kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
Kwanza nianze kwa kumpongeza Mh Raisi kwa utendaji wake wa kazi .
Naomba niseme nimefurahi sana kuona Mh Raisi kafanya ziara Mkoa wa mbeya ambapo kwa mujibu wa report itakuwa ni ya muda wa siku 8 atakuwa mkoani Humo, naomba mheshimiwa Raisi kuomba atusadie wananchi wa mkoa wa mbeya kurudisha mashamba ya Kapunga na mbalali kwa wananchi kwa sababu yalichukuliwa kiufisadi na ubabe sana na kibaya zaid wale wawekezaji wameshindwa kuyaendesha na wamebaki kunyanyasa tu wananchi
Kwa wale wasiojua Yale mashamba yamekuwa uti wa mgongo na mkombozi wa kiuchumi kwa wananchi wengi wa mikoa ya nyanda za juu kusini , tumepambana sana kutaka mashamba Yale yarudishwe lakin hatukupewa majibu sahihi Mh Tibaijuka alijitahidi kutaka kurudisha Yale mashamba lakin ghafula aliacha hatuelewi nini kiliendelea huko.
Kilio cha wananchi wengi mbeya na mikoa ya jirani ni uonevu uliofanywa na unaoendelea kufanywa na mwekezaji
Naomba niseme nimefurahi sana kuona Mh Raisi kafanya ziara Mkoa wa mbeya ambapo kwa mujibu wa report itakuwa ni ya muda wa siku 8 atakuwa mkoani Humo, naomba mheshimiwa Raisi kuomba atusadie wananchi wa mkoa wa mbeya kurudisha mashamba ya Kapunga na mbalali kwa wananchi kwa sababu yalichukuliwa kiufisadi na ubabe sana na kibaya zaid wale wawekezaji wameshindwa kuyaendesha na wamebaki kunyanyasa tu wananchi
Kwa wale wasiojua Yale mashamba yamekuwa uti wa mgongo na mkombozi wa kiuchumi kwa wananchi wengi wa mikoa ya nyanda za juu kusini , tumepambana sana kutaka mashamba Yale yarudishwe lakin hatukupewa majibu sahihi Mh Tibaijuka alijitahidi kutaka kurudisha Yale mashamba lakin ghafula aliacha hatuelewi nini kiliendelea huko.
Kilio cha wananchi wengi mbeya na mikoa ya jirani ni uonevu uliofanywa na unaoendelea kufanywa na mwekezaji