Mh:Seleli, Mama Sita na mh Aziza wajibu mapigo

M-bongo

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
338
71
Katika kile kinachoonekana kujibu mapigo kwa wao kukaniwa kutorudi Bungeni, Mh selelii, mama Sita, Mh Aziza na Mh Mchemba juzi walifanya kikao kikubwa katika Hotel ya Orion Mjini Tabora ili kuweka mikakati ya kunusuru nafasi zao za uwakilishi ambazo yawezekana wao wamekwisha ji binaifsishia kuwa mali zao za kudumu.
Kikao hicho kilichoanza saa tatu usiku pamoja na mambo mengine kilikubaliana utaratibu wa kugawa baiskeli ili kumsaidia mgombea mmoja wa kike katika nafasi ya viti maalumu inayoonekana kuwa chungu kwao baada ya kujitokeza mwana dada mmoja mzaliwa wa Tabora na mfanya biashara maarufu mjini Tabora kuitaka nafasi hiyo, aidha utaratibu wa kugawa baiskeli unafanyika baada ya ziara ya mmoja wa wafadhali wao wakuu kugonga mwamba tokana na uongozi wa mkoa kutokuwa tayari kumpokea mgeni huyo( mfadhili. endapo watafanikiwa basi watakuwa wametegua kitendawili cha ule mkakati wa kuwang'oa akiwemo Mr 6
 
Katika kile kinachoonekana kujibu mapigo kwa wao kukaniwa kutorudi Bungeni, Mh selelii, mama Sita, Mh Aziza na Mh Mchemba juzi walifanya kikao kikubwa katika Hotel ya Orion Mjini Tabora ili kuweka mikakati ya kunusuru nafasi zao za uwakilishi ambazo yawezekana wao wamekwisha ji binaifsishia kuwa mali zao za kudumu.
Kikao hicho kilichoanza saa tatu usiku pamoja na mambo mengine kilikubaliana utaratibu wa kugawa baiskeli ili kumsaidia mgombea mmoja wa kike katika nafasi ya viti maalumu inayoonekana kuwa chungu kwao baada ya kujitokeza mwana dada mmoja mzaliwa wa Tabora na mfanya biashara maarufu mjini Tabora kuitaka nafasi hiyo, aidha utaratibu wa kugawa baiskeli unafanyika baada ya ziara ya mmoja wa wafadhali wao wakuu kugonga mwamba tokana na uongozi wa mkoa kutokuwa tayari kumpokea mgeni huyo( mfadhili. endapo watafanikiwa basi watakuwa wametegua kitendawili cha ule mkakati wa kuwang'oa akiwemo Mr 6
M-Bongo,

Kwanza mjomba, Wacha nikupe Heshima yangu...Wewe ni Mzalendo, Mjamaa, na Raia Mwema WA mKOA WA TABORA...!

Achana na MASANILO, si unajua yeye anatoka kule nanihiiii kule!!!?

Sasa Mjomba , embu tupe Data vizuri, hao wanaotaka kuwapora nafasi akina Selelii ni akina nani?

Na je, Huyo Dada Tishio, pamoja na huyo Mfadhili ni wepi hao? Usikute ni wale ndugu zetu wapendwa wa jamii ya ki**sia, kama kawaida yenu wa TABORA!! Lete nyeti zaidi mkulu..
 
Hizi habari zainapendeza kuwa kule kwa Michuzi! ama kwa shigongo



hata mi nadhani hivyo.
 
Tukianza na seleli tokana yeye kujichanganya sana katika siasa za Nzega hasa kwa maswala ya Ubaguzi rangi ,kabila na Dini hali yake kisiasa ni mbaya mno kwani tayari kuna wagombea kama saba hivi lakini tishio ni mmoja aliyepewa jina la Kayanda (kavulana, kakijana-kisukuma) katika uchaguzi wa 2005 kijana huyo tayari amepagawisha seleli kiasi cha kuanza kufanya mikutano hovyo bila matangazo, bila vibali, bila viongozi wa chama chake, Aziza anbaye ni mbunge wa Viti maalumu yeye anakabiliwa na kibarua kizito tokana na kuegemea kwa mmoja wa wafadhili ambao ni adui mkubwa kwa wadau wa siasa za mkoa wa Tabora hivyo amepangiwa utaratibu wa kuchinjiwa baharini wakati wa kura za maoni ili akose kura kabisa, Aziza kwa sasa amepewa baiskeli 140 na Bwana Mengi ili azigawe katika kata zote 138 za mkoa wa Tabora na juzi amegawa kwa wilaya za sikonge na Uyui kesho kutwa anaenda zikabidhi huko,
 
Tukianza na seleli tokana yeye kujichanganya sana katika siasa za Nzega hasa kwa maswala ya Ubaguzi rangi ,kabila na Dini hali yake kisiasa ni mbaya mno kwani tayari kuna wagombea kama saba hivi lakini tishio ni mmoja aliyepewa jina la Kayanda (kavulana, kakijana-kisukuma) katika uchaguzi wa 2005 kijana huyo tayari amepagawisha seleli kiasi cha kuanza kufanya mikutano hovyo bila matangazo, bila vibali, bila viongozi wa chama chake, Aziza anbaye ni mbunge wa Viti maalumu yeye anakabiliwa na kibarua kizito tokana na kuegemea kwa mmoja wa wafadhili ambao ni adui mkubwa kwa wadau wa siasa za mkoa wa Tabora hivyo amepangiwa utaratibu wa kuchinjiwa baharini wakati wa kura za maoni ili akose kura kabisa, Aziza kwa sasa amepewa baiskeli 140 na Bwana Mengi ili azigawe katika kata zote 138 za mkoa wa Tabora na juzi amegawa kwa wilaya za sikonge na Uyui kesho kutwa anaenda zikabidhi huko,

He he he! he! he!.....!!!!!!!!!!!!!!

Wadau si mnaona mambo hayo? Mliyajua?

Sasa ndo kusema huyu bwana Mengi yeye anahusikaje na

siasa za Tabora, mpaka amwage hizo "INJINI-KIUNO" au

"IRON-HORSE" kama zilivyoitwa katika kitabu nilichosoma

zamaaaani, cha Ze River Between?
 
Aziza kwa sasa amepewa baiskeli 140 na Bwana Mengi ili azigawe katika kata zote 138 za mkoa wa Tabora na juzi amegawa kwa wilaya za sikonge na Uyui kesho kutwa anaenda zikabidhi huko,

Nadhani Mkuu Sikonge naye atakuwa ka[ata baiskeli hapo. Kunani Bungeni?.
 
Habari ndo hizo si lazima ukubali kila unachokisoma hata kama hakikufurahishi ila huo ndo ukweli wa hoja
 
Back
Top Bottom