Indian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 821
- 708
Nchi hii nani anapanga sheria hii? Jee maandamano yataisha au ndo mwanzo? Wananchi kama watafunga maduka watafanya kazi gani? Waulize watendaji wako mtaa wa mchikichini? Hawa sii ndio viongozi wanaomchafulia rais wetu mpendwa kazi zake na wananchi wanazidi kumuona mbaya? Au haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania?