Mh Waziri wa Ujenzi naomba barabara ya morogoro ipewe kipaumbele maalamu bajeti ya 2017/2018

Omukitwe

Member
Mar 29, 2016
91
91
Barabara ya morogoro ni kiungo muhimu sana kwa magari yanayotoka na kuingia katika jiji la dar es salaam. Lakini hii imekuwa ni barabara yenye foleni kubwa hasa eneo la kibamba mpaka kimara. Hili ni eneo sugu ambalo linahitaji upanuzi wa barabara na si kupanua tu njia ya miinuko. Barabara hii ili angalau kupunguza foleni inatakiwa ijengwe japo njia nne kitoka kibamba mpaka kimara, mbili kwenda na mbili kurudi. Hii itasaidia japo kupunguza foleni ya magari yanayoingia na kutoka dar es salaam na pia itasaidia kupunguza msongamano unaowakuta wakazi wa dar waishio maeneo ya kibamba na mbezi kwa ujumla. Kwa sasa hali ni mbaya sana, na inapelekea watu kutumia muda mrefu kusafiri kutoka mbezi mpaka kimara kwa takribani masaa mawili ambapo inabidi zisizidi hata dakika 15. Hii inaua uchumi wa raia na uchumi wa taifa kwa ujumla. Hivyo basi, mm nashauri serikali iweke nguvu sana kwenye bajeti yake ijayo na kuitengeneza hii barabara kwa njia nne badala ya kufikiria kuipanua tu sehemu za miinuko.
 
ebana hii barabara ni kero sana asubuhi kwenda mjini ni shida na jioni kurudi mbezi pia ndo balaa hasa kuanzia stop over kuvuka kimara suka huwa pananikera sana kwa kweli
 
Barabara ya morogoro ni kiungo muhimu sana kwa magari yanayotoka na kuingia katika jiji la dar es salaam. Lakini hii imekuwa ni barabara yenye foleni kubwa hasa eneo la kibamba mpaka kimara. Hili ni eneo sugu ambalo linahitaji upanuzi wa barabara na si kupanua tu njia ya miinuko. Barabara hii ili angalau kupunguza foleni inatakiwa ijengwe japo njia nne kitoka kibamba mpaka kimara, mbili kwenda na mbili kurudi. Hii itasaidia japo kupunguza foleni ya magari yanayoingia na kutoka dar es salaam na pia itasaidia kupunguza msongamano unaowakuta wakazi wa dar waishio maeneo ya kibamba na mbezi kwa ujumla. Kwa sasa hali ni mbaya sana, na inapelekea watu kutumia muda mrefu kusafiri kutoka mbezi mpaka kimara kwa takribani masaa mawili ambapo inabidi zisizidi hata dakika 15. Hii inaua uchumi wa raia na uchumi wa taifa kwa ujumla. Hivyo basi, mm nashauri serikali iweke nguvu sana kwenye bajeti yake ijayo na kuitengeneza hii barabara kwa njia nne badala ya kufikiria kuipanua tu sehemu za miinuko.
Subiri mwaka wa fedha 2019
 
Barabara ya morogoro ni kiungo muhimu sana kwa magari yanayotoka na kuingia katika jiji la dar es salaam. Lakini hii imekuwa ni barabara yenye foleni kubwa hasa eneo la kibamba mpaka kimara. Hili ni eneo sugu ambalo linahitaji upanuzi wa barabara na si kupanua tu njia ya miinuko. Barabara hii ili angalau kupunguza foleni inatakiwa ijengwe japo njia nne kitoka kibamba mpaka kimara, mbili kwenda na mbili kurudi. Hii itasaidia japo kupunguza foleni ya magari yanayoingia na kutoka dar es salaam na pia itasaidia kupunguza msongamano unaowakuta wakazi wa dar waishio maeneo ya kibamba na mbezi kwa ujumla. Kwa sasa hali ni mbaya sana, na inapelekea watu kutumia muda mrefu kusafiri kutoka mbezi mpaka kimara kwa takribani masaa mawili ambapo inabidi zisizidi hata dakika 15. Hii inaua uchumi wa raia na uchumi wa taifa kwa ujumla. Hivyo basi, mm nashauri serikali iweke nguvu sana kwenye bajeti yake ijayo na kuitengeneza hii barabara kwa njia nne badala ya kufikiria kuipanua tu sehemu za miinuko.
Subiri mwaka wa fedha 2019
 
Si walisema watajenga njia sita mpaka chalinze mbona kama unataka kuwarudisha nyuma....
Sijaona kwenye bajeti yoyote hata hii inayoisha inayoongelea njia sita kwenye hii barabara niliyoitaja. Bajeti inayotekelezwa imeeleza juu ya upanuzi wa sehemu ya miinuko. Ndo maana naomba angalau ifikiriwe 2017/2018.
 
