

Ikumbukwe ni constituencies nyingi na NGO's nyingi zinafaidika na misaada hii si jimbo la Kabwe pekee, ilimradi hajashonewa suti, hajapelekwa Toronto HQ kula bata hakuna lolote baya, Kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo na hapo ameplay part yake

Tumhukumu Zitto kama hii ilimnyamazisha, Mbunge anafanya kazi yake mnapiga kelele!!!

Ina maana hata mashirika ya umma yakifund dvpt plans in his area ni tatizo?

Kama kuna sehemu kalainishwa yeye kama yeye wekeni hapa!
 
Kama pesa zilizotolewa zimeenda moja kwa moja kwenye development fund aimed for under corporate social responsibility, sioni tatizo lolote

Ikumbukwe ni constituencies nyingi na NGO's nyingi zinafaidika na misaada hii si jimbo la Kabwe pekee, ilimradi hajashonewa suti, hajapelekwa Toronto HQ kula bata hakuna lolote baya, Kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo na hapo ameplay part yake

Tumhukumu Zitto kama hii ilimnyamazisha, Mbunge anafanya kazi yake mnapiga kelele!!!

Ina maana hata mashirika ya umma yakifund dvpt plans in his area ni tatizo?

Kama kuna sehemu kalainishwa yeye kama yeye wekeni hapa!
Labda ni coincidence tu kwamba alikuwa akipingana nayo at the same time akiiomba msaada huo wa ujenzi wa shule.Inakuwa shida kwa upande mwigine kulalamikia hii issue kama ailvyosema Pasco kuwa watoto sasa wataenda shule.Which kwa upande mwingine si jambo baya.However kama msimamo wake kuhusiana na kampuni hiyo umeathirika,basi ndiyo hivyo tena wananchi hawatafurahishwa.
 
Hili la serikali yetu kudaiwa na kampuni inayochota madini day and night ni sawa na mtu anakupiga risasi halafu wewe ndo unamlipa na gharama za risasi aliyoitumia dhidi yako.
 
EMT respect mkuu

kuhusu hii hoja ya zitto mimi nilijua ilikuwa siri lakini imekuja kuwa revealed kwamba sio siri na ni ZITTO ndiye aliye mwambia huyo mwanafunzi,
kabla sijaenda mbali hizi TANZANIA hakuna waliowahi kuandika desertation kumaliza degree au masters? topic hot hizi hatuzioni?

naendelea na mada
hoja ya tozo la asilimia 20 kwa mrahaba kubaki jimbo ulipo mgodi (akinukuu tume ya jaji bomani) ni ya msingi, lakini sio jukumu la zitto kuahakikisha hiyo alisimia inabaki (kuna wabunge kwenye hayo maeneo) anaweza kufanya hivyo kama courtesy kwa wananchi provided ana muda wa kutosha,
lakini pia je huo msaada aliopewa jimboni kwake ni sehemu ya 20% inayotakiwa kubaki kwenye hayo majimbo? kasi sio yeye ana kesi wa jimbo lakini halina upendeleo ila ni juhudi binafsi ya kuleta maendeleo katika jimbo lake
swali la kijiuliza inawezekana vipi zitto akaweza kupa na wabunge kuzunguka maeneno ya mgodi wakakosa kupa msaada kwenye majimbo yao?
na hapo ndipo mimi naona hakuna ukweli,
regea kuna mkuu wa wilaya anakula hela za wanafunzi wanaosomeshwa na mdogi GEITA mining
mimi nadhani hii hoja inaitaji information za kutosha ili kujadiliwa kwa kina

lakini nina hakina hakuna mahali ambapo zitto anafungwa kwa kutopotea au kuomba msaada kwenye migodi maana kutetea wananchi (tanzania) ni jukumu lake, na sio vinginevyo na BARRICK kutoa msaada kwenye jimbo la zitto ni kuonyesha ukomavu maana hawana visasi
na kama hii iliwezekana mimi naona tatizo liko serikalini na wala sio wamiliki wa BARRICK gold mining

Kama pesa zilizotolewa zimeenda moja kwa moja kwenye development fund aimed for under corporate social responsibility, sioni tatizo lolote

Ikumbukwe ni constituencies nyingi na NGO's nyingi zinafaidika na misaada hii si jimbo la Kabwe pekee, ilimradi hajashonewa suti, hajapelekwa Toronto HQ kula bata hakuna lolote baya, Kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo na hapo ameplay part yake

Tumhukumu Zitto kama hii ilimnyamazisha, Mbunge anafanya kazi yake mnapiga kelele!!!

Ina maana hata mashirika ya umma yakifund dvpt plans in his area ni tatizo?

