zumbemkulu
Member
- Dec 6, 2013
- 52
- 5
Kwa hali ilivyosasa tunakukumbuka waziri mkuu mstaafu Mh Sumaye katika kipindi chako kizima kuanzia 1995-2005 katika kuweza kusimamia vizuri serikali kama mtendaji mkuu na kuhakikisha nidhamu na maadili ya viongozi kama mtendaji mkuu wa shughuli za serikali .