usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,897
Ndo sababu ya kubenea kukamatwa iyo?Ukitaka kupata Tafsiri ya Ujanja ujanja, Utapeli na kubadili gia za angani kadri atakavyo Bosi wako Basi mfuatilie Saed Kubenea.
Mara ya kwanza walipokuwa wanajadili Namba gani itumike kupokea Michango ya Tundu Lissu lilipotajwa tu jina la Saed Kubenea kila Mtu kwny Kikao Aliguna mpaka walipobadili na kumpa Ester Matiku Hilo Jukumu