Mh. Sitta na Mh. Mwakyembe Dowans wakilipwa wajiuzulu?

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Leo kwenye vyombo vya habari imeripotiwa Tanesco wamesalimu amri kwa kushindwa kesi na Dowans. Sasa ina maana Watanzania wajiandae kukamuliwa. Mh. Sitta na MH. Mwakyembe walilipigia kelele sana suala hilo bila mafanikio. Kwa sasa kwa vile wako serikalini Dowans wakilipwa tutajua nao wameshiriki hivyo ushauri kwao ni kuwa wajiuzulu ili wasihusishwe na unyanyaji huo. Kwa kweli serikali yetu imedhihirisha kuwa inahusika na sakata hilo maana jinsi kesi inavyoendeshwa ni kama danganya toto. Vyama vya upinzania vilisemee suala hili kuepusha unyonyaji kwa Watanzania. Nakaribisha maoni.
 
CCM muwalipe dowans lakini hiyo dhambi ya kuwanyonya Watanzania itawatafuna daima.
 
Leo kwenye vyombo vya habari imeripotiwa Tanesco wamesalimu amri kwa kushindwa kesi na Dowans. Sasa ina maana Watanzania wajiandae kukamuliwa. Mh. Sitta na MH. Mwakyembe walilipigia kelele sana suala hilo bila mafanikio. Kwa sasa kwa vile wako serikalini Dowans wakilipwa tutajua nao wameshiriki hivyo ushauri kwao ni kuwa wajiuzulu ili wasihusishwe na unyanyaji huo. Kwa kweli serikali yetu imedhihirisha kuwa inahusika na sakata hilo maana jinsi kesi inavyoendeshwa ni kama danganya toto. Vyama vya upinzania vilisemee suala hili kuepusha unyonyaji kwa Watanzania. Nakaribisha maoni.

Mods mko wapi? mada kama hizi ni za kuzifuta kwani hazina maslahi ya kitaifa!! na hazizingatii utawala wa sheria, kama mahakama wametoa uamzi maandamano ya nini? wanaostahili kimsingi kuwajibika ni waliotufikisha hapo! na ndiyo ka serikali ina nafasi yakuwawajibisha kwa sasa sio kukataa kulipa fidia>
 
Na James Magai, Mwananchi (email the author)
Email this article to a friend

Friend's Email Address
Your Email
Message
Submit Cancel


Posted Alhamisi,Aprili4 2013 saa 10:56 AM
Kwa ufupi
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans.




Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans. Hatua hiyo, ni baada ya Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi yake ya kusimamisha utekelezaji hukumu hiyo.

Tanesco iliwasilisha katika Mahakama ya Rufaa maombi ya kusimamisha utekelezaji hukumu ya Mahakama Kuu, ikidai Dola 65 milioni za Marekani, walizoamriwa na ICC kuilipa Dowans ni kiwango kikubwa iwapo kitalipwa itayumba.

Pia, ilidai tayari walishawasilisha nia ya kukata rufaa kupinga hukumu hiyo, huku wakijigamba kuwa wana nafasi kubwa ya kushinda rufaa wanayokusudia kuikata kupinga hukumu ya Mahakama Kuu.

Hata hivyo, uamuzi wa Mahakama ya Rufani uliosomwa jana na Naibu Msajili wa mahakama hiyo, Elizabeth Mkwizu, ilitupilia mbali maombi ya Tanesco na kuiamuru ilipe gharama za shauri hilo.

Katika uamuzi huo uliotolewa na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani, walikubaliana na hoja za pingamizi la Wakili wa Dowans, Kennedy Fungamtama, kuwa maombi hayo yaliwasilishwa nje ya muda.

Wakili Fungamtama katika hoja zake za pingamizi alidai kuwa, maombi hayo yamewasilishwa nje ya muda kisheria.

Alidai kuwa kisheria maombi hayo yalipaswa yawasilishwe katika muda wa siku 60 tangu kutolewa kwa hukumu, lakini badala yake Tanesco iliwasilisha maombi hayo baada ya siku 351.

Akizungumzia uamuzi huo, Wakili Fungamtama alisema sasa Mahakama ya Rufani imefungua milango kwa Dowans kukazia hukumu ya Mahakama Kuu ili ilipwe fidia kama ilivyoamuriwa na Mahakama Kuu.