Kama kuna sehemu kalainishwa yeye kama yeye wekeni hapa!

We all know how these mining companies have been suppressing dissident voices, dividing communities, and manipulating local and national politics not only in Tanzania but in other countries where they operate. Best way of doing this is to finance projects through dissenting politicians under the umbrella of corporate social responsibility. What people won't tolerate, however, is any hypocrisy from our politicians who may openly criticize the bad practices of these mining companies, but may well have been happy enough to submit project proposals to the same companies so that their constituencies can tap their money. Since when a mining company which was declared not fit for purpose in Mara can become fit for purpose in Kigoma?

 
Last edited by a moderator:
Kila mtu anajua matatizo yanayoikumba Kigoma. There is no doubt about this. Lakini pia wote tunajua matatizo yanayowakumba wale wanaozunguka mgodi ba Barrick. Hawapati hata asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini yanayochimbwa kwenye maeneo yao. Hata hizo kampuni za madini zimekuwa zikilalamikiwa kwa kutosadia kuendeleza maeneo yanayozunguka machimbo husika.

But the research does not claim that he benefited personally anyway. Personal benefit is not an issue here na sioni kwa nini Zitto anang'ang'ania hapo.

There are far wide issues which need answers. Najaribu kulinganisha hii issue na mbunge mmoja wa Uingereza aliyekuwa anapinga vikali uovu uliofanywa na Rupert Murdoch na kampuni yake ya New International halafu akaombe msaada kwenye kampuni hiyo hiyo kusaidia mandeleo jimboni kwake. Does that make sense? It could be perfectly legal to do so but morally vipi?

The issue is whether it was morally right for Zitto to submit a proposal to ABG to finance development projects in his constituency wakati ni mojawapo wa waliopendekeza asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa kwenye madini ubakie kwenye halmashauri ya wilaya ambao mgodi upo ili kuweza kuondoa tofauti kati ya wawekezaji na wanachi.

Kwa maana nyingine, Zitto sasa anakubaliana na hoja ya serikali? Kwa sababu wananchi wa Nyamongo wakijua kuwa ABG imetoa misaada mpaka Kigoma wakati wao hawapatawi hata ile asilimia 20 ya mrahaba unaotozwa pamoja kuwa wameadhirika vibaya na mgodi huyo watamwelewaje Zitto ambaye amekuwa akipendekeza wapewe angalao hiyo asilimia 20? Where are Zitto morals here? Ningefikiri Zitto angeshauri basi kwa vile serikali imekataa ku- allocate asimilimia 20 ya mrahaba, basi angalao Barrick itoe misaada zaidi kwenye maeneo ya machimbo. Badala sio tuu hawapati hiyo asililimia 20 bali pia misaada ya Barrick imeelekezwa kwingine.
That is why the research says whether it was immoral or not for ABG to finance development a project in Kabwe's constituency remains debatable by Tanzanians. Let us debate it then.
EMT much respect!! Nimesoma habari sikuona mahali pana 'implicate' Zitto kuwa beneficiary moja kwa moja, lakini majibu ya mheshimiwa yanaonekana kujikita zaidi katika kujibu kama amelipwa kiasi chochote.
Nimhakikishie Zitto kuwa kwa habari ilivyo haionyeshi kuwa kuna mlungula au namna isiyo halali hata kidogo.
Kama angekuwa amepokea tungeona hadi risiti namba, akaunti namba kwa jinsi wengine wanavyo vizia anguko lake.

Kuna kitu kinaitwa ' institutional or corporate social responsibility'. Kwamba, business iwe kwa manufaa ya jamii na sio kazi tu bila mchango kwa kijamii. Mara nyingi jamii inayonufaika ni ile ambayo corporate inaona kuna haja ya kufanya hivyo. Kwa mfano madini, watu wanaozunguka maeneo hayo sio tu kuwa wanafaidika na ajira bali wanaathirika kimazingira na kiafya, na kujenga kitu kama shule au hospitali ni wajibu wa mwekezaji.

Lakini pia kampuni inaweza kuwa inauza dawa za binadamu ikagundua kuwa kanda fulani imeathirika zaidi na wao ndio wateja wao, basi kuna kitu kinaitwa give back to society, wakafanya mradi kama msaada kuisadia kanda ile inayowapa biashara.
Hakuna limit ya social responsibility hata hivyo.

Kwa bahati mbaya hii social responsibility kwa Tanzania inatumika vibaya, imekuwa ni sehemu ya Lobbying na kujenga PR kati ya makampuni na viongozi wa umma. Lobbying na social responsibility ni vitu tofauti. Lobbying inatasiriwa kama quid pro quo na social responsibility ni give back.

