Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,741
wanamwandalia zitto mazingira ya 'kuchanganyikiwa' wakiihusisha hiyo hali na ugonjwa wake. Wameshasema kuwa hao wadudu wana uweezo wa kumwwondoa mtu ama kumpa kiharusi. Tungoje what's next
Mkuu, pamoja na malaria, lakini Zitto ana matatizo mengine ya kiafya ambayo ndiyo yanampeleka India. Si vema kutaja magonjwa ya watu lakini ana tatizo la kichwa kumuuma sana (kupita kiasi), inatakiwa utaalamu wa juu kuchunguza kwa nini hilo hutokea. Amini, kinachompeleka si malaria, hiyo imeshatibiwa na kupona.Habari kutoka uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, ni kuwa Mh. Zitto Kabwe hivi sasa anaingizwa katika ndege kupelekwa india kwa matibabu zaidi.
Vyombo vya habari vimeripoti kuwa Mh. Zitto anaumwa malaria (vijidudu 150).
Maswali:Basi Muhimbili ni Hosptali ya Rufaa (kupeleka India) kwa sababu haitibu badala yake inatoa rufaa tu.
- Kama hospitali ya Taifa haina uwezo wa kutibu malaria, je inauwezo wa kutibu nini?
- Kama hata wagonjwa wa malaria wanaanza kupelekwa india kwa matibabu, watanzania wangapi watapelekwa?
- Kauri mbiu ya Malaria haikubaliki ni ya kweli? Ni ya watanzania au ni ya watu wa marekani?
- Mwisho, Uchumi wa Tanzania unajenga uchumi wa india kwa kiasi gani?
Quality
Mie ninaombea hawa WANASIASA wa Tanzania wawe wanapewa ONE WAY TICKET kwenda India.
Nina imani kuna siku woote wataishia India maana huko ndiyo KIMBILIO lao. Hapo ndipo watatuachia nchi yetu salama salimini.
WHO'S NEXT TO INDIA..........????!!!???!!???
yeah_alitakiwa akatae hata kama ni kufa anefia hapa nchini kama comrade gaddafi,...anyway hatujui kilicho nyuma ya pazia lakn.
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya radio free ya saa kumi ya alasiri ya leo,zito atapelekwa India kwa uchunguzi zaidi,ktk safari hiyo mh Zito ataambatana na muuguzi mmoja pamoja na mdogo wake.Kwa pamoja tuendelee kumuombea arejee salama akiwa na afya njema.
ME!!!!!!!