Zile Bombardier 6 na ujenzi wa Internarional Airport yenye hadhi zaidi ya KIA kule Chato vingesimanishwa kwanza ili tutarget vitu vya msingi kama hivi vinavyogusa maisha ya waTZ wengi kwa njia moja au nyingine
 
Subirini bajeti imeelekezwa mwanza air pot na chato air port huko si mlimchagua kubenea na mnyika ....mkulu anawaza kununua boing na air bus tuu ile bombadia si mlimkashifu mtalia na kusaga meno hapa Kazi tuuuuuu hv kale kawimbo kanaimbwaje tena?
 
ebana hii barabara ni kero sana asubuhi kwenda mjini ni shida na jioni kurudi mbezi pia ndo balaa hasa kuanzia stop over kuvuka kimara suka huwa pananikera sana kwa kweli
Mkuu mkulu yupo bize na kununua boing na air bus ww vumilia tuu shukia apo stop over piga bia muda uende tuu .....mkuu kale kawimbo kha acha waisome namba eeeeeeeee .....haaaaa
 
Si walisema watajenga njia sita mpaka chalinze mbona kama unataka kuwarudisha nyuma....
Mkuu walisema lini? Walisema tuu Dodoma utanyengwa uwanja wa kisasa wa mpira ,na majengo yote ya wizara yatauzwa .........hapa Kazi tuuuu
 
Mkuu walisema lini? Walisema tuu Dodoma utanyengwa uwanja wa kisasa wa mpira ,na majengo yote ya wizara yatauzwa .........hapa Kazi tuuuu
Tayari maandalizi ya ujenzi barabara ya njia sita ya Dar es Salaam –
Chalinze – Morogoro (km 200) sehemu ya Dar es Salaam –Chalinze (km
100) imepangwa kujengwa kwa kiwango cha “Expressway”.
Maandalizi ya mradi huu utakaotekelezwa kwa utaratibu wa ubia baina ya
Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership - PPP)
yamekamilika na yameanza kufanyiwa.

Aprili, 2015, Mshauri Mwelekezi (Transaction Advisor) ambaye ni
Kampuni ya Cheil Engineering Company Limited kutoka Korea ya Kusini
alikwishateuliwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 7.72 na amekamilisha
utafiti wa mwelekeo wabarabara (route survey).

Mwelekeo wa barabara uliochaguliwa unaanzia Charambe katika barabara
ya Kilwa kupitia Kisarawe, Kibamba, Kibaha, Mlandizi hadi Chalinze.
Barabara itakuwa na urefu wa kilometa 128 itakuwa ya njia sita (6) na
barabara za juu (interchanges) tano (5) katika maeneo ya Charambe,
Kisarawe, Kibamba, Mlandizi na Chalinze. Pia itakuwa na vituo vikuu
viwili (2) vya kulipia tozo ya barabara (Toll Plaza) maeneo ya
Charambe na Chalinze.

Pia barabara hii itakuwa na eneo la kupumzika (rest station) pale
Visiga na maeneo mawili (2) ya kuegesha malori ambayo yatakuwa Mbezi
na Mbala. Vilevile Mshauri Mwelekezi atafanya utafiti wa jinsi ya
kuunganisha barabara hii kutoka Charambe hadi bandari ya Dar es
Salaam. Kwa sasa Mshauri Mwelekezia naendelea na kazi ya kuandaa
nyaraka za zabuni na baadaye atasimamia taratibu za kumpata
Mbia/Mwekezaji (Concessionaire) wa mradi huu. Gharama za mradi huu wa
ujenzi zinakadiriwa kufikia Shilingi Trilioni 2.397 na utatekelezwa
kwa njia ya Ubia na Sekta Binafsi (PPP).