Kuanzia kipindi cha Rais BWM makampuni na mshirika mengi yamejikita zaidi kutoa hizo social responsibility, kwanza kwa maeneo yenye ushawishi kwa viongozi na pili kuwaalika viongozi wenye ushawishi ili kujenga nao ukaribu.
Kwasasa utaona shughuli nyingi zipo mkoa wa pwani na sijui kama nitakosea nikisema kupitia WAMA.(Stand to be corrected) na maeneo ya viongozi wenye ushawishi sana kisiasa.
Imefikia mahali hata kuajiri mtoto wa kigogo ni sehemu ya social responsibiity wakati hiyo ni lobbying kama si corruption

Wakati wa Mwalimu haikuwa rahisi na haya yalifanywa na viongozi wa sehemu husika(mkuu wa wilaya, mkoa n.k) kama kufungua shule, vituo vya afya n.k.

Ni kutokana na wasi wasi huo ndipo mheshimiwa Zitto naye anajikuta katika maswali yasiyo na ulazima lakini muhimu sana.
Barric kule walipo kuna vijiji vina matatizo sawa au kuliko yale ya Kigoma, kwenda kwao Kigoma kunatia wasi wasi.
Tukizingatia kuwa mh Zitto alikuwa mwiba mkali kwao sidhani kuwa kauli zake za awali zitakuwa sawa na za sasa kwa sababu politically yeye ni beneficary wa hiyo project.
Hili si jambo baya kabisa isipokuwa ni wazi limepunguza nguvu yake kwa kauli ushawishi na pengine ufuatiliaji( walk in fine and thin line), na hicho ndicho kinaonekana kama 'core ya article'.

Labda tu kumshauri mh Zitto kuwa wakati mwingine aangalie other options zitakazo kwepa conflict of interest kwa proposal sehemu nyingine.
Hili ni jambo dogo sana lakini kisiasa lina ramifications.

Ni Mh Zitto aliewahi kusema anajijenga kisiasa hajengwi na JK, sasa inapotokea jambo kama hili lenye nia njema kabisa wapo watakaotaka kulitumia vibaya na hao hawawezi kupuuzwa hata kidogo. Mfano kesho unaweza kusoma mahali:

Harakati za kujijenga kisiasa:
Zitto aliyeinanga Barric, apokea mlungula kinyemela, akatiwa fungu takatifu
habari zaidi uk 19

Swali ni je wangapi wanaweza kufanya analysis ya kuthibitisha madai hayo ni uongo?
Na je Zitto ataweza kuwafikia wote kama anavyotufikia baadhi?
Na je Zitto haoni kuna ainaya conflict of interest iliyomsukuma mwandishi kuandika habari hiyo!!!!!! (hata kama si direct)
 
In one way or another hiyo ni rushwa sio rushwa personaly lakini ni rushswa ya kujaribu kuneutralise msimmo wake juu ya migodi . Yeye anaweza kukataa na kuwa hajui kama amekuwa compromised lakini kwa njia moja au nyingine zitto, wabunge karibu wote na viongozi wa serikali wengi wanakuwa neutralised kwa vitu kama hivyo.( Refer to mambo ya suti ya JK na kubomolewa mahakama)

Mbaya zaaidi ni kwamba unakuwa neutralised kwa kitu amabcho in broad sense ni haki yako lakini kwa sababu ya serikali ya CCM hakikuwa makini kweye mikataba inaonekana ni favour.

Pili hilo ya zitto kuandika Proposal mi naona ni changa la macho tu . Ni kwamba teweli teweli alimwambia kampuni yetu ina pesa za msaada andika proposal tuone tutasadia vipi matatizo ya jimboni kwako. Haingii akilini ziito priority yake ya proposal ya kuomba msaada wa shule alifkiria mgodi. Tena inawezekana zitto wala hajashika kalamu kuandika hiyo proposal........

So ni kwa sababu ya msimamo wake ndio maana inabidi wanamnuetralise ise. Yeye akibisha akidhani hayuko vulnerable na anadhani mambo kama hayo hayamtii doa basi next time tutasikia NGO yake imechangiwa kwa style hizo hizo.bila uwazi

Chanzo cha tatizo la performance ya wabunge kuwa compromised ni sababu wanataka na wameshakuwa watendaji. wabunge wamejiweka katika position amabayo wao ni kama wakuu wa wilaya au wakurugenzi wa maendeleo wa mikoa.

Wabunge kazi yao ilitakiwa iwe kufuatilia , na kuhohiji issues. commuication na mambo ya kundika proposal na kuomba misada yanatakiwa kufanywa ya wilaya au mkoa . Mbunge yeye kazi yake ni kufuatilia tu.