Hii ni mara ya pili kwa Tanesco kushindwa kusimamisha utekelezaji wa hukumu hiyo ya Mahakama Kuu. Kutokana hukumu hiyo itabidi Tanesco kutekeleza amri ya Mahakama Kuu kuilpa Dowans fedha hizo ambazo kutokana na riba zimeongezeka zaidi tangu Mahakama ya ICC itoe hukumu.
 
Mods mko wapi? mada kama hizi ni za kuzifuta kwani hazina maslahi ya kitaifa!! na hazizingatii utawala wa sheria, kama mahakama wametoa uamzi maandamano ya nini? wanaostahili kimsingi kuwajibika ni waliotufikisha hapo! na ndiyo ka serikali ina nafasi yakuwawajibisha kwa sasa sio kukataa kulipa fidia>

Haya ni mawazo ya kimasaburi, inamaana kama tumekosea tumewachagua viongozi mafisadi tuwaachie watufilisi kisa uamuzi wa mahakama, wewe naona unafaidika na unyonyaji huu ndio maana huoni uchungu.
 
Laigwanan Ngoyai Lowasa, alimkabidhi rasmi Kikwete Dowans yake pale Dodoma kwenye kikao leo hii mnauliza dowans kulipwa, mnataka maelezo gani? Dowans ni ya rais Kikwete, shahidi namba moja kwenye hili ni Laigwanan Ngoyai Lowasa. Hamtaki?
 
Laigwanan Ngoyai Lowasa, alimkabidhi rasmi Kikwete Dowans yake pale Dodoma kwenye kikao leo hii mnauliza dowans kulipwa, mnataka maelezo gani? Dowans ni ya rais Kikwete, shahidi namba moja kwenye hili ni Laigwanan Ngoyai Lowasa. Hamtaki?

Uko sawa mkuu angalia hii:
Na James Magai, Mwananchi (email the author)
Email this article to a friend

Friend's Email Address
Your Email
Message
Submit Cancel



Posted Alhamisi,Aprili4 2013 saa 10:56 AM
Kwa ufupi
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans.




Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans. Hatua hiyo, ni baada ya Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi yake ya kusimamisha utekelezaji hukumu hiyo.

Tanesco iliwasilisha katika Mahakama ya Rufaa maombi ya kusimamisha utekelezaji hukumu ya Mahakama Kuu, ikidai Dola 65 milioni za Marekani, walizoamriwa na ICC kuilipa Dowans ni kiwango kikubwa iwapo kitalipwa itayumba.

Pia, ilidai tayari walishawasilisha nia ya kukata rufaa kupinga hukumu hiyo, huku wakijigamba kuwa wana nafasi kubwa ya kushinda rufaa wanayokusudia kuikata kupinga hukumu ya Mahakama Kuu.

Hata hivyo, uamuzi wa Mahakama ya Rufani uliosomwa jana na Naibu Msajili wa mahakama hiyo, Elizabeth Mkwizu, ilitupilia mbali maombi ya Tanesco na kuiamuru ilipe gharama za shauri hilo.

Katika uamuzi huo uliotolewa na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani, walikubaliana na hoja za pingamizi la Wakili wa Dowans, Kennedy Fungamtama, kuwa maombi hayo yaliwasilishwa nje ya muda.

Wakili Fungamtama katika hoja zake za pingamizi alidai kuwa, maombi hayo yamewasilishwa nje ya muda kisheria.

Alidai kuwa kisheria maombi hayo yalipaswa yawasilishwe katika muda wa siku 60 tangu kutolewa kwa hukumu, lakini badala yake Tanesco iliwasilisha maombi hayo baada ya siku 351.

Akizungumzia uamuzi huo, Wakili Fungamtama alisema sasa Mahakama ya Rufani imefungua milango kwa Dowans kukazia hukumu ya Mahakama Kuu ili ilipwe fidia kama ilivyoamuriwa na Mahakama Kuu.

Hii ni mara ya pili kwa Tanesco kushindwa kusimamisha utekelezaji wa hukumu hiyo ya Mahakama Kuu. Kutokana hukumu hiyo itabidi Tanesco kutekeleza amri ya Mahakama Kuu kuilpa Dowans fedha hizo ambazo kutokana na riba zimeongezeka zaidi tangu Mahakama ya ICC itoe hukumu.
 
