Mh,rais ukitaka umoja wa vyama vya siasa tafuta maridhiano

lendila

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
5,806
4,370
Mh,rais ukita ushirikiano na vyama vya siasa tafuta maridhiano,mh,rais duniana kote jeshi na silaa,vitisho havijawahi kuleta umoja katika taifa lolote lile duniania,isipokuwa mataifa yote duniani maridhiano pekee ndio njia ya kuleta umoja
Mh rais kama kweli unataka nchi yetu isonge mbele kuwepo na umoja na mshikamano waite ukawa mridhiane mfikie mwafaka ni njia gani ya kuongoza taifa hapo utakuwa umeunganisha baadhi ya tofati za kisiasa zilipo kwa sasa kwa kiasi kikubwa japo hutaweza kumaliza kabisa tofauti zote za kisiasa,maana tofauti za mawazo ni za asili mwanadamu anazaliwa nazo
Mh,rais mfano mzuri ni mwalimu nyerere, mwalimu nyerere alifanya zowezi la kuunganisha vyama kwa kufanya maridhiano na akafanikiwa,mfano mwingine ni mh rais karume naye pia alishafanya maridhiano na cuf na ccm Zanziba na mh karume akafanyikiwa sana ,karume alifanya maridhiano baada ya njia ya jeshi na vitisho kushidwa kuleta umoja mh, rais ukitumia njia ya maridhiano utafanikiwa unayoyataka na utaifikisha tanzania mahali unapotaka,lkn ukitumia vitisho na nguvu za dola huwezi kuleta umoja mpaka kiama kije
Hayo ni maoni yangu kama raia wa tanzania
 
Kuru
Mh,rais ukita ushirikiano na vyama vya siasa tafuta maridhiano,mh,rais duniana kote jeshi na silaa,vitisho havijawahi kuleta umoja katika taifa lolote lile duniania,isipokuwa mataifa yote duniani maridhiano pekee ndio njia ya kuleta umoja
Mh rais kama kweli unataka nchi yetu isonge mbele kuwepo na umoja na mshikamano waite ukawa mridhiane mfikie mwafaka ni njia gani ya kuongoza taifa hapo utakuwa umeunganisha baadhi ya tofati za kisiasa zilipo kwa sasa kwa kiasi kikubwa japo hutaweza kumaliza kabisa tofauti zote za kisiasa,maana tofauti za mawazo ni za asili mwanadamu anazaliwa nazo
Mh,rais mfano mzuri ni mwalimu nyerere, mwalimu nyerere alifanya zowezi la kuunganisha vyama kwa kufanya maridhiano na akafanikiwa,mfano mwingine ni mh rais karume naye pia alishafanya maridhiano na cuf na ccm Zanziba na mh karume akafanyikiwa sana ,karume alifanya maridhiano baada ya njia ya jeshi na vitisho kushidwa kuleta umoja mh, rais ukitumia njia ya maridhiano utafanikiwa unayoyataka na utaifikisha tanzania mahali unapotaka,lkn ukitumia vitisho na nguvu za dola huwezi kuleta umoja mpaka kiama kije
Hayo ni maoni yangu kama raia wa tanzania[/QUOTE.

Kuridhiana na asiyeaminika haijawahi kuwa na tija.JK ilimgharimu kwa kuchafua jina lake.Maridhiano sharti pawepo na kuaminiana,asiyeaminika usipoteze muda kuingia kwenye makubaliano naye.
 
Sasa wewe unataka rais aombe maridhiano ya nini wakati ndugu zako hawamtambui

Hata Angola yule Eduardo Dos santos na MPLA yake 1992 alijifanya kichwa ngumu lakin Savimbi akampelekesha weee mpaka 2002 anakufa savimbi Bas Santos akaitambua UNITA iwe chama cha siasa na Maridhiano nchi nzima na wakaweka silaha chini Hii leo Angola tunaijua ilipo.Aibu ikawa kwa rais Santos ila Jonas Savimbi wengi mnajua kama Mkorofi muasi Alizikwa kiheshima na Mpaka leo kuna majimbo wanamwelewa mahaba kama mkombozi wao.
 
Hakuna kufanya maridhiano na mtu anayejiwehusha, ukikubali kuingia naye mezani tu, kesho kutwa tena atazua jingine kubwa zaidi ili mradi tu anajua ana uwezo wa kukupeleka mezani kwenye mazungumzo. CDM wao waendelee tu na msimamo wao wa kupinga na kukujeli kila kitu, ila Magu asiendekeza wala kukubali kufanya mazungumzo yoyote yenye msingi wa kubembelezana.
 
Hakuna kufanya maridhiano na mtu anayejiwehusha, ukikubali kuingia naye mezani tu, kesho kutwa tena atazua jingine kubwa zaidi ili mradi tu anajua ana uwezo wa kukupeleka mezani kwenye mazungumzo. CDM wao waendelee tu na msimamo wao wa kupinga na kukujeli kila kitu, ila Magu asiendekeza wala kukubali kufanya mazungumzo yoyote yenye msingi wa kubembelezana.
Mbona mkapa anasimamia mazungumzu ya Burundi?
 
Sasa huo umoja unasisitizwa kila siku wa nn? wakati mnajua kuwa rais hatambuliki na vyama vya siasa?
Umoja unasisitizwa kwetu wananchi, na si vikundi vya wahuni (vyama vya siasa kama CHADOMO) vilivyo fikia hatua ya kuwatetea wahalifu
 
Mh,rais ukita ushirikiano na vyama vya siasa tafuta maridhiano,mh,rais duniana kote jeshi na silaa,vitisho havijawahi kuleta umoja katika taifa lolote lile duniania,isipokuwa mataifa yote duniani maridhiano pekee ndio njia ya kuleta umoja
Mh rais kama kweli unataka nchi yetu isonge mbele kuwepo na umoja na mshikamano waite ukawa mridhiane mfikie mwafaka ni njia gani ya kuongoza taifa hapo utakuwa umeunganisha baadhi ya tofati za kisiasa zilipo kwa sasa kwa kiasi kikubwa japo hutaweza kumaliza kabisa tofauti zote za kisiasa,maana tofauti za mawazo ni za asili mwanadamu anazaliwa nazo
Mh,rais mfano mzuri ni mwalimu nyerere, mwalimu nyerere alifanya zowezi la kuunganisha vyama kwa kufanya maridhiano na akafanikiwa,mfano mwingine ni mh rais karume naye pia alishafanya maridhiano na cuf na ccm Zanziba na mh karume akafanyikiwa sana ,karume alifanya maridhiano baada ya njia ya jeshi na vitisho kushidwa kuleta umoja mh, rais ukitumia njia ya maridhiano utafanikiwa unayoyataka na utaifikisha tanzania mahali unapotaka,lkn ukitumia vitisho na nguvu za dola huwezi kuleta umoja mpaka kiama kije
Hayo ni maoni yangu kama raia wa tanzania
wanaanzaga hivi hivi, mambo yakishakuwa mabaya ndio wanaomba kuwe na maridhiano
 
Mbona mkapa anasimamia mazungumzu ya Burundi?
Ndio maana serikali ya Burundi vile vile ilikataa kuzungumza na baadhi ya watu walioshiriki jaribio la maasi ya 2014. Hakuna kuendekeza mazungumzo na mtu anayejitoa akili sababu ndio utakuwa unampa motisha ya kufanya upuuzi zaidi.
 
Back
Top Bottom