Mkuu unakumbuka thread tuliongelea legality na morality? People don't care about morality so long as it is legal, though I doubt if legality doesn't apply here. Can Hon. Zitto now makes an impartial decision on an issue involving the company which he submitted the proposal and obtained funds to fund a school in his constituency?
 
So its doesn't matter if he use corrupt means. Najua unataka kusema there's no other way in Tanzania sio. If we keep supporting criminality as means of educating next generation we will produce people like kikwete every generation. Sorry I don't buy that.
Mkuu what crime?Nadhani ni more of a moral and ethical issue.Pamoja na kwamba wamesaidia ujenzi wa shule.Ukweli ni kwamba that is nothing compare to what they take.It is still too cheap,however the cause is also a dignified one.Ndiyo kama alivyosema resesarcher kuwa Zitto alisema its a win win situation.Labda angetusaidia alikuwa akimaansha nini aliposema "Its a win win situation"
 
@Zitto,

Nadhani maelezo yako yanatoa mwanga kwa kiasi fulani lakini pia yanaweza kupwaya katika maeneo fulani fulani.

Kama nimeelewa hii article vizuri ni kwamba 'author' anauliza Zitto wa 'pre-mabati toka Barrick ndiyo huyo huyo wa after-mabati? Na chimbuko la swali lake (kama nimeelewa vizuri) anaangalia 'ukali' wako kwa hawa Barrick kabla hakujawa na huu msaada kwa shule ya jimboni kwako na sasa.

Na katika kujenga hoja yake nadhahi mwandishi atakuwa amejiuliza je, unaridhika na mchango wa Barrick kwa sasa? Kama hauridhiki kwa nini hauko 'vocal' kama ulivyokuwa huko nyuma? Na katika kupekuwa ndio 'author' akaja na hii theory ya msaada toka Barrick na 'supposedly' upole wako siku hizi. Nadhani hii ndio hoja ya kujadili.

Hiyo ndio thesis ya huyo Zitto aliyemwita "mwanafunzi huyo". Binafsi naona Zitto amejaribu kushoot messenger badala ya kujibu maudhui ya ujumbe wenyewe.Nashukuru mwanajamii amechambua na kuandika kwa ufupi vizuri sana hapo juu. Ni aibu iliyoje kukubali kupokea msaada wa mabati na vinginevyo (directly or indirectly) vyenye thamani ya USD10,000 wakati Barrick wanavuna Millions USD worth of profits kutoka kwenye migodi yetu. Zitto Kabwe natumaini siku moja utakuja kuwa na watoto...jiulize hivi ikifikia siku hao watoto wakiwa na familia hiyo investment ya mabati itakuwapo kuwanufaisha?
Zitto, kuhusiana na taarifa yako kwamba Barrick hawajawahi kukuhonga wewe binafsi kwa kitu chochote...je mheshimiwa Zitto huoni kuwa kitendo cha wao kuja jimboni kwako pekee ni sawa na kukuhonga wewe binafsi by proxy method?Yaani kwa hiyo so called social responsibility initiative kuinua elimu jimboni ni sawa na wao kukununulia ubunge kutoka kwa wananchi wa jimbo lako. Barrick sio wajinga ila wamekununua bila wewe "kujijua" au knowingly umeamua kupunguza makali.

Kinachosikitisha zaidi ni kuwa Zitto umeonyesha kuwa unanunuliwa kwa bei rahisi mno...next time angalau basi waambie wawekeze kwenye sectors muhimu zaidi kama vile libraries zenye vitabu vya kutosha, vituo vya afya na infrastructure ya maji safi ya kunywa. Elimu nzuri inaanza na vitabu na waalimu majengo ni secondary.

Mheshimiwa Zitto natumaini utakuja kujibu hoja.

Nawasilisha.
Gogomoka.
 
Swali la kujiuliza ni: Kwanini tuendelee kuwa na bunge, wakati hawa wezi wa Barrick wana-walk scott free bila kulipa kodi. Ni jambo la kushangaza kuona watu wanaojiita waheshimiwa wanaruhusu vitendo vya kidhalimu kama hivi kutendeka. Huyu mwanachuo anatucheka sisi Watanzania, hivi kweli hawa wabunge( watunga sheria) wana faida gani kwa taifa?

Halafu hawa Barrick walivyo wahuni wamempa Balozi Mwapachu naye kazi! Hawa ni wahuni wanajua watu wenye influence who can lobby the govt on their behalf. It is about time for Mps to step to the plate and demand those stupid contracts to be ratified ASAP.
 
Why do I have a feeling that Zitto thought he had an upper hand when submitting the proposal for funds?
 
Back
Top Bottom