Mh Rais turudishie zile semina za MADC MARC ili viongozi wajue mipaka ya kuongea mbele ya Wananchi

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Inasikitisha sana kila Rc anaongea yake mbaya zaidii anaemsema ama kumzalilisha nae n mteule WA RAISI

MH kwa HILI TUNAOMBA baba warudishe kasemina kidogo wajue.mwenzao anapokosea NJIA gani itumike.kuwasilisha.hisia na sio kumwagikahadharani
Screenshot_20200215-091742.png


Wajuee mipaka yaoo n.ipii HILI n jamboo jema sana kwa taifaa
 

Attachments

  • Screenshot_20200215-091748.png
    Screenshot_20200215-091748.png
    71 KB · Views: 1
Hilo tatizo hata Rais mwenyewe analo!Nani wa kumpa semina Rais?
 
INASIKITISHA sanaa kila Rc anaongea YAKE mbaya zaidii anaemsema ama kumzalilisha nae n mteule WA RAISI

MH kwa HILI TUNAOMBA baba warudishe kasemina kidogo wajue.mwenzao anapokosea NJIA gani itumike.kuwasilisha.hisia na sio kumwagikahadharani View attachment 1358151

Wajuee mipaka yaoo n.ipii HILI n jamboo jema sana kwa taifaa
Yeye mwenyewe hajui kitu gani cha kuongea mbele ya hadhara
 
Haya mambo haya, kwani si kuna afisa tawala wa wilaya, sasa kwanini hilo swali ajibu mkurugenzi wa wilaya?

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ
 
Inasikitisha sana kila Rc anaongea yake mbaya zaidii anaemsema ama kumzalilisha nae n mteule WA RAISI

MH kwa HILI TUNAOMBA baba warudishe kasemina kidogo wajue.mwenzao anapokosea NJIA gani itumike.kuwasilisha.hisia na sio kumwagikahadharani View attachment 1358151

Wajuee mipaka yaoo n.ipii HILI n jamboo jema sana kwa taifaa
Hiyo semina aanze kupewa Rais mwenyewe kwa nafasi yake kama rais halafu apewe tena rais mwenyewe kwa nafasi yake kama mteuzi ya hawa waropokaji dc na rc
 
Back
Top Bottom