Mh. Raisi Kikwete asema ''wananchi watamtosa ili wapate Kiongozi mtendaji''

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,285
24,158

Yaliyojiri wakati wa sherehe zaa siku ya sheria nchini Tanzania maeneo ya Mahakama Kuu jijini DSM:

Mh. Rais Kikwete asema "Wananchi wamekuwa wakijazana pale ofisini wakitaka nitengue hukumu zilizokwishatolewa na mahakama na mimi nimekuwa nikiwaambia sina mamlaka ya kufanya hivyo… wananchi hao wamekuwa wakinijibu kama siwezi kufanya hivyo watamchagua rais anayeweza kufanya hivyo na kwamba ndiyo maana wanataka katiba mpya…lakini yote hii inasababishwa na umma kuwa na uelewa finyu wa sheria na muundo wa mahakama," alisema Kikwete na kusababisha watu kuangua vicheko.

Akitoa hotuba yake katika sherehe hizo, Rais Kikwete aliutaka mhimili wa mahakama kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu kwa umma kuhusu utendaji kazi na muundo wa mahakama ukoje kwani kwa kufanya hivyo kutamuondolea adha anayoipata hivi sasa ya wananchi kufika Ikulu na kumtaka atengue hukumu mbalimbali wakilalamika kutotendewa haki.


Wakati huo huo Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Charles Kitwanga juzi alilazimika kutumia salamu za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuwashawishi wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Mbeya (MIST) waweze kumsikiliza.

Kitwanga alilazimika kukikubali japo kwa muda Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kutokana na hatua ya wanafunzi wa chuo hicho kuguna kila alipoitaja ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi wakati akizungumza nao kuhusu inavyotekeleza sera ya elimu.

Waziri huyo alilazimika kuwasalimia wanafunzi hao akisema "CHADEMA hoyee!!, na ukumbi mzima ulizizima kwa mayowe na vifijo vya wanafunzi waliopaza sauti zao wakimjibu "Oyeeee" huku kila mmoja akimpungia alama ya vema kwa kuonyesha vidole viwili.
Kitendo cha Waziri Kitwanga kutumia jina la CHADEMA katika kibwagizo hicho kilitokana na hatua ya wanafunzi hao kuguna pale alipoanza kujibu maswali yao kwa kusema "katika Ilani ya ya CCM….." bila kumalizia kusema alishtushwa na miguno.
Soma habari kamili toka:Kishindo cha CHADEMA chawavuruga CUF, CCM
 
Si yeye mwenyewe alishaanza kwa kututangazia kuwa akina Mramba kesi zao ni ndogo na watashinda. Sasa kwa nini wananchi ambao wana kesi ndogo kuliko za hao vigogo kwa nini nao wasiende kwake ili na wao wapone???
 

Yaliyojiri wakati wa sherehe zaa siku ya sheria nchini Tanzania maeneo ya Mahakama Kuu jijini DSM:

Mh. Rais Kikwete asema “Wananchi wamekuwa wakijazana pale ofisini wakitaka nitengue hukumu zilizokwishatolewa na mahakama na mimi nimekuwa nikiwaambia sina mamlaka ya kufanya hivyo… wananchi hao wamekuwa wakinijibu kama siwezi kufanya hivyo watamchagua rais anayeweza kufanya hivyo na kwamba ndiyo maana wanataka katiba mpya…lakini yote hii inasababishwa na umma kuwa na uelewa finyu wa sheria na muundo wa mahakama,” alisema Kikwete na kusababisha watu kuangua vicheko.

