Mh.Rais wetu kwanza nikupongeze na pia nikupe pole kwa uchovu wa kazi nzito uzitendazo.
Naomba nikupe maoni yangu kwa hili suala la madini na raslimali zetu. Katika eneo hili nikuambie tu wabunge wa CCM hawakusaidii. Hebu mwenyewe jaribu kuwasikiliza wakiongelea jambo hili makinikia na madini kisha unukuu hoja/points katika maelezo yao halafu uzitafakari na kisha uone kama zitakusaidia uweze kutoka katika mtanzuko huu kwa namna utarajiayo!
Hebu funguka, utaelewa hii vita siya kitoto. Tukienda kwa hoja za wabunge wengi wa ccm utakwama. Hawajengi hoja, wao ni mapambio tu kwako mkuu. Wanakuponza rais wetu. Wale ni ma opportunist tu. CCM wanakungamiza rais na wanaliangamiza taiga.
(Mod.naomba msiuunganishe Uzi huu na nyinginezo)
Naomba nikupe maoni yangu kwa hili suala la madini na raslimali zetu. Katika eneo hili nikuambie tu wabunge wa CCM hawakusaidii. Hebu mwenyewe jaribu kuwasikiliza wakiongelea jambo hili makinikia na madini kisha unukuu hoja/points katika maelezo yao halafu uzitafakari na kisha uone kama zitakusaidia uweze kutoka katika mtanzuko huu kwa namna utarajiayo!
Hebu funguka, utaelewa hii vita siya kitoto. Tukienda kwa hoja za wabunge wengi wa ccm utakwama. Hawajengi hoja, wao ni mapambio tu kwako mkuu. Wanakuponza rais wetu. Wale ni ma opportunist tu. CCM wanakungamiza rais na wanaliangamiza taiga.
(Mod.naomba msiuunganishe Uzi huu na nyinginezo)