Katika kile kinachoonekana kujibu mapigo kwa wao kukaniwa kutorudi Bungeni, Mh selelii, mama Sita, Mh Aziza na Mh Mchemba juzi walifanya kikao kikubwa katika Hotel ya Orion Mjini Tabora ili kuweka mikakati ya kunusuru nafasi zao za uwakilishi ambazo yawezekana wao wamekwisha ji binaifsishia kuwa mali zao za kudumu.
Kikao hicho kilichoanza saa tatu usiku pamoja na mambo mengine kilikubaliana utaratibu wa kugawa baiskeli ili kumsaidia mgombea mmoja wa kike katika nafasi ya viti maalumu inayoonekana kuwa chungu kwao baada ya kujitokeza mwana dada mmoja mzaliwa wa Tabora na mfanya biashara maarufu mjini Tabora kuitaka nafasi hiyo, aidha utaratibu wa kugawa baiskeli unafanyika baada ya ziara ya mmoja wa wafadhali wao wakuu kugonga mwamba tokana na uongozi wa mkoa kutokuwa tayari kumpokea mgeni huyo( mfadhili. endapo watafanikiwa basi watakuwa wametegua kitendawili cha ule mkakati wa kuwang'oa akiwemo Mr 6
Kikao hicho kilichoanza saa tatu usiku pamoja na mambo mengine kilikubaliana utaratibu wa kugawa baiskeli ili kumsaidia mgombea mmoja wa kike katika nafasi ya viti maalumu inayoonekana kuwa chungu kwao baada ya kujitokeza mwana dada mmoja mzaliwa wa Tabora na mfanya biashara maarufu mjini Tabora kuitaka nafasi hiyo, aidha utaratibu wa kugawa baiskeli unafanyika baada ya ziara ya mmoja wa wafadhali wao wakuu kugonga mwamba tokana na uongozi wa mkoa kutokuwa tayari kumpokea mgeni huyo( mfadhili. endapo watafanikiwa basi watakuwa wametegua kitendawili cha ule mkakati wa kuwang'oa akiwemo Mr 6