Mh Tupatupa Kupata Kunamungu... kama si leo kesho.

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Maskini huyu tupa tupa ambaye amekuwa na bahati ya kupata na neema ya kupoteza. Huyu ambaye anaweza jenga kwa mbwembwe na kubomoa kwa mikogo.

Tupatupa huwa hapiwi mapato na matumizi... Anaweza tumia pesa nyingi juliko mshahara wake hivyo akalazimika kukopa na kulipa kwa faida. Kibaya pesa atakayokopa utakuta hajaipangia matumzi. Anatupa tupa akiamini atapata tu as long mungu wake yupo.

Tupa tupa akipata pesa kidogo atatangaza hata kutaka kuwakopesha mabosi zake kwa mbwembwe kabisa huku akitoa macho na mashavu kumcheza cheza atafoka kuwakemea maskini kisa ana pesa za mkopo.
 
Maskini huyu tupa tupa ambaye amekuwa na bahati ya kupata na neema ya kupoteza. Huyu ambaye anaweza jenga kwa mbwembwe na kubomoa kwa mikogo.

Tupatupa huwa hapiwi mapato na matumizi... Anaweza tumia pesa nyingi juliko mshahara wake hivyo akalazimika kukopa na kulipa kwa faida. Kibaya pesa atakayokopa utakuta hajaipangia matumzi. Anatupa tupa akiamini atapata tu as long mungu wake yupo.

Tupa tupa akipata pesa kidogo atatangaza hata kutaka kuwakopesha mabosi zake kwa mbwembwe kabisa huku akitoa macho na mashavu kumcheza cheza atafoka kuwakemea maskini kisa ana pesa za mkopo.
Gudume sasa umeanza lini utani na malaika mkuu???
 
Maskini huyu tupa tupa ambaye amekuwa na bahati ya kupata na neema ya kupoteza. Huyu ambaye anaweza jenga kwa mbwembwe na kubomoa kwa mikogo.

Tupatupa huwa hapiwi mapato na matumizi... Anaweza tumia pesa nyingi juliko mshahara wake hivyo akalazimika kukopa na kulipa kwa faida. Kibaya pesa atakayokopa utakuta hajaipangia matumzi. Anatupa tupa akiamini atapata tu as long mungu wake yupo.

Tupa tupa akipata pesa kidogo atatangaza hata kutaka kuwakopesha mabosi zake kwa mbwembwe kabisa huku akitoa macho na mashavu kumcheza cheza atafoka kuwakemea maskini kisa ana pesa za mkopo.
magu au?
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom