Wachovu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 1,227
- 565
Ndio wanasiasa wetu hao ! Ukuta bwana ni shedaaaaaahUkitaka kupata Tafsiri ya Ujanja ujanja, Utapeli na kubadili gia za angani kadri atakavyo Bosi wako Basi mfuatilie Saed Kubenea.
Mara ya kwanza walipokuwa wanajadili Namba gani itumike kupokea Michango ya Tundu Lissu lilipotajwa tu jina la Saed Kubenea kila Mtu kwny Kikao Aliguna mpaka walipobadili na kumpa Ester Matiku Hilo Jukumu