mama hepache
Senior Member
- Dec 22, 2018
- 132
- 119
Akilitime, Hiyo online kwa Tanzania hii tumejiandaa kwa mfumo au mnajisemea? Hayo madawati yenyewe bado hayajatosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani si kila kitu kinasogezwa mbele ? Na wameshapangilia ratiba itakuwaje, ninachoona hapa ni wazazi kutokutaka kuwajibika na mtoto wake, yani serikali iwarudishe watoto kwa ajili ya tahadhari ya ugonjwa wazazi mlalamike sasa mlitaka serikali ifanye nini?Kabisa
Kidato cha sita wapo mtaani na wanapepa mei,warudi darasani
Watulie nyumbani hao watoto
Kuzuia corona ni kuzuia maximum interactions as possible as how it can be
Yaani huku texas watu hawatoki nje sasa jamani yaani nyie leteni masihara na huu ugonjwa mtalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hzo statistics sjui wamekufa watu ef kumi mpaka sasa ni za kupikwa mzeeAsante mkuu kwa ushauri
Italy walijilaumu kuzuia mkusanyiko mapema
Kama kufunga shule
Mechi etc leo wanalia
Serikali imefanya jambo la muhmu mapema
Sababu nyumbani kama stage itafika maximum
Wote mtapigwa ndani no out
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tuache ujuaji kwenye hii Corona , tatizo bado ni kubwa mnoo.
Kwa taarifa yako taasisi nyingi zimeanza kupunguza wafanyakazi ambapo wengine wameelekezwa kufanyia kazi nyumbani ili kupunguza msongamano kwenye maofisi. Serikali ndiyo inasimamia hili tena kimya-kimya ili kupunguza taharuki.
Video za kina Mwana-FA zisiwafanye mkarelax na kujidanganya,
upungufu wa maambukizi huko China usitufanye tukarelax kwasababu very soon tutajuta.
Corona bado ni tishio especially kwa nchi masikini kama hii Tz mnayoiita "dona kantre"
Kama kuna mwanafunzi au mwanachuo nyumbani kwako msisitize atulie nyumbani hii sio likizo ya kuetembeleana kwenda kupiga selfie.
Tutalia very soon tuichukulia poa hili janga.
#StayHome
Hzo statistics sjui wamekufa watu ef kumi mpaka sasa ni za kupikwa mzee
Acha kabisa
Acha
Sent using Jamii Forums mobile app
Bravo to our Government
Sahihi zipo wapi?Hzo statistics sjui wamekufa watu ef kumi mpaka sasa ni za kupikwa mzee
Acha kabisa
Acha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu watanzania mpunguze ujuaji!Hamna kitu kama hicho ebu angalia
1.kuna vyuo wanalala 8+ chumba kimoja ugonjwa ukiingia hapo unadhani itakuwaje
2. Unazuia wanafunzi. Je wahudumu wa shule kama nlinzi, wazabuni wa chakula, walimu nk unadhani wakipata huo ugonjwa itakuwaje
3.utoro mashuleni haudhibitiki kutokana na mazingira ya shule zetu. Wakirudi shule watoro wakauleta ugonjwa shuleni unafikiri itakuaje
4. Vyuo vingi vipo maeneo ya mjini wakiambukizana kutokana na ku share vitu kama mabafu, vyoo, sinks, vyombo nk
Mi naona uamuzi wa kufunga uko correct kabisa.
Mto mada acha kujifanya unajua sana....unafikiri wanafunzi wote wana access ya internet?walioko vijijini kusikokua na internet...by the nani ataratibu hayo masomo ya online...usituletee tatizo lingine kusumbua mifuko yetu.Tatizo unakurupuka kuandika hata husomi na kuelewa,
Hebu Rudi darasani usome we usiyependa shule.
shule zisinge fungwa mngetoka mishipa kuwa mamlaka zinataka kuuwa wanenu zimefungwa mnsema zifumguliwe acheni kuw popo
Watanzania watu wa ajabu sana |
sina degree hata moja kiongozi. Mbona hayo ni mambo ya kawaida yanaonekana tuu kwa macho ya nyama.Hebu watanzania mpunguze ujuaji!
Relax, kunywa maji mengi!
Inaonekana unajua vitu vingi sana wewe sijui una degree ngapi?