Niseme kweli japo najua wazi nitashambuliwa. Namuunga mkono Mh. Rais na serikali yake kwa utendaji, hivyo basi, huwa napenda kujua kila siku anatoa maelekezo yepe ili kujua dira ya nchi. Hizi siku mbili sijamsikia atakuwa amerudi ofisini baada ziara ndefu, Bukoba, Uganda na hatimaye Ubungo? I real love my president, and the only daring president ever in Tanzania.