sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Nianze kwa kuwasalimu wananji wenzangu wa Tanzania huku nikitoa pole kwa wale ambao wapo karantini na familia ya Mzee Mbowe dhidi ya maradhi yanayoikabili familia yake.
Niende kwenye mada ndugu zangu, nadhani mnakumbuka baada ya uchaguzi kuisha Rais aliapishwa na baada ya kuapishwa tu aliingia jumba jeupe na kumkuta mwenzake na mwenzake alimwachia jumba hilo.
Kwa kifupi naweza sema watanzania walimvalisha suruali ya Urais Mh Rais.
Mimi staki kukubali kuwa walimvalisha suruali paspo hiyo niliyoitaja hakika walimvalisha nguo zote stahiki wakiamini sasa yu jemedari anayeweza chapa kazi.
Baada ya yeye kuvishwa sawa sawa alianza kuwateua alioona wanafaaa kuwa mawaziri na wakuu wa mikoa. kwa kifupi katika lugha yangu aliwavisha suruali pamoja na nguo nyingine niliyoitaja.
Tupo tulio piga kelele yakuwa wapo wakuu wa mikoa waliotakiwa kupewa Semina ya uongozi kwani nafasi walizopewa awakuwa na uwezo nazo mmoja wapo enzi hizo alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar.
Yaani kwa kifupi tulimuomba Mh Rais kwa kuwa amewavisha suruali watu hao basi asisahau nguo ya ndani yaani semina elekezi kwa watu hao.
Maombi yetu na wenzangu hayakusikilizwa Makonda na wenzake wakaendelea kuvaaa suruali walizovishwa paspo Chupi Mwisho wa yote madhara yake ni kuwa suruali zinachanika wananchi wanaona makalio ya makonda na wenzake yakiwa wazi
Ninajitaidi kutumia lugha hii ili Mh Rais unielewe kwa hakika haiwezekani mikusanyiko hisyo ya lazima inazuiwa tena na wewe Mh Rais,MAKONDA anajitokeza hadhalani mbele ya mkusanyiko husio wa lazima anahutubia wanachi anawambia anashukuru Mwenyezi Mungu familia ya mbowe imeshikwa na corona wakati huo akijua fika kuwa Wewe Mh rais unatoa pole kwa familia ya mbowe na unasikitika.
Yaani Rais analia makonda anacheka hahhahahaha sijui niweke wimbo gani au nisikilize wimbo gani ambao nitajua kabisa wewe Mh Rais ukiuskia unalia ila Makonda akiuskia ana rukaruka na kushukuru.
Yote kwa yote Mh Rais uchaguzi ukiisha ukawavisha suruali watu wako hakikisha umewavisha chupi ili suruali ikichanika bas nakalio lisitiliwe.
sifileo kesho ikifika nitakuwa tayari kufa.
Niende kwenye mada ndugu zangu, nadhani mnakumbuka baada ya uchaguzi kuisha Rais aliapishwa na baada ya kuapishwa tu aliingia jumba jeupe na kumkuta mwenzake na mwenzake alimwachia jumba hilo.
Kwa kifupi naweza sema watanzania walimvalisha suruali ya Urais Mh Rais.
Mimi staki kukubali kuwa walimvalisha suruali paspo hiyo niliyoitaja hakika walimvalisha nguo zote stahiki wakiamini sasa yu jemedari anayeweza chapa kazi.
Baada ya yeye kuvishwa sawa sawa alianza kuwateua alioona wanafaaa kuwa mawaziri na wakuu wa mikoa. kwa kifupi katika lugha yangu aliwavisha suruali pamoja na nguo nyingine niliyoitaja.
Tupo tulio piga kelele yakuwa wapo wakuu wa mikoa waliotakiwa kupewa Semina ya uongozi kwani nafasi walizopewa awakuwa na uwezo nazo mmoja wapo enzi hizo alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar.
Yaani kwa kifupi tulimuomba Mh Rais kwa kuwa amewavisha suruali watu hao basi asisahau nguo ya ndani yaani semina elekezi kwa watu hao.
Maombi yetu na wenzangu hayakusikilizwa Makonda na wenzake wakaendelea kuvaaa suruali walizovishwa paspo Chupi Mwisho wa yote madhara yake ni kuwa suruali zinachanika wananchi wanaona makalio ya makonda na wenzake yakiwa wazi
Ninajitaidi kutumia lugha hii ili Mh Rais unielewe kwa hakika haiwezekani mikusanyiko hisyo ya lazima inazuiwa tena na wewe Mh Rais,MAKONDA anajitokeza hadhalani mbele ya mkusanyiko husio wa lazima anahutubia wanachi anawambia anashukuru Mwenyezi Mungu familia ya mbowe imeshikwa na corona wakati huo akijua fika kuwa Wewe Mh rais unatoa pole kwa familia ya mbowe na unasikitika.
Yaani Rais analia makonda anacheka hahhahahaha sijui niweke wimbo gani au nisikilize wimbo gani ambao nitajua kabisa wewe Mh Rais ukiuskia unalia ila Makonda akiuskia ana rukaruka na kushukuru.
Yote kwa yote Mh Rais uchaguzi ukiisha ukawavisha suruali watu wako hakikisha umewavisha chupi ili suruali ikichanika bas nakalio lisitiliwe.
sifileo kesho ikifika nitakuwa tayari kufa.