Mh Waziri Lugola una taarifa ya hili la NIDA kuchukua muda mrefu kutoa vitambulisho?

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
8,721
13,959
Salaaam,
Mimi ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.
Nimekuwa nasikia viongozi wa Kitaifa wakisisitiza umuhimu wa kuwa na vitambulisho vya Taifa na vitumike kwa mambo mengi muhimu kama utambulisho.

Mimi nime pigwa picha na Nida Januari mwaka huu. Hadi sasa mwezi wa nane umeanza hatuja pata vitambulisho. Naomba kujua kulikoni??

Je Mh Waziri ana taarifa za hili jambo?? Kama msisitizo ni vitambulisho vya Taifa, kwanini inachukua muda mrefu hivyo kupata hicho kitambukisho???
 
Last edited by a moderator:
Salaaam,
Mimi ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.
Nimekuwa nasikia viongozi wa Kitaifa wakisisitiza umuhimu wa kuwa na vitambulisho vya Taifa na vitumike kwa mambo mengi muhimu kama utambulisho.

Mimi nime pigwa picha na Nida Januari mwaka huu. Hadi sasa mwezi wa nane umeanza hatuja pata vitambulisho. Naomba kujua kulikoni??

Je Mh Waziri ana taarifa za hili jambo?? Kama msisitizo ni vitambulisho vya Taifa, kwanini inachukua muda mrefu hivyo kupata hicho kitambukisho???
wewe January mwaka huu, sisi Mwezi wa 7 mwaka jana basi tulia kwanza
 
Wanaotafuta vitambulisho kwa ghiriba, masimango na vitisho wana wasiwasi na uraia wao!!!!
Ovaaa
 
Write your reply...vitatolewa uchaguzi ukifika 2020. unataka kupunguza hoja za wanasiasa?
 
wadada wa Nida Morogoro wanajisikia sana hata majibu yao utafikiri wanalipwa mamilioni ya pesa wakati wameajiriwa kuwatumikia wananchi
Samahani Mkuu, kama wewe ni mwanaume (sijui jinsi yako) na wadada wanakusumbua utakua unakosea.

Dawa ya wadada wasumbufu ni kuwatongoza baaasi.

Hata traffic wa kike akikukamata, ukimtongoza fine atamtoza mwanamke mwenzie
 
Back
Top Bottom