Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mh rais tumekuelewa kuwa umeamua kimsingi kuivua Tume ya Uchaguzi madaraka yake
Toka lini polisi wakasimamia uchaguzi?
Na usalama wa raia uwe jukumu la Tume ya Uchaguzi
Kuna busara ya MTU MZIMA KUFUNGWA BREKI
Utawaponza polisi i swear, TUTAGAWANA MAUMIVU TUTAKAPOONEWA
Jua hatuna utayari wa kupoteza kwa ubabe wa polisi wako
Tutafuata sheria katiba na kanuni zote zinazoruhusu demokrasia ya vyama vingi
Tutafanya mikutano, tutafanya siasa TAKA MSITAKE
Ueni, tutieni vilema, tufungeni.
TUSITISHANE
Jueni mna familia kama sisi, wanetu wakiwa yatima kwa silaha zenu jiandaeni na nyie kuacha mayatima kwa nguvu za
MUNGU
Na nyie na dola yenu fanyeni mtakavyo but mjue MUNGU SIO MJOMBA WENU
Inatosha sasa
Yametufikaaaa hapaaaaaaaaaaaa
Uvumilivu sio utakatifu
We will fight if neccessary___________we know we shall win__________the good will over the evil
Tanzania stand up!!!
Toka lini polisi wakasimamia uchaguzi?
Na usalama wa raia uwe jukumu la Tume ya Uchaguzi
Kuna busara ya MTU MZIMA KUFUNGWA BREKI
Utawaponza polisi i swear, TUTAGAWANA MAUMIVU TUTAKAPOONEWA
Jua hatuna utayari wa kupoteza kwa ubabe wa polisi wako
Tutafuata sheria katiba na kanuni zote zinazoruhusu demokrasia ya vyama vingi
Tutafanya mikutano, tutafanya siasa TAKA MSITAKE
Ueni, tutieni vilema, tufungeni.
TUSITISHANE
Jueni mna familia kama sisi, wanetu wakiwa yatima kwa silaha zenu jiandaeni na nyie kuacha mayatima kwa nguvu za
MUNGU
Na nyie na dola yenu fanyeni mtakavyo but mjue MUNGU SIO MJOMBA WENU
Inatosha sasa
Yametufikaaaa hapaaaaaaaaaaaa
Uvumilivu sio utakatifu
We will fight if neccessary___________we know we shall win__________the good will over the evil
Tanzania stand up!!!