MWILI NYUMBA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 817
- 255
Kwa wale tuliobahatika kutazama kipindi za jioni cha Bunge la Bajeti leo basi mtaungana na mimi kutaka kumfahamu huyu Muheshimiwa hasa kutokana na mbwembwe zilizopita kiasi anazotumia Mbunge huyu katika kuwasilisha hoja. Kwakweli amewachana vya kutosha CCM juu ya kusuasua kwa ujenzi wa Barabara kuu ya kusini na hoja zake nzito.
Ningependa kumfahamu zaidi huyu Muheshimiwa kama uwajibikaji wake kwenye jimbo analolitumikia, maoni juu ya kuendelea kwake kuwepo kwenye bunge kwa awamu ijayo ya kuanzia 2015, CV yake, jinsi alivyopenya kwenye uchaguzi wa mkuu wa mwaka 2010 nakadharika. Kwa mwenye kumfahamu huyu kwa undani please hebu tupashe kidogo na sisi.
Ningependa kumfahamu zaidi huyu Muheshimiwa kama uwajibikaji wake kwenye jimbo analolitumikia, maoni juu ya kuendelea kwake kuwepo kwenye bunge kwa awamu ijayo ya kuanzia 2015, CV yake, jinsi alivyopenya kwenye uchaguzi wa mkuu wa mwaka 2010 nakadharika. Kwa mwenye kumfahamu huyu kwa undani please hebu tupashe kidogo na sisi.