Akitoa hotuba yake katika sherehe hizo, Rais Kikwete aliutaka mhimili wa mahakama kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu kwa umma kuhusu utendaji kazi na muundo wa mahakama ukoje kwani kwa kufanya hivyo kutamuondolea adha anayoipata hivi sasa ya wananchi kufika Ikulu na kumtaka atengue hukumu mbalimbali wakilalamika kutotendewa haki.
Soma habari kamili toka:Kishindo cha CHADEMA chawavuruga CUF, CCM

Kikwete anapashwa ajue kwamba situation tuliyo naye nchini ni unusual kwa hiyo tunahitaji unusual means za kui-confront.Sheria tulizonazo hazijatungwa na Mungu na zilitungwa ili kutetea uovu.No tunahitaji katiba mpya,labda itasaidia kwa kiasi fulani kuondoa tabia hii ya kuwajibika kwa kusingizia katiba.
 

Yaliyojiri wakati wa sherehe zaa siku ya sheria nchini Tanzania maeneo ya Mahakama Kuu jijini DSM:

Mh. Rais Kikwete asema "Wananchi wamekuwa wakijazana pale ofisini wakitaka nitengue hukumu zilizokwishatolewa na mahakama na mimi nimekuwa nikiwaambia sina mamlaka ya kufanya hivyo… wananchi hao wamekuwa wakinijibu kama siwezi kufanya hivyo watamchagua rais anayeweza kufanya hivyo na kwamba ndiyo maana wanataka katiba mpya…lakini yote hii inasababishwa na umma kuwa na uelewa finyu wa sheria na muundo wa mahakama," alisema Kikwete na kusababisha watu kuangua vicheko.

Akitoa hotuba yake katika sherehe hizo, Rais Kikwete aliutaka mhimili wa mahakama kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu kwa umma kuhusu utendaji kazi na muundo wa mahakama ukoje kwani kwa kufanya hivyo kutamuondolea adha anayoipata hivi sasa ya wananchi kufika Ikulu na kumtaka atengue hukumu mbalimbali wakilalamika kutotendewa haki.
Soma habari kamili toka:Kishindo cha CHADEMA chawavuruga CUF, CCM
Kama aliweza kuwakingia kifua wasanii wa Kagoda , wananchi wana kila sababu ya kumfuata atengue hukumu...
 
Kikwete anacheza na akili za watu ni nani aliyesema atengue amri ya mahakama? je kampuni hiyo ni halali? Usajili? Wamiliki? Asitufanye hatujui sheria wengine pia ni fani zetu, hata hao alionao ni bomu ndio maana wanashindwa kesi halafu wanafurahi, this is insult indeed
 

Yaliyojiri wakati wa sherehe zaa siku ya sheria nchini Tanzania maeneo ya Mahakama Kuu jijini DSM:

Mh. Rais Kikwete asema “Wananchi wamekuwa wakijazana pale ofisini wakitaka nitengue hukumu zilizokwishatolewa na mahakama na mimi nimekuwa nikiwaambia sina mamlaka ya kufanya hivyo… wananchi hao wamekuwa wakinijibu kama siwezi kufanya hivyo watamchagua rais anayeweza kufanya hivyo na kwamba ndiyo maana wanataka katiba mpya…lakini yote hii inasababishwa na umma kuwa na uelewa finyu wa sheria na muundo wa mahakama,” alisema Kikwete na kusababisha watu kuangua vicheko.

Akitoa hotuba yake katika sherehe hizo, Rais Kikwete aliutaka mhimili wa mahakama kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu kwa umma kuhusu utendaji kazi na muundo wa mahakama ukoje kwani kwa kufanya hivyo kutamuondolea adha anayoipata hivi sasa ya wananchi kufika Ikulu na kumtaka atengue hukumu mbalimbali wakilalamika kutotendewa haki.


Wakati huo huo Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Charles Kitwanga juzi alilazimika kutumia salamu za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuwashawishi wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Mbeya (MIST) waweze kumsikiliza.

Kitwanga alilazimika kukikubali japo kwa muda Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kutokana na hatua ya wanafunzi wa chuo hicho kuguna kila alipoitaja ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi wakati akizungumza nao kuhusu inavyotekeleza sera ya elimu.

