Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,949
- 22,117
Dah jamaa noma afai kabisa nafikiri kichwa chake kimoja ni waziri mkuu na makamu wa rais
mh pinda swala la kuandamana we sahau hata leo hii saa yoyote tukitoka hapa tukikubaliana
unakutana na sisi barabarani,,,hivi nyie mnajidanganya na vimgao vya ajabu ajabu jamani
mi nasemaje maandamano atuachi ngo na kama amuamini subirini tumalize hivi vikao vyenu
mkitaka tuache haya maandamano kitu kimoja tu rahis
CAG AMETANGAZA UCHAFU WA HALMMASHAURI ZAIDI YA KUMI NA NILITEGEMA MH MKUCHIKA
ANGEKUJA KUTUAMBIA AMEWAWASHA WANGAPI NA WANGAPI WAKO SEGEREA LEO MNAKAA KUJADILI
UPUUZI WA MAANDAMANO NANI KAKWAMBIA WATIENI ADABU WALE WACHAFU MUONE KAMA TUTINGIA
KWENYE MAANDAMANO NANI ANATAKA KUACHA KUKAA NA WAKE ZAO ...NAKWAMBIAJE WAZIRI MKUU
HIYO HOJA ONDOA KABISA
NIMENUKUU
AAAHAAA KAMA UKITUA DAR NI PM NIKUPE HATA ""KITOCHI""""
mh pinda swala la kuandamana we sahau hata leo hii saa yoyote tukitoka hapa tukikubaliana
unakutana na sisi barabarani,,,hivi nyie mnajidanganya na vimgao vya ajabu ajabu jamani
mi nasemaje maandamano atuachi ngo na kama amuamini subirini tumalize hivi vikao vyenu
mkitaka tuache haya maandamano kitu kimoja tu rahis
CAG AMETANGAZA UCHAFU WA HALMMASHAURI ZAIDI YA KUMI NA NILITEGEMA MH MKUCHIKA
ANGEKUJA KUTUAMBIA AMEWAWASHA WANGAPI NA WANGAPI WAKO SEGEREA LEO MNAKAA KUJADILI
UPUUZI WA MAANDAMANO NANI KAKWAMBIA WATIENI ADABU WALE WACHAFU MUONE KAMA TUTINGIA
KWENYE MAANDAMANO NANI ANATAKA KUACHA KUKAA NA WAKE ZAO ...NAKWAMBIAJE WAZIRI MKUU
HIYO HOJA ONDOA KABISA
NIMENUKUU
AAAHAAA KAMA UKITUA DAR NI PM NIKUPE HATA ""KITOCHI""""