Tunajua pia kuwa huwezi kuondoa Msongamano wa magari ya jiji Dar ers
Salaam bila kulitaka Daraja la Selander, Rais Jakaya Kikwete
anaondoka magogoni akiwa keshalipati ufumbuzi wa kudumu eneo hilo la
selander, Serikali ya Korea Kusini imekubali kuipatia Serikali ya
Tanzania mkopo wamasharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa Daraja jipya la
Selander. Upembuzi yakinifu wa mradi huu umekamilika na maandalizi ya
kutiliana saini makubaliano ya mkopo wa kugharamia ujenzi wa daraja
kati ya Korea Exim Bank (kwa niaba yaSerikali ya Korea Kusini) na
Serikali ya Tanzania yanaendelea.
 
Solution 2 zipo hapo,Kwanza njia mbili ziendelezwe toka Kimara mwisho hadi Kibamba Pili hapo kibamba kuwe na interchange kwamaana zichepuke Barbara mbili moja ielekee wilya ya temeke hiyo watatumia watu Wa Gongolamboto,tandika,kipawa,Mbagala,chanika,kongowe,mkuranga, na hata kigamboni nk,nyingine ijengwe upande Wa pili na hii itasaidia watu Wa wilaya ya kinondoni has,a maeneo ya Kawe,mbezi beach,kunduchi,bunju,msasani,tegeta,mwenge nk,
Njia hizi zitasaidia sana kwa maana sasa itakua so lazima watu wrote waende Kimara ubungo!Gari inayokwenda Mbagala na gazi zinazoenda Kawe hazitakua na sababu ya kusongamana ubungo
Hapo kati sasa watabaki wale waendao katikati ya mji,stendi kuu ya mabasi na maeneo jirani MF Kigogo,kinondoni,Sinza,magomeni,upanga,kariakoo,posta nk
 
Sijaleta hii mada kwa ajili ya kuikashfu serikali kama walio wengi humu mnavyotaka. Mimi nimeleta hili ombi ili barabara ipewe kipaumbele cha pekee kwenye bajeti ya 2017/2018 kwa maana hii ni barabara ya pekee inayoingiza na kutoa magari mengi sana kwenye jiji la dar es salaam na ni barabara yenye watu wengi kutoka kibaha, kibamba na mbezi wanaotegemea kwenda mjini kwa shughuli zao za kila siku.
 
Tayari maandalizi ya ujenzi barabara ya njia sita ya Dar es Salaam –
Chalinze – Morogoro (km 200) sehemu ya Dar es Salaam –Chalinze (km
100) imepangwa kujengwa kwa kiwango cha “Expressway”.
Maandalizi ya mradi huu utakaotekelezwa kwa utaratibu wa ubia baina ya
Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership - PPP)
yamekamilika na yameanza kufanyiwa.

Aprili, 2015, Mshauri Mwelekezi (Transaction Advisor) ambaye ni
Kampuni ya Cheil Engineering Company Limited kutoka Korea ya Kusini
alikwishateuliwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 7.72 na amekamilisha
utafiti wa mwelekeo wabarabara (route survey).

Mwelekeo wa barabara uliochaguliwa unaanzia Charambe katika barabara
ya Kilwa kupitia Kisarawe, Kibamba, Kibaha, Mlandizi hadi Chalinze.
Barabara itakuwa na urefu wa kilometa 128 itakuwa ya njia sita (6) na
barabara za juu (interchanges) tano (5) katika maeneo ya Charambe,
Kisarawe, Kibamba, Mlandizi na Chalinze. Pia itakuwa na vituo vikuu
viwili (2) vya kulipia tozo ya barabara (Toll Plaza) maeneo ya
Charambe na Chalinze.

Pia barabara hii itakuwa na eneo la kupumzika (rest station) pale
Visiga na maeneo mawili (2) ya kuegesha malori ambayo yatakuwa Mbezi
na Mbala. Vilevile Mshauri Mwelekezi atafanya utafiti wa jinsi ya
kuunganisha barabara hii kutoka Charambe hadi bandari ya Dar es
Salaam. Kwa sasa Mshauri Mwelekezia naendelea na kazi ya kuandaa
nyaraka za zabuni na baadaye atasimamia taratibu za kumpata
Mbia/Mwekezaji (Concessionaire) wa mradi huu. Gharama za mradi huu wa
ujenzi zinakadiriwa kufikia Shilingi Trilioni 2.397 na utatekelezwa
kwa njia ya Ubia na Sekta Binafsi (PPP).