Laigwanan Ngoyai Lowasa, alimkabidhi rasmi Kikwete Dowans yake pale Dodoma kwenye kikao leo hii mnauliza dowans kulipwa, mnataka maelezo gani? Dowans ni ya rais Kikwete, shahidi namba moja kwenye hili ni Laigwanan Ngoyai Lowasa. Hamtaki?
Hapo kweli nakubaliana na ww, maana baada ya kumkabidhi, mjadala wa dowans ulifungwa na mbaya zaidi ngoma ikaendelea kupiga kazi kwa malipo yale yale kwa jina la symbion.
 
Hapo kweli nakubaliana na ww, maana baada ya kumkabidhi, mjadala wa dowans ulifungwa na mbaya zaidi ngoma ikaendelea kupiga kazi kwa malipo yale yale kwa jina la symbion.

Sawa mkuu JK anatuchezea akili ila kuna siku kila kitu kitakuwa wazi, eti mlinzi wetu ndio mwizi wetu.
 
Uko sawa mkuu angalia hii:
Na James Magai, Mwananchi (email the author)
Email this article to a friend

Friend's Email Address
Your Email
Message
Submit Cancel



Posted Alhamisi,Aprili4 2013 saa 10:56 AM
Kwa ufupi
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans.




Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans. Hatua hiyo, ni baada ya Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi yake ya kusimamisha utekelezaji hukumu hiyo.

Tanesco iliwasilisha katika Mahakama ya Rufaa maombi ya kusimamisha utekelezaji hukumu ya Mahakama Kuu, ikidai Dola 65 milioni za Marekani, walizoamriwa na ICC kuilipa Dowans ni kiwango kikubwa iwapo kitalipwa itayumba.

Pia, ilidai tayari walishawasilisha nia ya kukata rufaa kupinga hukumu hiyo, huku wakijigamba kuwa wana nafasi kubwa ya kushinda rufaa wanayokusudia kuikata kupinga hukumu ya Mahakama Kuu.

Hata hivyo, uamuzi wa Mahakama ya Rufani uliosomwa jana na Naibu Msajili wa mahakama hiyo, Elizabeth Mkwizu, ilitupilia mbali maombi ya Tanesco na kuiamuru ilipe gharama za shauri hilo.

Katika uamuzi huo uliotolewa na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani, walikubaliana na hoja za pingamizi la Wakili wa Dowans, Kennedy Fungamtama, kuwa maombi hayo yaliwasilishwa nje ya muda.

Wakili Fungamtama katika hoja zake za pingamizi alidai kuwa, maombi hayo yamewasilishwa nje ya muda kisheria.

Alidai kuwa kisheria maombi hayo yalipaswa yawasilishwe katika muda wa siku 60 tangu kutolewa kwa hukumu, lakini badala yake Tanesco iliwasilisha maombi hayo baada ya siku 351.

Akizungumzia uamuzi huo, Wakili Fungamtama alisema sasa Mahakama ya Rufani imefungua milango kwa Dowans kukazia hukumu ya Mahakama Kuu ili ilipwe fidia kama ilivyoamuriwa na Mahakama Kuu.

Hii ni mara ya pili kwa Tanesco kushindwa kusimamisha utekelezaji wa hukumu hiyo ya Mahakama Kuu. Kutokana hukumu hiyo itabidi Tanesco kutekeleza amri ya Mahakama Kuu kuilpa Dowans fedha hizo ambazo kutokana na riba zimeongezeka zaidi tangu Mahakama ya ICC itoe hukumu.

Umeona kiongozi enhee, nani anaweza kukuconvice kuwa wakili wa serikali na wa tanesco hawajui muda wa kukata rufaa? Hii ipo wazi kuwa walipewa maeelekezo kuchelewa kwa makusudi ili wawe nje ya sheria. Hapa Mlinzi wetu (serikali) wameshirikiana vizuri na wezi (Richmond, dowans, symbion) kutuibia na wamefanikiwa kwani walitumwa na mzee
 
