Mh. Rais, Usimuondoe Waziri wa Nishati na Madini kuhudumu katika Wizara husika

Hakuna jambo linalokera kama kudharau watu unaowahudumia, kumbuka uko pale kwa sababu wao ndo wamependa uwahudumie sasa wewe uliona wapi mfanyakazi amdharau boss wake na aendelee kua kazini? Muhongo aende zake alafu watu wa Mara dharau inawaponza, jeuri nyingi wakati si lolote akina werema, maswi etc
Hivi dharau ya muhongo ni ipi acheni husda bana kwanini watendaji hawapendwi na wafanyabiahara wa nchi hii? Mengi amefanya fuzo za kila aina dhidi ya muhongo kila siku anamsimanga kupitia vyombo vyake vya habari kisa tu kakataa kutoa kitaru kwa kumpendelea.
 
Jitu ni liongo ,sijui mnalitaka la nini na kama ni Jk ndo anawatuma ili kesho aseme hajapata sababu ya kumwajibisha .tutaitisha bunge tupige kura ya kutokuwa na Iman nae.
 
Hivi dharau ya muhongo ni ipi acheni husda bana kwanini watendaji hawapendwi na wafanyabiahara wa nchi hii? Mengi amefanya fuzo za kila aina dhidi ya muhongo kila siku anamsimanga kupitia vyombo vyake vya habari kisa tu kakataa kutoa kitaru kwa kumpendelea.
Mkuu hii ilikuwa ni vita kati wana wa Kanda ya ziwa na wale wa Kanda yaKaskazini na hakika kanda ya ziwa wameumizwa kwa sababu ya umaskini wao
 
Lakini kwenye siasa za nchi yetu watu ambao wako vizuri sana kichwani wanachukiwa sana kwavile wanaupeo mkubwa ambao siyo rahisi kudanganywa na wezi na mafisadi wa nchi hii muhongo amesimama mpaka wanatamani wamuuwe lakini mungu atasiama upande wake atashinda.
 
Amuondoe mana hana issue tena katika wizara ya nishati na madini. Kaiba sana akapumzike mara.
 
Muhongo ameonewa BUNGENI, huku nje hatutakubali kamwe, hatutaki habari ya mgawo wa umeme ambao sasa ulikuwa historia


Kwahiyo Muhongo anatembea na TANESCO?

Hii katika katika ya umeme imetokea nayeye yupo vipi alishindwaje kuzuia??

Hizi akili zenu za kina Marian Kisangi ni shida Sana....
 
Mkuu hii ilikuwa ni vita kati wana wa Kanda ya ziwa na wale wa Kanda yaKaskazini na hakika kanda ya ziwa wameumizwa kwa sababu ya umaskini wao
Mkuu thatha polepole ndiyo mwendo watanzania wameshaanza kuujua ukweli kwa sasa ukipita kwenye vijiwe vingi hata maofisini watu wanajua kuwa mengi anawaibia watanzani pia yeye daima hupenda kupendelewa na kupigiwa magoti kitu ambacho muhongo alikataa kukubali akasiamia maslahi ya watanzania siyo ya mtu mmoja.
 
Nimeandika mara nyingi humu ripoti ya CAG haina mahala imesema kuna wizi, hizo ni drama za Zitto na anajuwa kwanini amefanya hivyo, lakini nnauhakika dhamira itamuumiza.
 
Jitu ni liongo ,sijui mnalitaka la nini na kama ni Jk ndo anawatuma ili kesho aseme hajapata sababu ya kumwajibisha .tutaitisha bunge tupige kura ya kutokuwa na Iman nae.
Muhongo katengenezewa uongo mkuu na hakika Rais akidanganyika na maazimio yaliodhaminiwa na MENGI basi wizara ya nishati na madini itakuwa imewekwa mikononi mwa madalali
 
Kwahiyo Muhongo anatembea na TANESCO?

Hii katika katika ya umeme imetokea nayeye yupo vipi alishindwaje kuzuia??

Hizi akili zenu za kina Marian Kisangi ni shida Sana....
Acha kujifanya tahira wewe umeme ukikatika wakati wa muhongo ni tatizo la kiufundi siyo mpango wa kupiga hela kama wakati wa zamani sheme muhongo utashinda jk hawezi kukubali ujinga wa aina hii.
 
Nimeandika mara nyingi humu ripoti ya CAG haina mahala imesema kuna wizi, hizo ni drama za Zitto na anajuwa kwanini amefanya hivyo, lakini nnauhakika dhamira itamuumiza.
ZITTO ana uzoefu wa siku nyingi wa kutumiwa kuhujumu, safari hii MENGI amemnasa kilaini sana, ngoja tusubiri tuone kama Rais atamuondoa Muhongo kwa sababu ya upuuzi huu
 
Nimeandika mara nyingi humu ripoti ya CAG haina mahala imesema kuna wizi, hizo ni drama za Zitto na anajuwa kwanini amefanya hivyo, lakini nnauhakika dhamira itamuumiza.
Faiza naungana nawe ripoti ile haijasema hayo yaliyosemwa na kamati zitto walichofanya ni mpango mathubuti wa kumchafua muhongo na viongozi wengine ambao walikuwa wamewalenga lakini laana ya mungu itawashukia Rais siyo mtoto anaupeo wa mambo atachuja na kuona ukweli ndani yake hatimaye kusonga mbele na muhongo pamoja na wateule wake wengine.
 
Acha kujifanya tahira wewe umeme ukikatika wakati wa muhongo ni tatizo la kiufundi siyo mpango wa kupiga hela kama wakati wa zamani sheme muhongo utashinda jk hawezi kukubali ujinga wa aina hii.


Yaani kwa akili yako unafikiri rais anaweza puuza maamuzi ya bunge na kumrudisha Muhongo??

My God!!!! Yaani hata wewe hujui kinachoendelea baada ya bunge kutoa maazimio?? Yaani unafikiri JK anaweza kwenda kinyume na bunge??

Mungu akusaidie Sana kwa akili duni namna hiyo.....
 
ZITTO ana uzoefu wa siku nyingi wa kutumiwa kuhujumu, safari hii MENGI amemnasa kilaini sana, ngoja tusubiri tuone kama Rais atamuondoa Muhongo kwa sababu ya upuuzi huu
Jambo jema la kushukuru ni kwamba kwasasa Rais atakuwa na ripoti ya CAG mezani kwake ataisoma na kubaini uongo huo wa zitto na timu yake lazima aibu iwarudie jk ni mwanasiasa mwenye akili nyingi sana ndiyo imani yangu inavyonituma siyo rahisi kumdanganya.
 
Acha kujifanya tahira wewe umeme ukikatika wakati wa muhongo ni tatizo la kiufundi siyo mpango wa kupiga hela kama wakati wa zamani sheme muhongo utashinda jk hawezi kukubali ujinga wa aina hii.
Mkuu Muhongo alikuwa tishio sana kwa hawa manyang'au wa Kichaga. Yamemtumia ZITTO kwa kumpamba kuwa yeye ni mtu muhimu sana akirudi UKAWA
 
Ukuwa muongo usiwe msahaulifu wamewakama patamu hawatoki hao kila kitu kiko wazi pesa wamechota tena kizembe Muongo na wenzake muda umekwisha wamelikoroga mwishoni walihofu pesa za escrow watakula wenzao awamu ya tano. hatufai Rais tunasubiri uwaondoe.
 
Back
Top Bottom