Tunajua pia kuwa huwezi kuondoa Msongamano wa magari ya jiji Dar ers
Salaam bila kulitaka Daraja la Selander, Rais Jakaya Kikwete
anaondoka magogoni akiwa keshalipati ufumbuzi wa kudumu eneo hilo la
selander, Serikali ya Korea Kusini imekubali kuipatia Serikali ya
Tanzania mkopo wamasharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa Daraja jipya la
Selander. Upembuzi yakinifu wa mradi huu umekamilika na maandalizi ya
kutiliana saini makubaliano ya mkopo wa kugharamia ujenzi wa daraja
kati ya Korea Exim Bank (kwa niaba yaSerikali ya Korea Kusini) na
Serikali ya Tanzania yanaendelea.
Mkuu hiyo siyo barabara niliyoitaja mimi. Hii haipiti kimara suka wala temboni wala mbezi. Hii inapita nje ya jiji la dar es salaam. Fuatilia vizuri mkuu. Hiyo bajeti ni ya 2016/2017 ebu isome vizuri kwa upande wa morogoro road kipande nilichokitaja. Inasema kuhusu barabara hiyo watapanua maeneo ya miinuko.
 
Tayari maandalizi ya ujenzi barabara ya njia sita ya Dar es Salaam –
Chalinze – Morogoro (km 200) sehemu ya Dar es Salaam –Chalinze (km
100) imepangwa kujengwa kwa kiwango cha “Expressway”.
Maandalizi ya mradi huu utakaotekelezwa kwa utaratibu wa ubia baina ya
Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership - PPP)
yamekamilika na yameanza kufanyiwa.

Aprili, 2015, Mshauri Mwelekezi (Transaction Advisor) ambaye ni
Kampuni ya Cheil Engineering Company Limited kutoka Korea ya Kusini
alikwishateuliwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 7.72 na amekamilisha
utafiti wa mwelekeo wabarabara (route survey).

Mwelekeo wa barabara uliochaguliwa unaanzia Charambe katika barabara
ya Kilwa kupitia Kisarawe, Kibamba, Kibaha, Mlandizi hadi Chalinze.
Barabara itakuwa na urefu wa kilometa 128 itakuwa ya njia sita (6) na
barabara za juu (interchanges) tano (5) katika maeneo ya Charambe,
Kisarawe, Kibamba, Mlandizi na Chalinze. Pia itakuwa na vituo vikuu
viwili (2) vya kulipia tozo ya barabara (Toll Plaza) maeneo ya
Charambe na Chalinze.

Pia barabara hii itakuwa na eneo la kupumzika (rest station) pale
Visiga na maeneo mawili (2) ya kuegesha malori ambayo yatakuwa Mbezi
na Mbala. Vilevile Mshauri Mwelekezi atafanya utafiti wa jinsi ya
kuunganisha barabara hii kutoka Charambe hadi bandari ya Dar es
Salaam. Kwa sasa Mshauri Mwelekezia naendelea na kazi ya kuandaa
nyaraka za zabuni na baadaye atasimamia taratibu za kumpata
Mbia/Mwekezaji (Concessionaire) wa mradi huu. Gharama za mradi huu wa
ujenzi zinakadiriwa kufikia Shilingi Trilioni 2.397 na utatekelezwa
kwa njia ya Ubia na Sekta Binafsi (PPP).

Tunajua pia kuwa huwezi kuondoa Msongamano wa magari ya jiji Dar ers
Salaam bila kulitaka Daraja la Selander, Rais Jakaya Kikwete
anaondoka magogoni akiwa keshalipati ufumbuzi wa kudumu eneo hilo la
selander, Serikali ya Korea Kusini imekubali kuipatia Serikali ya
Tanzania mkopo wamasharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa Daraja jipya la
Selander. Upembuzi yakinifu wa mradi huu umekamilika na maandalizi ya
kutiliana saini makubaliano ya mkopo wa kugharamia ujenzi wa daraja
kati ya Korea Exim Bank (kwa niaba yaSerikali ya Korea Kusini) na
Serikali ya Tanzania yanaendelea.
Hii mbona imekaa ki siasa mno?maana ni miaka mingi sasa imepita tokea wakamilishe huo mchakato 2015 mpaka sasa hatuoni lolote afadhali hawa Wa tazara flyover tunaona juhudi zao
 
Back
Top Bottom