Nakushauri mh. raisi kupumzika kama ulivyoshauriwa na daktari wako. usihangaike na suala la kutengua mawaziri waache wafanye kazi kwa miezi mnne hii uliyopewa na halafu ukiongeza na miezi mingine minne ya nyongeza utakayopewa na daktari wako ndipo baada ya mapumziko hayo yote ndipo utachagulie watanzania mawaziri wapya.
Tusikuchoshe raisi wetu kipenzi kwa kuanza kufikiria uteuzi huu mpya. sisi watanzania tunalizika kabisa kufanya kazi na mawaziri hawa mpaka utakapo tengamaa hata kama ni miezi nane ijayo.
Tusikuchoshe raisi wetu kipenzi kwa kuanza kufikiria uteuzi huu mpya. sisi watanzania tunalizika kabisa kufanya kazi na mawaziri hawa mpaka utakapo tengamaa hata kama ni miezi nane ijayo.