Mh Rais tunaomba usikie kilio chetu

mbumba

Member
Oct 20, 2015
49
8
Tunamuomba Mheshimiwa Raisi wetu J.P.M wananchi wa Tanzania tupewe haki yetu ya kuwinda wanyamapori kwa kufuata sheria na kanuni za uwindaji na sio kubaguliwa nchini mwetu na wizara husika kwa kuifanya burdani hii ni ya wageni tu tunamuomba Mheshimiwa Raisi wetu afuatilie wizara hii
 
Mkuu unataka kuwinda simba Serengeti au? Maana wenzio vijijini wanamaliza ngurue pori kwa kasi sana.
 
  • Thanks
Reactions: 247
Kuwinda ni haki yetu watanzania sisi tumefungiwa Kuwinda ila Wageni wanaruhusiwa hii sio haki na sisi tuna haki katika nchi yetu mkuu
 
Mkuu unataka kuwinda simba Serengeti au? Maana wenzio vijijini wanamaliza ngurue pori kwa kasi sana.

Kuwnda ni haki yetu sisi watanzania tumefungiwa Kuwinda ila wageni wanaruhusiwa. Sisi tuna haki ya Kuwinda nchi ni kwetu
 
Kuwnda ni haki yetu sisi watanzania tumefungiwa Kuwinda ila wageni wanaruhusiwa. Sisi tuna haki ya Kuwinda nchi ni kwetu
Ndio maana nimekuuliza unataka kuwinda wapi? Alafu watanzania ukiwaruhusu kuwinda hawatanunua nyama buchani na wanyama wote wataisha ndani ya mwaka
 
  • Thanks
Reactions: 247
Ndio maana nimekuuliza unataka kuwinda wapi? Alafu watanzania ukiwaruhusu kuwinda hawatanunua nyama buchani na wanyama wote wataisha ndani ya mwaka

Mkuu kuna mapori yametengwa kwa local hunting yaani kwa watanzania kila wilaya zaidi tumeanza Kuwinda toka Ma Babu zetu na Wanyama hawaishi na Kuwinda sio kujiamulia tu unawinda kutokana na Kibali halali unapewa na wilaya husika sasa ukisema Wanyama wataisha ni kwa sisi watanzania tu? Kwa wageni hawata isha?
 
Mkuu kuna mapori yametengwa kwa local hunting yaani kwa watanzania kila wilaya zaidi tumeanza Kuwinda toka Ma Babu zetu na Wanyama hawaishi na Kuwinda sio kujiamulia tu unawinda kutokana na Kibali halali unapewa na wilaya husika sasa ukisema Wanyama wataisha ni kwa sisi watanzania tu? Kwa wageni hawata isha?
Naona umemiss vimolo ?
 
Tunamuomba Mheshimiwa Raisi wetu J.P.M wananchi wa Tanzania tupewe haki yetu ya kuwinda wanyamapori kwa kufuata sheria na kanuni za uwindaji na sio kubaguliwa nchini mwetu na wizara husika kwa kuifanya burdani hii ni ya wageni tu tunamuomba Mheshimiwa Raisi wetu afuatilie wizara hii
Kwa anaejielewa umeongea kitu cha maana sana. Kilio chako one day kitafika mkuu, jaribu kupaza sauti na huko fb, inst n.k
 
Back
Top Bottom