Actually walikuwa wanampandisha chati bila kujijua!Ushindi wa Mr. II unadhihirishia watanzania kuwa haki ya mtu haipotei na ikipotea ikatafutwa hupatikana. Hongera sana Sugu kwa kusaka haki yako hadi kimeeleweka. Walikupokonya kinjiwa sasa umepewa tembo mzima.
Ninachokuomba kama Mpenzi wa CHADEMA ni kuwa hakikisha unachagua cha kuongea na mahali pa kuongea. Wewe sasa ni mheshimiwa na pia umebeba bendara ya Chama chetu pamoja na Uwakilishi wa jimbo lako. Inapobidi omba ushauri kwa viongozi katika Chama ili kupata ufumbuzi wa jambo lililo mbele yako.
Clouds kuua soo watamwita kumhoji
Ushindi wa Mr. II unadhihirishia watanzania kuwa haki ya mtu haipotei na ikipotea ikatafutwa hupatikana. Hongera sana Sugu kwa kusaka haki yako hadi kimeeleweka. Walikupokonya kinjiwa sasa umepewa tembo mzima.