Na James Magai, Mwananchi (email the author)
Email this article to a friend Friend's Email Address
Your Email
Message
Submit Cancel
Posted Alhamisi,Aprili4 2013 saa 10:56 AM Kwa ufupi Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans.Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limeshindwa kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu, iliyoliamuru liilipe fidia Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans. Hatua hiyo, ni baada ya Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi yake ya kusimamisha utekelezaji hukumu hiyo. Tanesco iliwasilisha katika Mahakama ya Rufaa maombi ya kusimamisha utekelezaji hukumu ya Mahakama Kuu, ikidai Dola 65 milioni za Marekani, walizoamriwa na ICC kuilipa Dowans ni kiwango kikubwa iwapo kitalipwa itayumba. Pia, ilidai tayari walishawasilisha nia ya kukata rufaa kupinga hukumu hiyo, huku wakijigamba kuwa wana nafasi kubwa ya kushinda rufaa wanayokusudia kuikata kupinga hukumu ya Mahakama Kuu. Hata hivyo, uamuzi wa Mahakama ya Rufani uliosomwa jana na Naibu Msajili wa mahakama hiyo, Elizabeth Mkwizu, ilitupilia mbali maombi ya Tanesco na kuiamuru ilipe gharama za shauri hilo. Katika uamuzi huo uliotolewa na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani, walikubaliana na hoja za pingamizi la Wakili wa Dowans, Kennedy Fungamtama, kuwa maombi hayo yaliwasilishwa nje ya muda. Wakili Fungamtama katika hoja zake za pingamizi alidai kuwa, maombi hayo yamewasilishwa nje ya muda kisheria. Alidai kuwa kisheria maombi hayo yalipaswa yawasilishwe katika muda wa siku 60 tangu kutolewa kwa hukumu, lakini badala yake Tanesco iliwasilisha maombi hayo baada ya siku 351. Akizungumzia uamuzi huo, Wakili Fungamtama alisema sasa Mahakama ya Rufani imefungua milango kwa Dowans kukazia hukumu ya Mahakama Kuu ili ilipwe fidia kama ilivyoamuriwa na Mahakama Kuu. Hii ni mara ya pili kwa Tanesco kushindwa kusimamisha utekelezaji wa hukumu hiyo ya Mahakama Kuu. Kutokana hukumu hiyo itabidi Tanesco kutekeleza amri ya Mahakama Kuu kuilpa Dowans fedha hizo ambazo kutokana na riba zimeongezeka zaidi tangu Mahakama ya ICC itoe hukumu.
Daaah ili bonge la picha limechezwa, ina maana vichwa vyote vile vya rex attorneys havikujua kuwa maombi ya stay yanafanyika ndani ya sik0 60 ? Duuuh iyo siamini mpaka mwisho, na kama kweli basi siamini tena kwamba law firms kubwa zote za mjini zimefanikiwa kwa utendaji kazi bali ni sababu nyingine
 
Daaah ili bonge la picha limechezwa, ina maana vichwa vyote vile vya rex attorneys havikujua kuwa maombi ya stay yanafanyika ndani ya sik0 60 ? Duuuh iyo siamini mpaka mwisho, na kama kweli basi siamini tena kwamba law firms kubwa zote za mjini zimefanikiwa kwa utendaji kazi bali ni sababu nyingine

Kwa ujumla Tanzania tuna kansa ya uongozi mna ni Mungu tuu ndio atatuepusha na balaa hili 2015. Ebu angalia nguvu inayotumika kuithibiti Chadema fedha nyingi sana zinatumika kufanya kila kitu ili kuipunguzia nnguvu na umaarufu kwa wananchi. Watanzania tuamke nchi inauzwa. Haya yote ya uamsho, kuuawa viongozi wa dini, kuuawa raia wasio na yhatia, kuvamia na kuteka watu n.k. ni sehemu ya mbinu hizo. Nawasihi kwa dhati kabisa Watanzania tuamke tuukatae uzandiki huu.
 
Umeona kiongozi enhee, nani anaweza kukuconvice kuwa wakili wa serikali na wa tanesco hawajui muda wa kukata rufaa? Hii ipo wazi kuwa walipewa maeelekezo kuchelewa kwa makusudi ili wawe nje ya sheria. Hapa Mlinzi wetu (serikali) wameshirikiana vizuri na wezi (Richmond, dowans, symbion) kutuibia na wamefanikiwa kwani walitumwa na mzee
Halafu sasa vituko hivi vyote vinafanyika Watanzania tumenyamaza kanakwamba hakuna tatizo sijui tumelogwa Mungu atuepushe na dhahama hii inayokua kwa kasi katika nchi yetu.
 
Mh. Sitta na MH. Mwakyembe wasipojiuzulu tutajua aidha wamenunuliwa au walikuwa tuu wanatuhadaa hawakua serious kuhusu wizi wa Richmond/Dowans.
 
WanaJF kwani ile movie ya kuilipa Dowans imeishia wapi ili tuwashinikize hawa waheshiwa wajiuzulu au tujue mni wasaliti wa watanzania.
 
Back
Top Bottom