sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,364
Hiv kweli, kwa hiyo hawa wauza kondomu wanatakiwa kuuza bei yoyote kisa sisi tunazihitaji sana kweli?
Kweli bei ya kuvuka ni Shilingi 200, asiyekuwa na uwezo apige mbizi? Hivi kweli Rada lazima inunuliwe hata kama hutataki tule nyasi?
Hivi kweli sisi wakulima tufyatue tu kisa tunalima na kula na kushiba?
Nina maswali mengi yanayolenga uzalilishaji wanaoambiwa watanzania na wanasiasa. Narejea tena Mh. Rais thamani ya kula yangu ni kubwa sana kwako, wajulishe wateule wako.
Kweli bei ya kuvuka ni Shilingi 200, asiyekuwa na uwezo apige mbizi? Hivi kweli Rada lazima inunuliwe hata kama hutataki tule nyasi?
Hivi kweli sisi wakulima tufyatue tu kisa tunalima na kula na kushiba?
Nina maswali mengi yanayolenga uzalilishaji wanaoambiwa watanzania na wanasiasa. Narejea tena Mh. Rais thamani ya kula yangu ni kubwa sana kwako, wajulishe wateule wako.