Waziri huyo alilazimika kuwasalimia wanafunzi hao akisema “CHADEMA hoyee!!, na ukumbi mzima ulizizima kwa mayowe na vifijo vya wanafunzi waliopaza sauti zao wakimjibu “Oyeeee” huku kila mmoja akimpungia alama ya vema kwa kuonyesha vidole viwili.
Kitendo cha Waziri Kitwanga kutumia jina la CHADEMA katika kibwagizo hicho kilitokana na hatua ya wanafunzi hao kuguna pale alipoanza kujibu maswali yao kwa kusema “katika Ilani ya ya CCM…..” bila kumalizia kusema alishtushwa na miguno.
Soma habari kamili toka:Kishindo cha CHADEMA chawavuruga CUF, CCM

Na kitaeleweka tu.
 
Kikwete alikuwa anatafuta mkono wa mbowe!!! Kwa nini anajisikia kumukamata mtanzani mmoja wakati hata lowassa hamtaki??? Viongozi wa dini hawamtaki!!!, mwakyembe , sita bifu!!
 
Ngoja tuone kama atatengua hukumu ya dowans...kha,kwani jk amejipendekeza kwa mbowe?what u dont get in your loose mind is that bwana huyu haitaji kujipendekeza kwa mtu ivi sasa this is his LAST TERM.he dont gv a flying monkey about anyone he just doing his job
 
Alilianzisha kwa kukumbatia mafisadi na serikali yake kufungulia kesi "selected suspect" i.e. kna Mramba wakati ufisadi na mafisadi papa wanaendelea kuihujumu nchi. Anaendeleza usanii tupu
 

Yaliyojiri wakati wa sherehe zaa siku ya sheria nchini Tanzania maeneo ya Mahakama Kuu jijini DSM:

Mh. Rais Kikwete asema "Wananchi wamekuwa wakijazana pale ofisini wakitaka nitengue hukumu zilizokwishatolewa na mahakama na mimi nimekuwa nikiwaambia sina mamlaka ya kufanya hivyo… wananchi hao wamekuwa wakinijibu kama siwezi kufanya hivyo watamchagua rais anayeweza kufanya hivyo na kwamba ndiyo maana wanataka katiba mpya…lakini yote hii inasababishwa na umma kuwa na uelewa finyu wa sheria na muundo wa mahakama," alisema Kikwete na kusababisha watu kuangua vicheko.

Akitoa hotuba yake katika sherehe hizo, Rais Kikwete aliutaka mhimili wa mahakama kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu kwa umma kuhusu utendaji kazi na muundo wa mahakama ukoje kwani kwa kufanya hivyo kutamuondolea adha anayoipata hivi sasa ya wananchi kufika Ikulu na kumtaka atengue hukumu mbalimbali wakilalamika kutotendewa haki.


Wakati huo huo Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Charles Kitwanga juzi alilazimika kutumia salamu za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuwashawishi wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Mbeya (MIST) waweze kumsikiliza.

Kitwanga alilazimika kukikubali japo kwa muda Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kutokana na hatua ya wanafunzi wa chuo hicho kuguna kila alipoitaja ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi wakati akizungumza nao kuhusu inavyotekeleza sera ya elimu.

Waziri huyo alilazimika kuwasalimia wanafunzi hao akisema "CHADEMA hoyee!!, na ukumbi mzima ulizizima kwa mayowe na vifijo vya wanafunzi waliopaza sauti zao wakimjibu "Oyeeee" huku kila mmoja akimpungia alama ya vema kwa kuonyesha vidole viwili.
Kitendo cha Waziri Kitwanga kutumia jina la CHADEMA katika kibwagizo hicho kilitokana na hatua ya wanafunzi hao kuguna pale alipoanza kujibu maswali yao kwa kusema "katika Ilani ya ya CCM….." bila kumalizia kusema alishtushwa na miguno.
Soma habari kamili toka:Kishindo cha CHADEMA chawavuruga CUF, CCM

Ikulu kunaingilika kirahisi hivyo?
 
Back
Top Bottom