Mh. Waziri Mkuu Pinda ni KIGEUGEU?

£@@€¤¥......dunia nizamishe ama uniweke niishi peke yangu€¥¤....maana ninapomwamini kila binadamu mwishowe ananigeukiaaa€€€€€:cool::cool:
 
2mshukuru MUNGU na bila ya kumsaha Mhasisi wa CDM kwa ku2fikisha hapa. Mi cjui 2ngekuwa wapi.
 
MTOTO WA MKULIMA ANA AJENDA YAKE..

Ukirejea majibu yake ya jana mjengoni ktk maswali ya hapo kwa hapo:
Alikiri kukutana na uongozi wa CDM (Chairman na Katibu Mkuu) na kuzungumzia mgogoro huo, akatoa ushauri ofisi ya Mh Tendwa alishughulikie hilo sakata kwa kuwakutanisha CDM na CCM, ofisi hiyo ipo chini yake.

Alichokuwa analalama kwa CDM ni kufika mbali kwa kulizungumzia kwa wananchi kabla ya Ofisi ya Tendwa kuanza kulifanyia kazi..., labda alitaka Mh Tendwa ndiyo achukue nafasi ya kulizungumzia hilo kwa wananchi....!
Je kuna ubaya gani CDM kuwajulisha yaliyojiri katika mazungumzo yao..? walikuwepo wasaidizi wake etc.

Au mtoto wa mkulima anaiogopa CCM isije chukia...? kama tujuavyo siasa za majitaka co mchezo? 2015 hauko mbali...!
He played party yake kama W/M, Nafac yake Mjengoni, Local govt ipo chini yake. etc Uoga ulikuwa wa nn?

NB: Mengineyo khs Huyu mtoto wa Mkulima, maana hawa watoto wa wakulima wako wengi mtaani...
Binafsi mtoto wa mkulima ameanza kupoteza umakini, labda ulevi wa madaraka unachangia.

Sakata la UDA,
Huku akijua Mh Kapuya ni moja ya wana hisa wa Simon Group, kampuni inayohusika ktk hilo sakata...,
Alitaka kamati ya Miundombinu ya Bunge kuunda kamati ndogo chini Mh Kapuya kufanya uchunguzi wa sakata la UDA.
KANUNI ZA BUNGE zinasema jukumu la kufanya huo uchunguzi ni Kamati ya kudumu ya Bunge inayosimamia mashirika ya umma.
Speaker, Mh mama Makinda alibatilisha uamuzi wa Mtoto wa Mkulima, kwa kutaka Kanuni za Bunge kufuatwa, kwa kuitaka kamati husika ya Mh zitto kufanya uchunguzi huo.....!

JE MTOTO WA MKULIMA ALIKUWA ANA AJENDA YA SIRI...?

Kusifiwa na kila mtoa hoja wa CCM mjengoni wakati wa uchangiaji wa Hoja za Wizara mbalimbali Mjengoni
Kwa sasa umezuka mtindo wa kumsifu mtoto wa mkulima kiaina na kila mwana CCM mjengoni, zile sifa alizokuwa anapewa JK sasa zimehamia kwake, Sumtym wana CCM huwa wana vituko ile mbaya..!
Sasa ni wimbo na sifa tele zinaimbwa mjengoni kuwa bila ya yy shughuli ktk govt haziendi....
aaaaagaaah je, zile sifa alizokuwa akipewa JK na wabunge CCM b4 zipo wapi cku hizi?
Kuna wakati mpaka mawaziri wanasema bila ya yy mambo yasingeenda, eg kuongezwa fedha ktk wizara ya uchukuzi na alipomwahidi waziri wa VB kipindi cha mid-budget dec 2011 kumwongezea fedha ktk wizara yake etc.

Kuimbiwa wimbo wa Happy Birthday mjengoni...!
Mwaka jana 2010 hakuimbiwa mjengoni unless nitakuwa nisahau....! but leo asbh 12/8 ameimbiwa wimbo huo, kiongozi mhusika akiwa Speaker Mh mama Makinda..

Labda haya yote yanahusiana na mbio za 2015...!

 
Chama ni kile kile, na wanachama ni walewale, na serikali ni ile ile, na rais ni yule yule. Kilichobadilika ni waziri mkuu na baraza lake la mawaziri, hapo ndipo penye tatizo...wote wameambukizana hili gonjwa la ukigeugeu. Dawa ya kwanza ni kuvunja baraza la mawaziri, na dawa ya pili ni kuteua waziri mkuu asiye kigeugeu.
 
Ina onekana Mbowe amezoea kuidanganya Kamati Kuu ya CHADEMA kwa kutoa taarifa za uongo! yani kitendo cha kwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu basi akaona ngoja nikawambie wale pimbi na makombati yao kama mgambo wa jiji alie nyeshewa mvua kuwa pinda ameingia muafaka na Chadema mgogoro wa Arusha!

Duh! haya matumizi ya lugha...
 
Asante sana franksarry kwa ujumbe wako mzito hapo juu.
'Speaker, Mh mama Makinda alibatilisha uamuzi wa Mtoto wa Mkulima, kwa kutaka Kanuni za Bunge kufuatwa'
 
Mh. Waziri Mkuu Pinda ni mwoga. Anaogopa kauli ya Mukama kuwa CCM haijamtuma kufanya mazungumzo na CDM, huyu mtu ni dhaifu sana kimsimamo, yaani ni rahisi kumyumbisha akichelea kutia kitumbua chake mchanga.Si mnakumbuka siku za nyuma aliwahi sema kuwa mafisadi waachwe tu kwani wana nguvu ya kuweza kuilpua nchi.
 
Majibu ya Mh. Pinda jana bungeni kuhusu mazungumzo ya mwafaka na viongozi wa CHADEMA juu ya suala la uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya Arusha, yanaonyesha hali ya kuwa PM wetu ni kigeugeu.

Si yeye peke yake, bali hata mheshimiwa Naibu Spika Ndugai na baadhi ya wenyeviti wa Bunge letu tukufu. Ndugu wananchi wazalendo, nawasihi tukemee jambo hili kwa nguvu zote.

Inshallah, Mwenyezi Mungu yuko upande wetu. Ramadhan karim, na mimi nitasema KWELI daima, fitina kwangu mwiko.
Mbona Pinda hajawai kumuambia Rostam Aziz aende mahakamani kama hajaridhishwa na maamuzi ya CCM?
Na huyu Ndugai kichwa maji mbona mwaka 1968 TANU walliwaengua wabunge nane ambao walikiuka kananuni za kiimadili za chama lakini jambo hili halikukemewa kwa nguvu zote??????
 
We ndo mhuni ndo maana unajiita mzee wa posho, ungekuwa si mhuni usingeshadadia posho huku kipato cha mtanzania ni tzs 770,000.00 huo ndo huuni wa serilkali na mzeev remote yaani pindua! mbona hamlali mnaiwaza cdm?? SUBIRI UONE KIMBUNGA! NCHI IMEKUFA SABABU WATU WALIOPEWA MAMLAKA HAWANA A WALA B!.H<br />
<br />
ow can u lead people while u have almost nothing in your head!?we need people who can take action, who can provide A COMPASS TO THEIR PEOPLE!who can give a better plan about employment stratergies, we have how many idol capacities in town?? have u already heard about sthing like effort to support them??? Which kind of govmnt never value its resources???<br />
<br />
KAKA MADHAIFU NI MENGI KULIKO MAZURI YA HAWA WAZEE WA MAGAMBA! KWELI TUNGEKUWA NA WATU WANAOFIKIRI TANZANIA HII TUNGEKUWA NA SHULE AMBAZO WANAFUNZI WANAKAA CHINI?? <br />
<br />
WANAFUNZI 300 WANAFUNDISHWA NA WALIMU 3 AU 1??? SHULE ZIMEJENGWA KWA TOPE?? KWELI TANZANIA HII??? DU! ATAKAYEKUBALI UTAWALA HUU AKI YA MUNGU AKILI YAKE LAZIMA ITAKUWA NA MATATIZO MENGI SANA!!
<br />
<br />
 
Namshangaa sana huyu Mh. Pinda, hivi kwenye mazishi ya Gen.Mayunga ndio alisusa kabisa, au ni kweli aliliogopa timbwili la mh.Lowassa?
 
Kwa mwenendo wa Pinda, naanza kuamini kauli ya Masaburi kuwa kuna wabunge/watu wanafikiri kwa kutumia makalio!
 
Pinda amejilaumu sana kuwakubalia Mbowe na Slaa kwenda nyumbani kwake! hakujua awali wale watu ni wa hovyo watamzushia jambo ambalo hajakubaliana nao! Pinda next time usiwakaribishe hao magwanda nyumbani kwako hawafai na hawana ustarabu kabisa wana tabia za kihuni!
<br />
<br />
Kauli kama hizi ndio zinathibitisha usahihi wa Masuburi. Kweli unafikiria kutumia makalio!
 
Pinda alizungumza kwa kituo kabisa!!
napenda kuwauliza Mbowe na Slaa maswali yafuatayo,
  1. Je ni kweli wao ndio waliomba audience na Waziri Mkuu?
  2. Je walikubaliana kuwa process imhusishe Msajili wa vyama na ni nani alitoa wazo hilo?
  3. Je ni kweli kuwa walikubaliana muafaka upatikane katika siku 30?
Nilivyomuelewa Pinda ni kuwa Chadema ndio wanaoona kuna tatizo lakini yeye ameridhika na hali halisi ingawa swali linakuja ikiwa yeye aliona hali ni shwari kwa nini akubali mpaka kumhusisha msajili wa vyama?
Chadema tuelezeni ukweli uliojiri ili tuhukumu vizuri na next time record mazungumzo hata kwa kutumia simu ya mkononi.
 
Mbona Pinda hajawai kumuambia Rostam Aziz aende mahakamani kama hajaridhishwa na maamuzi ya CCM?
Na huyu Ndugai kichwa maji mbona mwaka 1968 TANU walliwaengua wabunge nane ambao walikiuka kananuni za kiimadili za chama lakini jambo hili halikukemewa kwa nguvu zote??????

Inashangaza hii sympath imetoka wapi? Inawezekana walikuwa vibaraka wao na ndiyo waliwapa jeuri ya kukaidi maagizo ya awali ya chama hata licha ya kukosea utaratibu. Kuna maneno yanasema, usitazame/usitoe kibanzi kwenye jicho la mwenzio kabla hujatoa boriti kwenye jicho lako.
 
Back
Top Bottom